Radio Tadio

Haki za Binadamu

5 September 2023, 1:00 pm

Wanawake Micheweni walia kutelekezwa na waume zao.

Wanawake na watoto wamekuwa ni wahanga wakubwa kwenye suala zima la utelekezaji hivo ipo haja kuhakikisha kuwa tunashirikiana kwa kina kuhakikisha tunaondoa tatizo hilo ambalo linapigiwa kelele siku hadi siku katika jamii zetu Na Mwiaba Kombo

29 August 2023, 2:50 pm

Maofisa wa vyuo vya mafunzo Pemba watakiwa kubadilika

Na Is-haka Mohammed Pemba. Mtandao wa Utetezi wa Haki za Binadamu Tanzania umesema mwongozo wa malalamiko katika vizuizi (Vyuo vya Mafunzo) umewekwa  kwa ajili ya kusaidia utatuzi wa changamoto na malalamiko ya walio vizuizini ili kutoa nafasi ya kushughulikiwa na taasisi…