Habari za Jumla
3 Oktoba 2025, 12:21 um
Wazazi waomba msaada Matibabu Mtoto mwenye jinsi tata-Ifakara
Wazazi waomba msaada wa kifedha kiasi cha Tsh.Mil 4 na laki tatu kwa ajili ya kufanikisha matibabu ya Mtoto anayetakiwa kufanyiwa upasuaji kutokana na changamoto nadra aliyozaliwa nayo jinsi inayoleta mkanganyiko Na Katalina Liombechi Katika kitongoji cha magoha Kata ya…
Oktoba 1, 2025, 2:13 um
Kusanyiko la ushirikishwaji wa jamii kuitangaza Butiama FM Radio 93.1.
Tunatarajia kufungua Butiama FM katika ofisi zetu za Butiama zilizopo pale kwa Chifu Wanzagi kuanzia majira ya saa tatu asubuhi. Na Osiana Osca Baada ya kusubiri kwa muda mrefu uongozi wa Butiama FM unatangaza kuanza kurusha matangazo ya moja kwa…
27 Septemba 2025, 12:42 mu
Mgombea ubunge CCM Geita mjini awafikia wajasiriamali Nyankumbu
“Ilani ya CCM kwa mwaka 2025 imeainisha maeneo muhimu yanayogusa maisha ya wananchi kwenye afya, elimu, miundombinu pamoja na biashara” – Mhandisi Chacha Na:Ester Mabula Mgombea ubunge wa Jimbo la Geita mjini kupitia tiketi ya CCM Mhandisi Chacha Wambura katika…
Septemba 26, 2025, 9:07 mu
EFAD yagusa maisha ya watoto Songwe
Kupunguza utoro shuleni na kuongeza utulivu wa watoto shuleni Na Devi Mgale Shirika lisilokuwa la kiserikali la Elisha Youth Support Foundation (EFAD) lililopo wilaya ya Mbozi mkoa wa Songwe limetoa kilo 420 za Mahindi kwa watoto wanaoishi mazingira magumu katika…
25 Septemba 2025, 08:26
Jamii imehimizwa kujiunga na bima ya afya Kasulu
Jamii Wilayani Kasulu Mkoani Kigoma imehimizwa kujiunga na Bima ya Afya ili kujihakikishia huduma bora za matibabu kwa wakati wa changamoto za kiafya. Wito huo umetolewa na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi wa wilaya ya Kasulu Bw, Selemani Malumbo wakati…
23 Septemba 2025, 09:13 mu
TANESCO kuongeza uzalishaji wa umeme Mtwara
TANESCO kuongeza uzalishaji wa umeme kwa MW 20 katika kituo cha Hiari, Mtwara, kukabiliana na upungufu wa umeme Lindi na Mtwara. Mashine mpya itakamilika ndani ya mwezi mmoja, ikiongeza uzalishaji hadi MW 70 Na Musa Mtepa Mtwara, Tanzania – Shirika…
22 Septemba 2025, 11:37 um
GGML yajivunia miaka 25 ya ushirikiano na serikali kuendeleza sekta ya madini
Septemba 22, 2025 Waziri mkuu wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania mhe. Kassim Majaliwa amezindua rasmi maonesho ya 8 ya teknolojia na uwekezaji katika sekta ya madini yanayofanyika katika viwanja vya Dkt. Samia Suluhu manispaa ya Geita. Na: Ester Mabula…
22 Septemba 2025, 2:01 um
Mwenge wa Uhuru 2025 Kugusa Miradi ya Bilioni 2.4 Uvinza
Mwenge wa Uhuru utakimbizwa ndani ya wilaya kwa umbali wa kilomita 131 Na Abdunuru Shafii Jumla ya miradi 7 yenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 2.4 inayojumuisha sekta za elimu, afya, Maji na nishati inatarajiwa kukaguliwa, kutembelewa na mingine…
Septemba 21, 2025, 8:40 mu
JKT Itaka wafundisha utengenezaji mkaa mbadala
Ikiwa ni utekelezaji wa agizo la serikali la matumizi ya nishati safi Na Stephano Simbeye KIKOSI cha Jeshi la kujenga Taifa (JKT) 845KJ Itaka wilaya ya Mbozi mkoani Songwe kimeanza kufundisha jinsi ya kutengeneza mkaa mbadala kwa kutumia taka za shambani.…
Septemba 20, 2025, 1:50 mu
Ndalichako atajwa daraja la mawe Nyantale
“Kukamilika kwa daraja hili tunapaswa kuwapongeviongozi wetu wa kipindi cha utekelezaji mradi huu mbunge wetu Ndalichako kwa kweli kwenye hili tunakukumbuka sana na ninaomba tumpigie makofi kwa jitihada ulizozifanya unasitahili pongezi kwa kushirikiana na viongozi hadi kukamilika kwa daraja hili”…