Kilimo
9 Agosti 2023, 4:03 um
Wakulima Maswa waaswa kutumia mbegu bora zilizofanyiwa utafiti
Wakulima Wilayani Maswa Mkoani Simiyu wahamasishwa kutumia mbegu bora zilizofanyiwa utafiti ili kuongeza uzalishaji kwenye sekta ya kilimo. Na,Alex Sayi. Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu Maisha Mtipa amewaasa Wakulima Wilayani hapa kutumia mbegu zilizofanyiwa utafiti ili…
8 Agosti 2023, 2:55 um
Wakazi wa Mtube waeleza kunufaika na Bwawa
Nchi yetu imejaliwa kuwa na vyanzo vya maji vya aina mbalimbali ikiwemo Mito na Maziwa, licha ya kwamba Mkoa wa Dodoma unatajwa kuwa Kame lakini umejaaliwa kuwa na Mabwawa ambayo yanatumika katika Kilimo na Mwenye macho haambiwi Tazama. Na Mindi…
8 Agosti 2023, 8:54 mu
Makala: Kilimo cha migomba nchini Tanzania
Radio Adhana FM inakukaribisha kusikiliza makala ya Elimika kuhusu kilimo cha Migomba, sikiliza sauti hapo juu ili kupata faida kuhusu ukulima wa migomba.
7 Agosti 2023, 2:52 um
Wakulima wapongeza mfumo wa M-KULIMA
M-Kulima ni mfumo unaolenga sekta ya kilimo na unatumika mahali popote kwa mkulima kupokea malipo yake kwa wakati na unarahisisha shughuli za Kilimo. Na Mindi Joseph. Wakulima wa zao la Zabibu Mkoani Dodoma wamepongeza uwepo wa mfumo wa M-kulima kwani…
7 Agosti 2023, 10:25 mu
SMZ yapandisha bei ya karafuu Zanzibar
Karafuu ni zao kuu la biashara Zanzibar na sasa bei ya zao hilo imeongezwa ili kukuza kipato cha wakulima visiwani humo. Na Idara ya Habari Maelezo Zanzibar Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imepandisha bei ya karafuu kutoka shilingi 14,000 hadi…
4 Agosti 2023, 3:15 um
Wakulima Kanda ya Magharibi watakiwa kushiriki maonesho ya nanenane
Mkuu wa mkoa wa Tabora amesema maonesho ya nane nane yanalenga kujifunza mbinu mbalimbali za kilimo bora. Na Omary Khamis Wakulima kanda ya magharibi wametakiwa kushiriki maonesho ya nanenane ili kujifunza mbinu bora zitakazo wasaidia kuvuna mazao mengi na kupata…
1 Agosti 2023, 10:45 um
TAKUKURU Geita yaokoa zaidi ya shilingi milioni 11
Wakulima wa pamba wamelalamikia kutapeliwa pesa zao za mauzo, hali iliyopelekea TAKUKURU kuingilia kati. Na Kale Chongela- Geita Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa TAKUKURU mkoa wa Geita imefanikiwa kuokoa zaidi ya Shilingi Milioni 11 zilizokuwa zimetapeliwa na viongozi…
31 Julai 2023, 5:34 um
NIRC kujenga mabwawa 100 nchi nzima
Hatua hiyo itafanya kuwa na mabwawa 114 ambayo yatawasaidia wakulima kuwa na Kilimo Cha uhakika. Na Seleman Kodima. Tume ya Taifa ya Umwagiliaji NIRC imewahakikishia wananchi kuwa hakuna mradi wowote umesimama kwa sababu ya fedha bali zipo hatua ambazo lazima…
28 Julai 2023, 4:21 um
Wahitimu BBT kwenda JKT mafunzo ya uzalendo
Mnamo Tarehe 23 Februari, 2023 serikali kupitia Wizara ya Kilimo ilitangaza awamu ya kwanza ya majina 812 ya vijana waliochaguliwa kujiunga katika programu ya Building Better Tomorrow: Youth Initiative in Agribusiness (BBT-YIA). Serikali kupitia programu hii itawawezesha vijana kushiriki kilimo…
26 Julai 2023, 5:42 um
Serikali yatakiwa kuhamasisha vijana kujikita katika kilimo
Kartika kupunguza changamoto ya ajira na ugumu wa maisha kwa vijana nchini serikali imeendelea kusisitiza juu ya suala la kilimo biashara kwa kuanzisha programu mbalimbali kwa lengo la kuwawwezesha kujikwamua kiuchumi ikiwa ni katika kuanzisha mashamba ya kilimo pamoja na…