Radio Tadio

Makala

May 28, 2024, 12:56 pm

Wahudumu wa afya watakiwa kuwa na lugha nzuri

Mkuu wa mkoa wa Shinyanga, Annamringi Macha amewataka watumishi wa idara ya Afya katika halmshauri ya msalala wilayani Kahama kuwa na lugha nzuri na zenye staha wakati wa kuwahudumia wananchi wanaofika katika vituo vyao kwa ajili ya matibabu. Akizungumza na…

12 February 2024, 15:07 pm

Umuhimu wa kutunza mazingira kwa kutumia upandaji maua-Kipindi

Kipindi cha Mazingira ambacho amesikika kijana Nelson Everisty mkazi wa Manispaa ya Mtwara Mikindani ambae amekuwa akizalisha maua katika Eneo hilo huku akielezea namna yanavyoweza kutunza Mazingira ya Nyumbani na mengine hutumika kama Dawa na Matunda. Na Musa Mtepa Bustani…

30 December 2023, 8:48 am

Walinzi wa uhifadhi wanavyohatarisha maisha kulinda shoroba.

Juhudi zinazo fanywa na  askari wa uhifadhi ,Wizara ya Maliasili na Utalii kwa kushirikiana na wananchi walio  jirani katika  maeneo ya uhifadhi haswa shoroba ama mapitio ya wanayapori kama Kwakuchinja zinahitajika kuongezwa na kuboreshwa ili  kufikia azma kuu ya nchi…

21 December 2023, 4:23 pm

Mila, desturi zachangia kumnyima mwanamke haki ya kumiliki mali

Mila na desturi zimetajwa kuchangia kumnyima mwanamke haki ya kumiliki mali hali inayomrudisha nyuma kimaendeleo na kuchochea vitendo vya ukatili wa kijinsia . Na Mariam Matundu.Mariam Matundu amezungumza na mwanasheria kutoka Chama Chama Wanasheria Wanawake TAWLA Neema Ahmed ana anaanza…

23 October 2023, 15:00 pm

Makala: Upatikanaji wa huduma za afya kwa watu wenye ulemavu

Upatikanaji wa huduma za afya kwa watu wenye ulemavu ni makala inayozungumzia masuala mbalimbali ambayo watu wenye ulemavu hukumbana nayo na pia imeeleza namna ambavyo wanapata huduma. Makala hii imeelezea madhira wanayopitia katika maeneo ya kutolea huduma. Na Msafiri Kipila…

21 September 2023, 4:58 pm

Ni kawaida tembo kurudi katika usharoba waliozoea?

Kwa asili hiyo ya Tembo pale wanapokuja katika makazi ya watu kuna mbinu mbalimbali hutumika kuwakabili, mbinu ambazo huzaa matunda mara moja. Yussuph Hassan. Fahari ya Dodoma inaendelea kukuelezea tukio la baadhi ya maeneo yaliyovamiwa na kundi la tembo Dodoma.…