Kilimo
4 Oktoba 2022, 9:17 mu
RC Dendego Amefufua Shamba La Chai Kijiji Cha Kidabaga Wilaya Kilolo
Mkuu wa Mkoa wa Iringa Halima Dendego amelifufua shamba la Chai lenye hekta zaidi ya elfu 3,000 katika Kijiji cha Kidabaga Kilichopo kata ya Dabada Wilaya ya Kilolo ambalo halikufanya uzalishaji kwa zaidi ya Miaka 30. Akiungumza katika mashamba…
16 Septemba 2022, 4:37 mu
Wakulima Watakiwa Kuendelea Kujiandikisha na Ruzuku ya Mbolea
MPANDA Wakulima Kata ya makanyagio wametakiwa kuendelea kujiandikisha katika maeneo wanayofanyia shughuli za kilimo ili kunufaika na ruzuku ya mbolea iliyotolewa na serikali. Akitoa ufafanuzi huo wakati akizungumza na mpanda radio fm mtendaji wa kata hiyo Dolnad Edward amesema serikali…
12 Septemba 2022, 5:26 um
Bei ya ndizi kushuka kilio kwa wakulima
RUNGWE-MBEYA, NA:LOVENESS RAJABU Wafanyabiashara wa ndizi wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya wameeleza bei ya ndizi kwa kipindi hiki cha kiangazi. Wakizungumza na Chai FM wafanyabiashara wa ndizi katika soko la Mabonde wamesema kuwa kwa sasa bei ya ndizi ipo chini…
9 Septemba 2022, 9:51 mu
wakulima elfu 17 tayari wamesajiliwa Mbolea ya ruzuku
RUNGWE-MBEYA NA:LETHISIA SHIMBI Wakulima wilayani rungwe Mkoani mbeya wametakiwa kufuata taratibu wa kujisajili kwenye mfumo Ili kuweza kupata Ruzuku za pembejeo. Akizungumza na kituo Chai FM afisa kilimo wilayani hapa JUMA MZARA amesema katika halmashauri ya Rungwe wamesajiri wakulima elfu…
5 Septemba 2022, 10:51 mu
Kizungumkuti Viwatilifu Vya Korosho
Wananchi wa kijiji cha Isinde kata ya Mtapenda Halimashauri ya Nsimbo Mkoani Katavi wamelalamikia kutopewa viwatilifu kwaajili ya zao la korosho licha ya kuwa wakulima wa zao hilo zaidi ya miaka mitano. Wakizungumza na kituo hiki wakulima hao wamesema kuwa …
8 Juni 2022, 4:09 um
WAMILIKI WA MAGHALA WAASWA KUTUNZA NYARAKA KUSAIDIA KUPATA TAKWIMU ZA UZALISHAJI…
Afisa kilimo manispaa ya Mpanda Benatus Ngoda amewataka Wamiliki wa maghala ya kutunzia vyakula mkoani Katavi kutunza nyaraka ili kusaidia kupata takwimu sahihi za chakula kinachozalishwa kwa mwaka nchini na kutunza chakula kwa usalama. Akizungumza na Mpanda radio fm Ameeleza…
8 Juni 2022, 3:55 um
WAKULIMA WA MPUNGA WAASWA KUTUMIA NJIA ZA KISASA KUHIFADHI MAZAO
Wakulima wa Mpunga mkoani Katavi wameaswa kutumia njia za kisasa za kuhifadhi zao hilo mara baada ya kuvuna ili waweze kuendana na utunzaji bora kwa manufaa ya zao hilo likiingia sokoni. Akizungumza na Mpanda radio fm afisa kilimo kata ya…
8 Juni 2022, 3:34 um
ULEGA: TUMIENI MAFUNDISHO KULETA MABADILIKO KATIKA SEKTA YA MAZIWA NCHINI
Naibu waziri wa kilimo na uvuvi Abdala Ulega Amezitaka jamii mkoani Katavi kutumia mafundisho waliyoyapata katika maadhimisho ya wiki ya maziwa ili kuleta mabadiliko katika sekta ya maziwa nchini. Akizungumza wakati wa kufunga wiki ya maziwa mkoani hapa Ulega amesema…
5 Mei 2022, 2:00 um
Wananchi watakiwa kutambua umuhimu wa Mbaazi
Na; Leonard Mwacha. Wananchi mkoani Dodoma wametakiwa kutambua umuhimu wa zao la mbaazi kuwa lina manufaa makubwa katika matumizi mbalimbali pamoja na biashara. Wito huo umetolewa na, Mkurugenzi wa wa asasi siyokuwa ya serikali SEIDA Bw. Fredrick Ogenga, kupitia warsha…
1 Novemba 2021, 2:04 um
Wiki ya AZAKI 2021
Wiki ya AZAKi 2021 ilianza tarehe 23 hadi 28 Oktoba katika Ukumbi wa Jakaya Kikwete Convention Centre mjini Dodoma. Tukio hili ni moja ya mikusanyiko mikubwa ya Asasi za Kiraia nchini Tanzania. Tukio hili linalenga kuwaleta pamoja wanachama wakuu wa…