Habari za Jumla
August 27, 2025, 9:19 pm
Wawili wafariki Kasulu chanzo kuhara na kutapika
Kwa mama mwenye mtoto anatakiwa baada ya kumsafisha mtoto kuhakikisha ananawa mikono vizuri kumkinga mtoto, hata hivyo viongozi wa taasisi, masoko wanatakiwa kuweka maji tiririka amesema mratibu Mwita. Na Irene Charles Wananchi Kasulu watakiwa kuchukua taadhari ili kuepukana na tatizo…
27 August 2025, 8:16 pm
CCM Tabora wasema uteuzi wa wagombea ulifuata haki
Zaituni Juma Chama cha Mapinduzi CCM mkoa wa Tabora kimewataka wanachama kutambua kuwa, mchakato wa kuwapata wagombea wa nafasi ya udiwani na ubunge ni wa haki na hauna upendeleo. Katibu wa siasa na uenezi wa CCM mkoa wa Tabora IDDY…
August 27, 2025, 5:57 pm
Ndalichako achukuwa fomu tena kulitetea Jimbo la Kasulu Mjini
Prof. Joyce Ndalichako asindikizwa na umati wa wanachama kuchukua fomu za kugombea ubunge Jimbo la Kaulu Mjini kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi CCM kwa awamu ya pili 2025-2030 baada ya kumaliza awamu ya kwanza mwaka 2020-2025 na kuahidi mazuri…
August 25, 2025, 12:58 pm
DC Nyasa afunga mafunzo ya jeshi la akiba
Mkuu wa Wilaya ya Nyasa Mhe.Peres Magiri leo tarehe 22 Agosti,2025 amefunga Mafunzo ya Jeshi la akiba yaliyoanza rasmi tarehe 9 Aprili,2025 yakiwa na Wanafunzi 16 Mkuu wa Wilaya ya Nyasa Mhe.Peres Magiri leo tarehe 22 Agosti,2025 amefunga Mafunzo ya…
August 22, 2025, 7:32 pm
Miundombinu hafifu kudhoofisha shughuli za uzalishaji mali Kasulu
Miundombinu katika kata ya Buhoro Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu imetajwa kuwa ni sababu inayopelekea vijana wengi kushindwa kutekeleza ipasavyo majukumu yao ya uzalishaji mali jambo linalosababisha kukosa maendeleo katika eneo hilo. Na; Paulina Majaliwa Baadhi ya vijana katika kata…
22 August 2025, 1:16 pm
Maabara ya utafiti wa madini yaanza kujengwa Geita
Ujenzi wa maabara ya madini Geita ni miongoni mwa maabara za utafiti wa madini kubwa tatu zinazojengwa nchini Tanzania Na: Ester Mabula Kutokana na changamoto ya wachimbaji wa madini kutoka mikoa ya kanda ya ziwa kusafiri umbali mrefu hadi Dodoma…
20 August 2025, 11:25 pm
Ofisi ya GIZ yazinduliwa Katavi
“ofisi hiyo itatumika na wadau mbalimbali katika kutekeleza mradi unaolenga kutatua changamoto mbalimbali hasa za uhifadhi wa maji“ Na Anna Milanzi -KataviShirika lisilo la kiserikali kutoka nchini Ujerumani GIZ limezindua ofisi yake katika jengo la Mpanda Plaza manispaa ya Mpanda…
20 August 2025, 8:39 pm
Wananchi Tabora watakiwa kuwabaini wasiojua kusoma na kuandika
Wilson Makala Wananchi mkoani Tabora wametakiwa kushirikiana na Serikali kuwabaini watu wasiojua kusoma, kuandika na kuhesabu ili kuwawezesha kupata elimu ya watu wazima na usaidizi wa kitaaluma, hatua itakayoongeza idadi ya watu wenye elimu ya ´K tatu´ yaani kusoma, kuandika…
18 August 2025, 11:50 pm
Tuanzie Nyumbani Kuleta Tumaini Jipya kwa Elimu Vijijini Ruangwa
Ruangwa, Lindi Katika harakati za kuhakikisha watoto wa vijijini wanapata haki yao ya msingi ya elimu, Umoja wa Wadau wa Elimu Wilaya ya Ruangwa (UWERU) imeanza rasmi kuitekeleza kampeni ya “Tuanzie Nyumbani” yenye lengo la kuelimisha jamii juu ya umuhimu…
17 August 2025, 12:22 pm
TMDA yabaini uwepo wa bidhaa bandia ya dettol za maji
Mamlaka ya dawa na vifaa tiba (TMDA)imebaini uwepo wa bidhaa ya Dettol za maji bandia zinazotengenezwa kinyume cha sheria kwa njia haramu na kubandikwa lebo kuonesha ni dettol zilizo halisi. Na Mzidalfa Zaid Akizungumza na Fm Manyara, Meneja wa TMDA…