Habari
16 Agosti 2023, 09:50
DC Naano: Bunda inaongoza kwa kutokuwa na vyoo Mara
Bunda ni miongoni mwa wilaya zinaongoza kwa kutokuwa na vyoo mkoani Mara Na Thomas Masalu Mkuu wa wilaya ya Bunda Mhe. Dr,Vicent Naano amegiza kushughulikiwa kikamilifu suala la usafi wa mazingira hasa kuwa na vyoo bora majumbani ili kusaidia kupunguza…
10 Agosti 2023, 13:14
Chama cha wafugaji chatoa msimamo uwekezaji bandari
Wafugaji wanaona yapo manufaa makubwa kwenye uwekezaji wa bandari hivyo wanaunga mkono jitihada zote za serikali katika uwekezaji huo. Na Adelinus Banenwa Chama cha wafugaji Tanzania kupitia kwa mwenyekiti wake kimesema kinaunga mkono mkataba wa mashirikiano ya serikali na kampuni…
9 Agosti 2023, 17:43
Wasanii Mtwara kuchangamkia fursa
Na Msafiri Kipila Serikali imeendelea kuwawezesha na kutoa mafunzo kwa wasanii mkoani MtwaraAgosti 07, 2023 katika Ukumbi Wa TTC Kawaida hapa Mtwara, ili wasanii wapate mikopo na kujiajiri, kushiriki kwenye shughuli za maendeleo na kuchangia pato la taifa. Katika mwaka…
9 Agosti 2023, 6:25 mu
Taarifa ya habari Adhana FM Agosti 9, 2023
08/08/2023, 09:27
Taarifa ya habari Zenj FM radio 06.08.2023
6 Agosti 2023, 22:29
Watu 1000 hadi 5000 hupoteza maisha Ziwa Victoria kwa mwaka
Taasisis ya bonde la Ziwa Victoria inayohudumia nchi zote ndani ya Afrika Mashariki tayari imeandaa mpango wa kusimika mitambo ya mawasiliano ziwani yenye thamani ya shilingi bilioni 60 pesa ya kitanzania itakayosaidia kutoa taarifa kwa changamoto yoyote itakayojitokeza kwa watu…
31 Julai 2023, 18:11
Wananchi watakiwa kujitokeza kuonesha bidhaa zao maonesho ya 88
Sherehe za maonesho ya nanenane hufanyika kila mwaka ifikapo Augost 8, ambapo kauli mbinu ya mwaka huu kitaifa ni, vijana na wanawake ni msingi imara wa mifumo endelevu ya chakula, huku kauli mbiu ya kikanda ikisema kilimo ni biashara na…
27 Julai 2023, 18:44
Mahindi ya bei nafuu bado hayajatibu uhaba wa chakula Nyatwali
Baada ya serikali kuitikia kilio cha wananchi wa Nyatwali kuhitaji kupata mahindi ya bei nafuu, mambo yamekwenda tofauti kilio kimebadilika. Na Edward Lucas Baada ya serikali kupeleka huduma ya mahindi ya bei nafuu kwa wananchi wa Nyatwali wilaya ya Bunda,…
26 Julai 2023, 07:41
Mashujaa waomba kazi zao zienziwe
Tunaiomba Serikali kutosahau Mashujaa tuliopo na kuenzi kazi tulizozifanya kwa taifa letu Na Msafiri kipila Kila Ifikapo Julai 25 ya Kila mwaka Tanzania huadhimisha Siku ya Kumbukumbu ya Mashujaa ambapo kitaifa imeadhimishwa katika Uwanja wa Mashujaa, Mji wa Serikali Mtumba…
24 Julai 2023, 18:37
Mikoa yote nchini yaagizwa kuadhimisha siku ya mashujaa
Maandalizi ya maadhimisho ya Siku ya Kumbukumbu ya Mashujaa yamekamilika katika eneo la Mtumba jijini Dodoma huku Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan akitarajiwa kesho kuweka jiwe la msingi kuashiria uzinduzi wa eneo hilo. Na…