Radio Tadio

Mawasiliano

10 October 2024, 5:11 pm

Zaidi ya wananchi 350 Manyara wapatiwa huduma ya macho

Mganga mfawidhi wa hospital ya halmashauri ya mji wa Babati(Mrara) Dr Gillian Francis  Lupembe amesema Idadi ya wagonjwa waliokwenda kupata huduma ya matibabu ya macho  imekuwa kubwa kutokana na  watu wengi wanachangamoto  ya uoni. Na Marino Kawishe Zaidi ya wananchi…

6 October 2024, 5:21 pm

Moses akutwa na baiskeli aliyoiba kanisani Sengerema

Jamii imekua haiwaamini vijana kutokana na kuwa na tamaa ya mali za haraka jambo lililopelekea kuwa wadokozi na wezi wa vitu mbalimbali kwenye maeneo yao. Na;Emmanuel Twimanye Kijana  mmoja mwenye umri wa miaka 17 amekamatwa na  Jeshi la Polisi jamii…

19 July 2024, 17:29

UWSA Mbeya kuongeza mtandao wa maji taka

Na Sifael Kyonjola Mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira mkoa wa Mbeya imepanga kuongeza mtandao wa maji taka  na kukarabati ili kuwafikia  wateja wengi zaidi. Hayo yamesemwa na kaimu meneja wa mamlaka ya maji safi  na usafi wa…

May 28, 2024, 5:28 pm

Halmashauri ya Ushetu yapata hati safi

Mwenyekiti wa halmashauri ya Ushetu Gagi Lala akiwa katika baraza la madiwani (picha na Sebastian Mnakaya ) usimamizi wa ukusanyaji wa mapato umekwenda vizuri ukilinganishwa na mwaka wa fedha 2022/2023 ambao ukusanyaji ulikuwa mbovu mpaka kusababisha kupata hati chafu na…

24 January 2024, 9:29 pm

Serikali kuanza ujenzi wa minara 758 ya mawasiliano vijijini

Kampeni hiyo inatekelezwa katika Mikoa yote 26 ya Tanzania Bara, ambapo viongozi wa mikoa husika watashirikiana na UCSAF katika utekelezaji.. Na Mariam Kasawa. Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Moses Nnauyeleo tarehe 24 Januari, 2024 amezindua…

19 January 2024, 6:44 pm

Chande: Mabadiliko Posta lazima, dunia ya sasa ni kidijitali

“kuhusu usafirishaji wa mizigo,tumeshafungua vituo  vya utimilifu Arusha,Zanzibar,Dodoma na Dar es Salaam ili ndani ya siku mbili mtu akiwa sehemu yoyote duniani anapokea mzigo wake“ Na. Anthony Masai. Mkuu wa Shirika la Posta Tanzania Bwana Maharage Chande amesema,hakuna namna ambavyo…

12 January 2024, 16:32

Mawasiliano wilayani Buhigwe ni changamoto kubwa

Halmashauri  ya Wilaya ya Buhigwe Mkoani Kigoma, na Baadhi ya Maeneo ya Wilaya Zinazopakana na Nchi Jirani za Burundi na Congo, zinakabiliwa na Changamoto ya mawasiliano kwa kuwa na Mwingiliano na Nchi Hizo hatua inayokwamisha  ufanisi  katika utendaji kazi kwa…

10 January 2024, 6:57 pm

Naibu waziri wa Habari atoa maagizo kwa wakandarasi nchini

Serikali ya awamu ya sita imejidhatiti katika kuimarisha mawasiliano nchini kwa kuongeza kasi ya ujenzi wa minara na vituo vya kuongeza nguvu ya mawasiliano. Na Mrisho Sadick – Chato Naibu Waziri wa Habari ,Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhandis Kundo…

8 December 2023, 8:53 am

Wananchi walia na waya uliopita chini kwenye makazi yao

Changamoto ya nyaya zilizopitishwa chini ya nyumba za watu kinyemela zimezua taharuki kwa wakazi wa Tambukareli mjini Geita. Na Kale Chongela- Geita Baadhi ya wakazi wa mtaa wa Tambukareli kata ya kalangalala mjini Geita wanaoishi pembezoni mwa Barabara ya Q…