Kilimo
21 June 2023, 3:47 pm
Wakulima wa alizeti Bahi walalamika kuporomoka kwa bei
Wakulima hao wanasema wanalazimika kuuza alizeti kwa bei ndogo ili waweze kupata fedha za kujikimu . Na Bernad Magawa. Wakulima wa zao la alizeti wilayani Bahi wamelalamikia kuporomoka kwa bei ya zao hilo ambalo limejipatia umaarufu hivi karibuni na kuwa…
June 21, 2023, 7:58 am
Maadhimisho Siku ya Mkulima yafanyika Makete
Mkurugenzi wa TARI MLINGANO Tanga DKT. Catherine Senkoro akiwa na Mwandishi wa Kitulo FM kwenye shamba la Mfano la Ngano Kigala
June 21, 2023, 7:44 am
Kilimo cha ngano kuwa mkombozi kwa wakulima Makete
Halmashauri ya Wilaya ya Makete kwa kushirikiana na Tume ya Taifa ya Mipago ya Matumizi ya Ardhi imezindua Mkakati wa kupanga, kupima Ardhi na kutoa Hati za Hatimiliki za Kimila kwa wakulima wa Ngano.
9 June 2023, 12:00 pm
Kikundi cha vijana Mundemu kunufaika na kilimo cha nyanya
Kikundi hicho kimepokea mkopo wa shilingi milioni nane kutoka halmashauri ya wilaya ya Bahi. Na Bernad Magawa. Kikundi cha kilimo tija cha vijana kijiji cha Mundemu kata ya Mundemu wilayani Bahi kinatarajia kunufaika na kilimo cha nyanya kupitia kilimo cha…
9 June 2023, 8:38 am
Udhibiti sumukuvu kukuza mnyororo wa thamani katika biashara
Kupitia mafunzo hayo washiriki wameweza kufahamu maana ya sumukuvu na madhara yake kwa afya ya binadamu. Na Bernadetha Mwakilabi. Wadau mbalimbali wa kilimo cha karanga na mahindi katika kata ya Mtanana wilayani Kongwa wamepatiwa mafunzo juu ya udhibiti wa sumukuvu…
June 9, 2023, 7:41 am
Mfumko bei ya viazi: Wadau walalamikia gharama za chips Makete
Bei ya Viazi yawanufaisha wakulima na walaji walalamikia
June 8, 2023, 2:03 pm
Wito: Maafisa ugani tembeleeni wakulima shambani
Wakulima wilayani Makete Mkoani Njombe wametakiwa kuendelea kuwatumia maafisa ugani waliopo katika maeneo yao katika shughuli zao za kilimo
6 June 2023, 5:02 pm
Wakulima wa zabibu walalamikia uhaba wa soko la uhakika
Na Mindi Joseph. Wakulima wa zao la zabibu kijiji cha Makag’wa mkoani Dodoma wamesema ukosefu wa soko la uhakika ikiwemo idadi ndogo ya viwanda vya kusindika zabibu kumechangia kurudisha nyuma maendeleo ya wakulima wa zao hilo. Wakulima hao wameeleza hayo…
2 June 2023, 7:06 pm
Dodoma: Mashine za kuvuna karanga zawakosha wakulima
Karanga ni mojawapo ya mazao yanayotoa mafuta na zao hili hustawi zaidi katika mikoa ya Kusini Mashariki, Dodoma na Morogoro. Na Mindi Joseph. Wakulima wa zao la karanga mkoani Dodoma wamepongeza uwepo wa teknolijia ya mashine za kuvuna karanga. Mashine…
1 June 2023, 4:56 pm
Bahi: Gharama kubwa zachangia wakulima kususia kilimo cha mpunga
Wakulima hao wameendelea kuiomba serikali kuwatafutia masoko ya uhakika . Na Bernad Magawa Baadhi ya wakulima wa mpunga wilayani Bahi wameshindwa kushiriki kikamilifu katika kilimo msimu uliopita wa kilimo kutokana na gharama kubwa za kilimo hicho pamoja na pembejeo. Mpunga…