![](https://radiotadio.co.tz/wp-content/themes/radiotadio/assets/img/banner/1500x300.jpg)
Makala
![](
https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/41/2024/07/img-20240713-wa0286-350x350.jpg )
14 July 2024, 11:37
Wakristo Mbeya wafanya maombi maeneo ya ajali zinakotokea mara kwa mara
Kutokana na ajali za mara kwa mara mkoani Mbeya zimewafanya wakristo kufanya ibada ya maombezi kukomesha matukio hayo. Na Deus Mellah Jukwaa la wakristo wa madhehebu mbalimbali mkoani Mbeya wamefanya maandamano ya amani na kuombea maeneo ambayo ajali zimekuwa zikitokea …
![](
https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/17/2024/05/img-20240520-wa0014-350x350.jpg )
May 28, 2024, 12:56 pm
Wahudumu wa afya watakiwa kuwa na lugha nzuri
Mkuu wa mkoa wa Shinyanga, Annamringi Macha amewataka watumishi wa idara ya Afya katika halmshauri ya msalala wilayani Kahama kuwa na lugha nzuri na zenye staha wakati wa kuwahudumia wananchi wanaofika katika vituo vyao kwa ajili ya matibabu. Akizungumza na…
![](
https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/4/2024/02/20240106-151052-350x350.jpg )
12 February 2024, 15:07 pm
Umuhimu wa kutunza mazingira kwa kutumia upandaji maua-Kipindi
Kipindi cha Mazingira ambacho amesikika kijana Nelson Everisty mkazi wa Manispaa ya Mtwara Mikindani ambae amekuwa akizalisha maua katika Eneo hilo huku akielezea namna yanavyoweza kutunza Mazingira ya Nyumbani na mengine hutumika kama Dawa na Matunda. Na Musa Mtepa Bustani…
![](
https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/4/2024/02/20240112-132949-350x350.jpg )
5 February 2024, 14:08 pm
Fahamu manufaa ya uwepo wa shughuli za Gesi Kijiji cha madimba katika Miradi ya…
Kwa mujibu wa SHIRIKA la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) limesema kiwango cha uchakataji wa gesi asilia kwa miaka nane katika kiwanda cha kuchakata gesi asilia cha Madimba kimeongezeka kutoka futi za ujazo milioni 20 mwaka 2015 hadi kufikia futi za…
![](
https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/37/2024/01/img-20231213-wa0015-350x350.jpg )
11 January 2024, 1:45 pm
Ulinzi na doria ulivosaidia kupunguza uwindaji haramu ndani ya ushoroba wa kwaku…
Sheria ya Uhifadhi wa Wanyamapori ya mwaka 2009 imeweka bayana kuwawanyamapori ni sehemu ya nyara za Serikali, hivyo mtu anayetaka kutumia nyamaporini lazima afuate taratibu za kisheria kuipata ikiwemo kupata kibali maalum. Uwindaji haramu siyo tu umepungua Kwakuchinja bali hata…
![](
https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/37/2023/12/img-20231202-wa0030-350x350.jpg )
30 December 2023, 8:48 am
Walinzi wa uhifadhi wanavyohatarisha maisha kulinda shoroba.
Juhudi zinazo fanywa na askari wa uhifadhi ,Wizara ya Maliasili na Utalii kwa kushirikiana na wananchi walio jirani katika maeneo ya uhifadhi haswa shoroba ama mapitio ya wanayapori kama Kwakuchinja zinahitajika kuongezwa na kuboreshwa ili kufikia azma kuu ya nchi…
![](
https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/10/2023/12/wanawake-350x350.jpg )
21 December 2023, 4:23 pm
Mila, desturi zachangia kumnyima mwanamke haki ya kumiliki mali
Mila na desturi zimetajwa kuchangia kumnyima mwanamke haki ya kumiliki mali hali inayomrudisha nyuma kimaendeleo na kuchochea vitendo vya ukatili wa kijinsia . Na Mariam Matundu.Mariam Matundu amezungumza na mwanasheria kutoka Chama Chama Wanasheria Wanawake TAWLA Neema Ahmed ana anaanza…
![](
https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/4/2023/10/20230723-163351-350x350.jpg )
23 October 2023, 15:00 pm
Makala: Upatikanaji wa huduma za afya kwa watu wenye ulemavu
Upatikanaji wa huduma za afya kwa watu wenye ulemavu ni makala inayozungumzia masuala mbalimbali ambayo watu wenye ulemavu hukumbana nayo na pia imeeleza namna ambavyo wanapata huduma. Makala hii imeelezea madhira wanayopitia katika maeneo ya kutolea huduma. Na Msafiri Kipila…
![](
https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/10/2023/09/vlcsnap-2023-09-26-16h19m10s032-350x350.png )
26 September 2023, 4:45 pm
Fahamu mbinu bora za kuwafukuza tembo wanapo ingia katika makazi ya watu
Lakini je nini wananchi wanapaswa kufanya tembo wanapopita au kuingia katika makazi yao. Na Yussuph Hassan. Ukosefu wa mbinu bora za kuwafukuza Tembo wanapo ingia katika vijiji au makazi ya watu umekuwa ukipelekea wanyama hawa kufanya uharibifu ikiwemo kuwadhuru watu…
![](
https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/10/2023/09/vlcsnap-2023-09-21-16h47m41s773-350x350.png )
21 September 2023, 4:58 pm
Ni kawaida tembo kurudi katika usharoba waliozoea?
Kwa asili hiyo ya Tembo pale wanapokuja katika makazi ya watu kuna mbinu mbalimbali hutumika kuwakabili, mbinu ambazo huzaa matunda mara moja. Yussuph Hassan. Fahari ya Dodoma inaendelea kukuelezea tukio la baadhi ya maeneo yaliyovamiwa na kundi la tembo Dodoma.…