
Kilimo

28 April 2023, 3:11 pm
Zaidi ya hekari 6000 zatengwa kwaajili ya blockfarm Kongwa
Mkuu wa wialaya amewaomba madiwani kuwahimiza wananchi kuhusu suala la uhifadhi wa chakula hususani katika kipindi hiki Cha mavuno Kwani wengi wao wamekuwa wakiuza mazao Kwa kasi badala ya kuhifadhi kwaajili ya msimu ujao. Insert 2 sec 00:34 NA Bernadetha…

27 April 2023, 6:54 pm
Wakulima Kongogo waahidiwa mashine za kisasa
Na Mindi Joseph. Mbunge wa Jimbo la Bahi, Kenneth Nollo amewaahidi wakulima wa Kongogo kuwanunulia mashine za kisasa za kupandia mpunga pindi tu ujenzi wa skimu ya umwagiliaji utakapokamilika 2024. Akizungumza na Wakulima hao amesema wilaya ya bahi imekuwa ikizalisha…

27 April 2023, 5:52 pm
Mpunga Hatarini Kuharibika kwa Mvua
MPANDA Baadhi ya Wananchi wa Kata ya Mwamkulu manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wamehofia kuharibika kwa zao la mpunga uliopo shambani kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha. Wakizungumza na kituo hiki wamesema kuwa kuna hatari ya kupoteza mazao ya mpunga kutokana…

26 April 2023, 3:54 pm
Wakulima wa zabibu waomba elimu ya kuongeza thamani zao hilo
Zabibu huzalisha bidhaa mbalimbali ikiwemo Mvinyo, Sharbati, jamu pamoja na nyingine nyingi lakini elimu ya kuongeza thamani zao hili bado ni ndogo sana kwa wakulima. Na Thadei Tesha. Baadhi ya wakazi wa jiji la Dodoma wameiomba serikali kuendelea kutoa elimu…

25 April 2023, 6:07 pm
Tume ya Taifa ya umwagiliaji kukarabati skimu za umwagiliaji
Mwezi wa tano Tume ya taifa ya umwagiliaji inatarajia kutia saini mikataba 8 yenye zaidi ya thamani ya zaidi ya shilingi Bilion 59. Na Mindi Joseph. Tume ya Taifa ya umwagiliaji leo imetia saini mikataba 4 ya ujenzi na ukarabati…

24 April 2023, 4:04 pm
Wananchi watakiwa kutambua kilimo cha umwagiliaji ni cha uhakika
Dodoma ni miongoni mwa mikoa iliyo na hali ya ukame na Hupata wastani hali inayopelekea kulima mazao yanayostahili ukame kama vile uwele, mtama, mahindi, karanga, alizeti, ufuta na zabibu. Na Mindi Joseph. Wananchi Kata ya Babayu wamehimizwa kujikita katika kilimo…

21 April 2023, 10:42 am
Wakulima wa Kilosa wanashauriwa kupanda alizeti
Zao la alizeti ni zao ambalo ni la muda mfupi pia linastahimili mvua kidogo hivyo mkulima atanufaika kwenye mazao ambayo atajikwamua kiuchumi kwa haraka tofauti na mazao mengine. “Mvua zimerudi kwa kipindi kingine ambacho mkulima awali alipanda mazao kama mahindi…

20 April 2023, 10:31 pm
Nje ya ufuta na korosho hakuna halmashauri za Ruangwa, Liwale na Nachingwea
Na Loveness Daniel Mkuu wa wilaya ya Ruangwa Mhe. Hassan Ngoma amewataka wakuu wa wilaya zote zinazounda ushirika wa chama kikuu cha RUNALI kusimamia kwa umakini na kuweka jitihada kubwa katika zao la korosho na ufuta katika halmashauri zao kwani…

20 April 2023, 9:34 am
Dc Maswa Aswege Kaminyoge atoa Maagizo Mazito kuhusu chanjo …
Mkuu wa Wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu Mhe Aswege Kaminyoge ametoa Maagizo kwa Wafugaji Wote kupeleka Mifugo yao kwenda kuchanja Sehemu ambazo zimeandaliwa na kijiji husika ili kujikinga na Magonjwa hatari ya Mifugo. Sauti ya DC Maswa Aswege kaminyoge kuhusu …

19 April 2023, 11:29 pm
RUNALI yawanoa wajumbe wa vyama vya msingi
Na Loveness Daniel Chama kikuu cha ushirika RUNALI kinachojumuisha wilaya ya Ruangwa,Nachingwea na Liwale kimetoa mafunzo kwa wajumbe wa vyama vya msingi katika jumla ya amcos 106 leo 19 April 2023 mafunzo hayo yamefanyika ghala la Runali wilaya ya ruangwa.…