Kilimo
Agosti 22, 2023, 10:12 mu
Mkulima Shinyanga amwangukia Waziri wa Kilimo ukame kwenye mashamba yake
Paul Kayanda amezungumza na mkulima Shauri Elias namna ambavyo anafanya shughuli zake za kilimo sambamba na changamoto zinazomkabili. Na Paul Kayanda Mkulima wa kijiji cha Lyagiti kata ya Lyabukande halmashauri ya Shinyanga vijijini, Shauri Elias Mbelele amemuomba Waziri wa Kilimo…
20 Agosti 2023, 3:02 um
Utata malipo ya tumbaku Nsimbo
NSIMBO Wakulima wa zao la tumbaku halmashauri ya Nsimbo mkoani Katavi wameutaka uongozi wa kampuni ya ununuaji wa tumbaku ya Mkwawa kuharakisha kufanya malipo ya zao hilo. Wakizungumza na kituo hiki kwa nyakati tofauti wakulima hao wametaja kuwa ucheleweshwaji wa…
17 Agosti 2023, 14:02
Mazao 13 nchini yatajwa kutumia mfumo wa stakabadhi ghalani
Na Mindi Joseph. Jumla ya mazao 13 nchini yametajwa kutumia mfumo wa stakabadhi ghalani ikiwa ni hatua kubwa kutoka mazao machache ndani ya miaka 3 iliyopita. Hii ni kufuatia uhamasishaji wa matumizi ya mfumo huu kwa wananchi. Kaimu Mkurugenzi Mtendaji…
17 Agosti 2023, 8:17 mu
Kipindi: Jinsi kilimo cha umwagiliaji kilivyowakomboa wanawake wakulima Mkoani
13 Agosti 2023, 2:13 um
Wakulima, wafugaji Kojani wanyoosheana vidole
Baada ya migogoro ya muda mrefu kati ya wakulima na wafugaji katika shehia ya Kojani bado suala hili limekuwa kizungumkuti kutokana na kukosekana kwa ufumbuzi wa tatizo hilo. Na Mwiaba Kombo Wakulima shehia ya Kojani Wilaya ndogo ya Kojani mkoa…
10/08/2023, 14:55
Masheha watakiwa kuyatumia maonesho ya nanenane kujiongezea elimu
Amesema katika ziara yao hiyo watajifunza mbinu mbali mbali ambazo wakiitoa kwa wananchi wataweza kuisaidia kwa kiasi kikubwa wizara katika utoaji wa elimu ya kilimo na ufugaji. Na Khamis Said Waziri wa Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo Shamata Shaame Khamis amewataka masheha wa wilaya…
9 Agosti 2023, 4:03 um
Wakulima Maswa waaswa kutumia mbegu bora zilizofanyiwa utafiti
Wakulima Wilayani Maswa Mkoani Simiyu wahamasishwa kutumia mbegu bora zilizofanyiwa utafiti ili kuongeza uzalishaji kwenye sekta ya kilimo. Na,Alex Sayi. Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu Maisha Mtipa amewaasa Wakulima Wilayani hapa kutumia mbegu zilizofanyiwa utafiti ili…
8 Agosti 2023, 14:55
Wakazi wa Mtube waeleza kunufaika na Bwawa
Nchi yetu imejaliwa kuwa na vyanzo vya maji vya aina mbalimbali ikiwemo Mito na Maziwa, licha ya kwamba Mkoa wa Dodoma unatajwa kuwa Kame lakini umejaaliwa kuwa na Mabwawa ambayo yanatumika katika Kilimo na Mwenye macho haambiwi Tazama. Na Mindi…
8 Agosti 2023, 8:54 mu
Makala: Kilimo cha migomba nchini Tanzania
Radio Adhana FM inakukaribisha kusikiliza makala ya Elimika kuhusu kilimo cha Migomba, sikiliza sauti hapo juu ili kupata faida kuhusu ukulima wa migomba.
7 Agosti 2023, 14:52
Wakulima wapongeza mfumo wa M-KULIMA
M-Kulima ni mfumo unaolenga sekta ya kilimo na unatumika mahali popote kwa mkulima kupokea malipo yake kwa wakati na unarahisisha shughuli za Kilimo. Na Mindi Joseph. Wakulima wa zao la Zabibu Mkoani Dodoma wamepongeza uwepo wa mfumo wa M-kulima kwani…