Habari za Jumla
28 Oktoba 2025, 9:52 mu
Athari za rushwa kipindi cha uchaguzi
Afisa TAKUKURU mkoa wa Katavi Leonard Minja. Picha na Anna Mhina Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (TAKUKURU) mkoa wa Katavi imeweka bayana athari zitokanazo na rushwa katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, 2025.…
28 Oktoba 2025, 9:45 mu
Mrindoko awapongeza waumini wa TAG Mpanda kwa kuliombea Taifa
Wachungaji wa TAG Mpanda wakiliombea Taifa. Picha na Anna Mhina “Tunaliombea Taifa kwasababu ni agizo la Mungu” Na Anna Mhina Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Hoza Mrindoko amewapongeza waumini wa kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG) Bethel lililopo…
25 Oktoba 2025, 16:37
RPC Mbeya aongoza wananchi mbio za pole
kutokana kiongozi mbio za mwenge mwaka huu kuitaja halmashauri ya Mbeya kuibuka washindi wa mbio hizo wamefanya tafrija ya kujipongeza pamoja na wananchi. Na Ezra Mwilwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya Kamishina Msaidizi Mwandamizi (SACP) Benjamin Kuzaga ameongoza mbio…
25 Oktoba 2025, 3:16 um
Makarani 792 wa uchaguzi Maswa wapewa somo
Makarani waongozaji wapiga Kura katika Jimbo la Maswa Mashariki na Jimbo la Maswa Magharibi wameaswa kuzingatia Kanuni, Miongozo na Sheria za Uchaguzi zilizotolewa na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi ili kuepuka migogoro isiyokuwa ya lazima Nasaha hizo zimetolewa na …
24/10/2025, 20:47
Serikali yalipa fidia bilioni 2.9 Manyara
Kaya (28) za maeneo ya Msasani Maisaka A na Maisaka Kati Wilayani Babati, mkoa wa Manyara zimelipwa fidia ya bilioni 2.9 baada ya maeneo yao kuchukuliwa na serikali kwa matumizi ya huduma za kijamii. Na Mzidalfa Zaid Taarifa ya malipo…
24/10/2025, 18:03
Reuben Sagayika atembelea wananchi mbalimbali Kalangalala
Zimesalia siku 4 ili wananchi nchini waweze kushiriki haki ya msingi na ya kikatiba ya kupiga kura kuchagua madiwani, wabunge na Rais. Na: Ester Mabula Mgombea Udiwani wa kata ya Kalangalala kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Reuben Sagayika…
24/10/2025, 17:54
Watumishi wa mahakama wahimizwa kutenda haki
Mkuu wa mkoa wa manyara Queen Sendiga amehimiza watumishi wa mahakama kufanya kazi kwa uadilifu, ambapo amesema kwa sasa malalamiko ya kuzilalamikia mahakama yamepungua Na Mzidalfa Zaid Mkuu wa mkoa wa Manyara Queen Sendiga amewataka wajumbe wa kamati ya maadili…
24 Oktoba 2025, 17:26
Jeshi la zimamoto Kigoma lapata mitambo mipya
Jeshi la zimamoto na uokoaji Mkoani Kigoma limepokea mtambo wa kisasa wa kuzima moto na vitendea kazi vitakavyowezesha kuboresha upatikanaji wa huduma za zimamoto kwa wananchi. Na Orida Sayon Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Balozi Simon Sirro amekabidhi magari manne…
24/10/2025, 09:40
Vijiji 40 kunufaika na kilimo cha umwagiliaji Manyara
Uchimbaji wa visima virefu 40 vya umwagiliaji, katika vijiji 40 vya Wilaya tano za mkoa wa Manyara kuwanufaisha wananchi Zaidi ya 650 kwa awamu ya kwanza Na Mzidalfa Zaid Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Queen Sendiga, amezindua uchimbaji wa visima…
22 Oktoba 2025, 12:45 um
TAKUKURU Mpanda yaeleza athari za rushwa kipindi cha uchaguzi
Afisa wa TAKUKURU Leonard Minja akizungumza na Mpanda radio. Picha na Anna Mhina “Rushwa ikifumbiwa macho hupelekea jamii nzima kuathirika” Na Samwel Mbugi Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Katavi imeweka bayana athari zitokanazo na rushwa…