Radio Tadio

Maji

30 June 2025, 8:03 pm

Elimu ya afya ya uzazi yawafikia vijana

Elimu ya afya ya uzazi kwa vijana ina umuhimu mkubwa kwa jamii katika kujiletea ustawi wake. Na Joyce Buganda Shirika la SOS Chidrens Villages na taasisi ya TAI  wamekuja kidigitali kwa kutengeneza jumbe zinahusu afya ya uzazi kwa vijana ili…

30 June 2025, 6:52 pm

TMDA yawapiga msasa wakaguzi wa dawa na vifaa tiba Simiyu

“Twendeni tukatende haki kwa kuzingatia miiko ya taaluma zetu pale ambapo tunatekeleza majukumu ya ubora wa bidhaa ambazo zipo sokoni bila kukandamiza wafanyabiashara wanaolalamikia utendaji kazi wakati wa ukaguzi”. Na, Daniel Manyanga  Wafamasia, wataalam wa maabara na maafisa mifugo katika…

21 June 2025, 5:36 pm

Nyumba ya milioni 73 yateketea kwa moto Maswa

“Tuendelee kuwakumba wenye uhutaji katika kurudisha faraja kutokana na familia hizo kupitia kwenye changamoto kwa kipindi hicho na hii ni ibada kubwa sana kwa Mungu wetu kwa kutoa sadaka kwa wenye changamoto mbalimbali”. Na, Daniel Manyanga  Jamii wilayani Maswa mkoani…

19 June 2025, 4:54 pm

Shule bora Bariadi yaongeza ufaulu wa wanafunzi

“Elimu ni urithi pekee ambao mtu hawezi kuporwa na mtu yeyote hivyo tuwekeze elimu kwa watoto wetu bila kujali kuna ajira au hakuna ajira maana huu ni ujuzi wake ambao utakuja kumsaidia katika maisha ya hapa duniani”. Na, Daniel Manyanga …

17 June 2025, 8:34 am

Dkt.Samia arejesha kicheko kwa wakulima wa pamba

“Tunapandisha zao moja baada ya jingine niseme tu kuwa zao la pamba ni wapo ya mkakati uliyopo katika kuleta uhalisia wa gharama anazotumia mkulima ili uchumi wa mtu mmoja mmoja na mkoa wa Simiyu uweze kukua na kuongeza hali ya…

12 June 2025, 5:42 pm

Simbachawene hakuna rushwa kubwa wala ndogo wote wanamakosa

“Rushwa ni adui wa haki na maendeleo kahuna rushwa kubwa wala ndogo nendeni tukawahudumia wananchi walio na changamoto za kunyanyaswa na watu wanaotumia madaraka kwa kuwakandamiza watu ambao walitakiwa wapewe haki hakuna aliye mkubwa zaidi ya sheria na katiba ya…

June 12, 2025, 2:46 pm

Wananchi watakiwa kuacha kukata miti hovyo

”Wananchi acheni tabia ya kukata miti hovyo ili kukabiliana na changamoto ya mabadiliko ya tabia nchi” Na Sebastian Mnakaya Wananchi wa kijiji cha Chela katika halmashauri ya Msalala wilayani Kahama mkoani Shinyanga wametakiwa kuendelea kutunza na kulinda mazingira katika maeneo…