Habari
31 March 2023, 3:24 pm
Tanzia
TANZIA!!! Uongozi wa Radio Mazingira Fm kwa masikitiko makubwa unatangaza kifo cha mfanyakazi wao Bi.Magreth Samson Misinzo (aliyekuwa mhasibu katika kituo Cha Radio Mazingira) kilichotokea jana tarehe 30 March 2023 saa 11 jioni. Tunamtukuza Mungu kwa maisha ya Magreth na…
30 March 2023, 18:29 pm
Waziri Mkuu Majaliwa kuwasha mwenge wa Uhuru Mkoani Mtwara
Mwenge wa Uhuru wa Tanzania unatarajiwa kuwashwa Mkoani Mtwara Ili kuanza kuzunguka Tanzania nzima kwaajili ya kujenga amani na mshikamano wa Taifa kwa mwaka 2023 Na Mussa Mtepa WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa Mbio…
28 March 2023, 10:37 am
Magwayega;. Jumuiya ya wazazi ccm tutaendelea kusimamia nguzo zetu ambazo ni Afy…
Mwenyekiti wa wazazi CCM wilaya ya Bunda ndugu wakili Leonard Magwayega amesema suala la Maadili Elimu Mazingira na Afya wataendelea kuvisimamia kwa kuwa ndiyo nguzo za jumuiya ya wazazi. Ndugu Magwayega ameyasema hayo katika ziara ya mwenyekiti wa jumuiya ya…
27 March 2023, 12:23 pm
Tree of Hope wabaini haya Pangani
Shirika lisilo la Kiserikali TREE OF HOPE lenye makao yake makuu jijini Tanga limekutana na wadau wa elimu katika vijiji vya Ubangaa, Stahabu, Kipumbwi na Mkalamo katika mdahalo uliolenga kujadili changamoto za elimu wilayani Pangani. Akizungumza na Pangani FM baada…
27 March 2023, 11:18 am
Kipindi: Elimu ya ugonjwa surua na rubella
Na Gregory Millanzi, Mwanahamisi Chikambu na Mussa Mtepa Utoaji wa chanjo ya surua na rubella kwa watoto umeanza kwa awamu ya dharula baada ya uwepo wa mlipiko wa magonjwa hayo ambayo yanawaadhiri watoto. Kupitia kipindi cha dira ya asubuhi tumewapata…
25 March 2023, 9:26 pm
Waziri Mkuu Majaliwa aonya Matumizi ya Fedha mbichi kwenye Halmashauri
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe, Kasimu Majaliwa amezionya Halmashauri zinazotumia Fedha za Makusanyo ya ndani kabla ya kuziweka kwenye Mifumo ya Kibenki. Mhe Majaliwa ametoa Onyo hilo leo mjini Bariadi wakati akiongea na baadhi ya Watumishi…
25 March 2023, 7:51 pm
Wakazi wa Nyatwali nimewasikia tegemeeni mazuri kutoka serikali ya CCM ; Rajabu…
Mwenyekiti wa wazazi CCM taifa Ndugu, Fadhil Rajabu Maganya ambaye pia ni mjumbe wa kamati kuu CCM taifa amesema kero za wakazi wa kata ya nyatwali amezisikia na wategemee majibu mazuri kutoka serikali inayotokana na chama cha mapinduzi. Kauli hiyo…
25 March 2023, 7:42 pm
DC Naano; akemea tabia za wafanyabiashara kupandisha bei za vyakula wakati wa Ra…
Ikiwa waislamu nchini Tanzania na duniani kote wameanza mwezi kufunga katika mwezi mtukufu wa Ramadhani wafanyabiashara wamelalamikiwa desturi ya kupandisha bei ya bidhaa za chakula vinavyotumika katika kipindi hiki. Wakizungumza kupitia kipindi cha asubuhi leo kupitia radio mazingira fm leo…
25 March 2023, 2:58 pm
Serikali yakamilisha tathmini kwa Walioezuliwa nyumba zao Ulanga
Baadhi ya Wananchi wa Kata ya Minepa katika Vijiji vya Kivukoni,Mbuyuni na Minepa walipatwa na Maafa ya Nyumba zao kuezuliwa na upepo Mkali ulioambatana na mvua,Serikali Wilayani Ulanga tayari imekamilisha zoezi la tathmini na taarifa hiyo imeshatumwa Ofisi ya Waziri…
24 March 2023, 1:15 pm
Viongozi watakiwa kusimamia ipasavyo miradi ya serikali
Bi Fatma Mganga amekabidhi ofisi hiyo baada ya kuhamishwa kwenda kuwa Katibu tawala mkoani Singida. Na Alfred Bulahya. Aliyekuwa katibu Tawala wa Mkoa wa Dodoma Bi, Fatma Mganga, amekabidhi ofisi kwa katibu Tawala mpya Bw. Ally Gugu. Katika makabidhiano hayo…