Radio Tadio

Maji

20 Januari 2023, 3:12 um

Serikali yatatua kero ya maji Mvumi Misheni

Na; Victor Chigwada. Wananchi wa Kata ya Mvumi misheni Wilayani Chamwino wameipongeza na kuishukuru Serikali ya awamu ya sita kwa juhudi za kutatua changamoto ya maji Wakizungumza na taswira ya habari wananchi hao wamesema kuwa kujengwa kwa mradi  huo wa …

20 Oktoba 2022, 12:20 um

Wakazi wa Chenene walia na uhaba wa maji

Na; Benard Filbert. Kusuasua kwa upatikanaji wa huduma ya maji katika kijiji Cha Chenene wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma imetajwa kuwa kero kwa wakazi wa eneo . Taswira ya habari imefika katika kijiji cha Chenene nakujionea hali halisi ya upatikanaji…

19 Oktoba 2022, 8:57 mu

Serikali yaahidi kutatua changamoto ya maji Chunyu

Na;Mindi Josph . Serikali imeahidi kuchimba visima vya maji ili kutatua changamoto ya maji inayowakabili wananchi  wa kijiji cha chunyu wilayani Mpwapwa. Wakizungumza na Taswira ya habari baadhi ya wananchi wa Kijiji hicho wamesema hadi sasa wanatumia maji chumvi ambayo…

9 Septemba 2022, 10:15 mu

kilio uhaba wa maji Rungwe kupata tiba mwezi oktoba

RUNGWE-MBEYA NA:WANDE BUSHU Wananchi wa Kitongoji cha Kawetele chini Wilaya ya  Rungwe Mkoani Mbeya wameiomba serikali kuwatatulia changamoto ya huduma ya maji iliyo dumu kwa muda mrefu licha la kulipia bili ya maji kila mwezi Wakizungumza na Chai Fm wamesema …

8 Septemba 2022, 7:19 um

Wananchi Wapongeza Serikali kwa Mradi wa Maji

TANGANYIKA Wananchi wakijiji cha Vikonge kata ya Tongwe wilaya ya Tanganyika Mkoani Katavi wamepongeza jitihada zinazo fanywa na serikali katika kutekeleza mradi wa maji kijijini hapo. Wakizungumza na mpanda redio fm wananchi hao wamesema kuwa kukamilika kwa mradi huo kutawapunguzia…

10 Agosti 2022, 8:24 um

Dc Maswa Aswege Kaminyoge- “Nitawasukuma ndani wote wanaohujumu Mi…

Mkuu  wa  Wilaya  ya  Maswa  Mkoani   Simiyu  Aswege  Enock  Kaminyoge   amesema   atawasweka  ndani  wote  wanaohujumu  Miundo mbinu  ya  Maji  huku  akianza   na   Viongozi  wa  Serikali  ya  kijiji… Hayo  ameyasema  leo  wakati   akiongea katika  mkutano   na   Watendaji  wa  Wakala wa  Maji …

1 Agosti 2022, 9:11 mu

Wananchi Wazuia Msafara Wa Waziri Wa Maji, Walia Kero Ya Maji

WANANCHI wa Mto wa Mbu wilayani Monduli mkoani Arusha wamezimka kuuzuia msafara wa Waziri  wa Maji, Jumaa Aweso kulalamikia kukosa maji ya matumizi mbalimbali kwa muda mrefu. Kufuatia hali hiyo Waziri Aweso alilazimika kuchukua maamuzi magumu ya kutangaza kuzivunja Jumuiya…

27 Julai 2022, 11:41 mu

WANANCHI WILAYANI MASWA WAASWA KUTUNZA VYANZO VYA MAJI.

Balozi  wa  Maji nchini  Mrisho  Mpoto maarufu  kwa  Jina  la  Mjomba  Amewaasa  Wananchi Wilayani  Maswa  Mkoani  Simiyu  kutunza  vyanzo   vya  Maji  likiwemo  Bwawa  la  New  Sola   lililopo  katika   kijiji  cha  Zanzui  kata  ya  Zanzui.. Balozi  Mpoto  ametoa   nasaha  hizo alipotembelea …