Habari
14 Aprili 2023, 19:55
DC Bunda ; amuweka ndani mganga mkuu wa halmashauri kwa upotevu wa vifaa tiba vy…
Mkuu wa wilaya ya Bunda Dr Vicent Anney Naano memuondoa mganga mfawidhi wa hospital ya halmashauri ya wilaya ya Bunda na kumuweka ndandi mganga mkuu wa halmashauri kwa tuhuma za kuhusika na upotevu wa vifaa tiba vya hospitali hiyo Akizungumza…
14 Aprili 2023, 12:07
Wazazi waaswa kuwalea watoto katika maadili mazuri ili kuepukanana na masuala ya…
Leo ikiwa ni tarehe 13 mwezi wa 4 kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Baba wa Taifa la Tanzania Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere Wazazi Wametakiwa Kuwalea Watoto Katika Maadili Mazuri ili Kuepukana Na jamii isiyofaa. Hayo yamesemwa katika ufunguzi wa wiki…
7 Aprili 2023, 16:59
Waziri Simbachawene azindua mpango mkakati wa mwaka 2022-2027
Katika hatua nyingine Waziri Simbachawene ameeleza kwamba Mkakati huo utawezesha nchi kufikia malengo ya Maendeleo Endelevu ya mwaka 2030 ambayo yamejikita katika kupunguza umasikini na kuleta ustawi wa maisha ya watu. Na Pius Jayunga. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais,…
1 Aprili 2023, 23:18
Waziri Mkuu asisitiza kuainisha ubadhirifu kwenye miradi itakayopitiwa na mwenge
Na Mwandishi wetu. Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Majaliwa Kassim Majaliwa amewataka wakimbiza mwenge wa Uhuru kitaifa kukagua miradi yote kwa umakini na kuishauri Serikali hatua za kuchukua kwa kila mradi. Muende mkakague miradi ya maendeleo…
1 Aprili 2023, 23:07
Uzinduzi wa Mwenge na mafanikio ya kupambana na UKIMWI
Na Mussa Mtepa Waziri Mkuu wa Tanzania Mh. Kasim Majaliwa amewataka wakimbiza mwenge kitaifa kukagua na kujiridhisha na ubora wa Miradi ya Maendeleo itakayokaguliwa ili ilingane na thamani ya fedha zilizotolewa kwenye mradi husika na kuahidi kuzifanyia kazi taarifa zote…
31 Machi 2023, 15:24
Tanzia
TANZIA!!! Uongozi wa Radio Mazingira Fm kwa masikitiko makubwa unatangaza kifo cha mfanyakazi wao Bi.Magreth Samson Misinzo (aliyekuwa mhasibu katika kituo Cha Radio Mazingira) kilichotokea jana tarehe 30 March 2023 saa 11 jioni. Tunamtukuza Mungu kwa maisha ya Magreth na…
30 Machi 2023, 18:29
Waziri Mkuu Majaliwa kuwasha mwenge wa Uhuru Mkoani Mtwara
Mwenge wa Uhuru wa Tanzania unatarajiwa kuwashwa Mkoani Mtwara Ili kuanza kuzunguka Tanzania nzima kwaajili ya kujenga amani na mshikamano wa Taifa kwa mwaka 2023 Na Mussa Mtepa WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa Mbio…
28 Machi 2023, 10:37
Magwayega;. Jumuiya ya wazazi ccm tutaendelea kusimamia nguzo zetu ambazo ni Afy…
Mwenyekiti wa wazazi CCM wilaya ya Bunda ndugu wakili Leonard Magwayega amesema suala la Maadili Elimu Mazingira na Afya wataendelea kuvisimamia kwa kuwa ndiyo nguzo za jumuiya ya wazazi. Ndugu Magwayega ameyasema hayo katika ziara ya mwenyekiti wa jumuiya ya…
27 Machi 2023, 12:23
Tree of Hope wabaini haya Pangani
Shirika lisilo la Kiserikali TREE OF HOPE lenye makao yake makuu jijini Tanga limekutana na wadau wa elimu katika vijiji vya Ubangaa, Stahabu, Kipumbwi na Mkalamo katika mdahalo uliolenga kujadili changamoto za elimu wilayani Pangani. Akizungumza na Pangani FM baada…
27 Machi 2023, 11:18
Kipindi: Elimu ya ugonjwa surua na rubella
Na Gregory Millanzi, Mwanahamisi Chikambu na Mussa Mtepa Utoaji wa chanjo ya surua na rubella kwa watoto umeanza kwa awamu ya dharula baada ya uwepo wa mlipiko wa magonjwa hayo ambayo yanawaadhiri watoto. Kupitia kipindi cha dira ya asubuhi tumewapata…