
Makala

10 March 2023, 5:07 pm
Hizi hapa aina nne za zabibu zinazozalishwa jijini Dodoma
Leo tutaangalia historia ya aina na maumbo mbalimbali ya tunda la zabibu linalozalishwa ndani ya jiji la Dodoma. Na Yusuph Hassani. Darwesh Said ambaye ni mwakilishi wa kikundi cha kutunza mazingira chapakazi anasimulia historia mzima ya kuhusiana na aina ya…

27 February 2023, 3:11 pm
Hii hapa historia ya zabibu kuingia nchini
Leo tutaangalia ni jinsi gani tunda la zabibu lilivyoweza kuingia nchini pamoja na historia nzima ya kuhusiana na zabibu. Na Yusuph Hassani. Darwesh Said ambaye ni mwakilishi wa kikundi cha kutunza mazingira chapakazi anasimulia historia mzima ya kuhusiana na tunda…

22 February 2023, 1:00 pm
Zifahamu siri za fimbo za kitemi
Simulizi hii inatufafanulia masuala ya fimbo zilizokuwa zikimilikiwa na watemi wa kabila la wagogo na majaabu ya fimbo hizo. Na Yusuph Hassan. Chifu Lazaro Masuma Chihoma kutoka katika kata ya Iyumbu himaya ya Bwibwi jijini Dodoma amesimulia simulizi hiyo ya…

7 February 2023, 2:44 pm
Muendelezo wa Simulizi Ya Utawala wa Kitemi katika Kabila La Kigogo
Muendelezo wa Simulizi hii inatuonyesha maswala mazima yanayomuhusu chifu,mavazi yake utawala na vitu mbalimbali ambavyo alikuwa akitumia Chifu wa kabila la Kigogo. Na Yussuph Hassan. Chifu Lazaro Masuma Chihoma kutoka katika kata ya Iyumbu himaya ya Bwibwi jijini Dodoma asimulia…

4 February 2023, 2:04 pm
Taarifa ya habari ya Nuru FM iliyoruka Feb 3 2023
Sikiliza Taarifa ya habari zilizosomwa Katika Kituo cha Redio Nuru Fm iliyopo Mkoani Iringa

30 January 2023, 10:25 am
Nishati safi ya kupikia Je wanawake Pangani wanasemaje?
Hujambo na Karibu kusikiliza Makala maalumu inayoangazia namna wanawake wanavyoweza kutumia nishati safi ya kupikia ili kutunza mazingira.

12 April 2021, 2:06 pm
Ligi ya wilaya yaanza jijini Dodoma
Na; Matereka Junior Ligi ya wilaya imeanza rasmi jana na mechi ya ufunguzi imewakutanisha kati ya WAGONGA NYUNDO 3-0 NZUGUNI RANGERS. Katibu wa DUFA, Omarooh Omar amezungumzia kuanza kwa ligi hii. CLIP OMAROH