Radio Tadio

Kilimo

1 June 2023, 2:14 pm

Wakulima wa mtama wanufaika na mbegu za mesia

Mtama ni miongoni mwa mazao ya nafaka yanayolimwa kwa wingi nchini na duniani kote na zao hili hulimwa kwa ajili ya chakula na biashara. Na Mindi Joseph. Wakulima wa zao la mtama mkoani Dodoma wamesema mbengu za mtama aina ya…

30 May 2023, 10:06 am

Wakulima wa pamba Tongwe walia na bei ya zao hilo

KATAVI Wakulima wa zao la pamba kijiji cha Vikonge kata ya Tongwe halmshauri ya wilaya ya Tanganyika wameiomba serikali kupitia Wizara ya Kilimo kuongeza bei ya zao hilo. Wakizungumza katika uzinduzi wa soko la mauzo ya zao la pamba katika…

25 May 2023, 7:41 pm

Vijana watakiwa kujikita katika kilimo

Katika eneo hili mazao mbalimbali yanazalishwa ikiwemo matunda kama vile embe papai na chungwa pamoja na mazao mengine kama migomba na mihogo. Na Thadei Tesha. Vijana jijini Dodoma wameshauriwa kujiingiza katika shughuli za kilimo kwani zikifanywa kiukamilifu zinaweza kuleta fursa…