Habari za Jumla
11 Mei 2024, 12:24 um
Aliyedaiwa kutumia milioni 400 kulala hotelini Ngorongoro akabidhi ofisi
Baada ya kuhudumu kwa muda mfupi kwenye nafasi ya kamishina wa hifadhi,mamlaka ya Ngorongoro NCAA ndg Richard Kiiza na kuondolewa na rais Mh,Dr Samia Suluhu Hassan Machi 15,2024 hatimaye Mei 06 2024 rais amemteua Dr Elirehema Doriye kushika nafasi hiyo.…
10/05/2024, 20:39
Jamii yatakiwa kuondoa tofauti zao kumlinda mtoto
Kuongezeka kwa vitendo vya kikatili na mmommonyoko wa maadili vinasababishwa na baadhi ya wazazi wanapogombana ambapo familia nyingi huathirika kwa kukosa malezi bora na muelekeo mzuri katika maisha yao Na Marino Kawishe Kuelekea siku ya familia duniani ambayo huadhimishwa kila…
Mei 10, 2024, 6:38 um
Wanafunzi wapatiwa elimu ya mlipa kodi na TRA
“Mafunzo ambayo tunayaandaa yanalenga kuwafundisha vijana wetu wakiwa wadogo hasa wanafunzi wa shule za Msingi, Sekondari na vyuoni kujua maana ya kulipa kodi, umuhimu wa kodi ni nini, kwanini serikali zote duniani zinaweka kodi. Kodi ni malipo ya lazima ambayo…
10/05/2024, 18:21
Waziri Mkuu ziarani Kyela
“Tupo tayari kumpokea waziri mkuu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania ili aje aone namna fedha za zinazotolewa na raisi samia jinsi zinavyofanya kazi za maendeleo hapa wilayani”. Na Masoud Maulid Waziri mkuu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Kasim…
10/05/2024, 17:30
Mbunge wa jimbo la Masasi akabidhi vifaa tiba kituo Cha afya mtandi
Mbunge wa Jimbo la Masasi mjini,Geofrey Mwambe (CCM) ametoa vifaa tiba katika kituo cha Afya cha kata ya Mtandi halmashauri ya mji Masasi mkoani Mtwara ili kuweza kuhimarisha upatikanaji wa huduma bora ya afya kwa wananchi wa kata hiyo, vifaa…
Mei 10, 2024, 2:49 um
Wananchi wachimba mashimo na kujisaidia kwa kukosa vyoo
Na Denis Sinkonde, Songwe Jumla ya kaya 128 kati ya 320 katka Kijiji cha Mkutano Wilaya ya Momba mkoani Songwe hazina vyoo, huku kaya 34 pekee ndizo zenye vyoo bora sawa na asilimia 17. Hayo yamebainishwa na Mganga Mkuu wa…
10 Mei 2024, 14:38
Madiwani watakiwa kusimamia miradi ya maendeleo
Miradi inakuwa kwenye maeneo yenu laikini hakuna hata anayejishughulisha kufuatilia kinachofanyika kwenye utekelezaji wa miradi na ndio maana tunakuwa miradi mingi ambayo haikidhi viwango. Na Hagai Ruyagila – Kasulu Mkuu wa wilaya ya Kasulu Kanal Isaac Mwakisu amewaagiza madiwani wa…
10 Mei 2024, 12:38
Ziwa Tanganyika kufungwa kwa miezi mitatu
Waziri wa mifugo na uvuvi Mh. Abdallah Ulega amesema shughuli za uvivi zitafungwa rasmi kuanzia may 15 hadi mwezi augost lengo ikiwa ni kulinda rasmali za ziwa tanganyika kuongeza. Na Orida Sayon – Kigoma Katika kutekeleza dhamira ya kulinda rasilimali…
Mei 9, 2024, 8:59 um
Waendesha baiskeli mapacha wafariki Shinyanga
“Tumepokea taarifa za kifo cha vijana wetu kwa masikitiko makubwa, wamefariki dunia kwa kugongwa na gari wakiwa watatu kwenye pikipiki. Inasikitisha sana watu waliozaliwa siku moja, wakafa siku moja, …tulikuwa tunawaandaa kwenda kushiriki mashindano nje ya nchi” Waendesha Baiskeli Mabingwa…
8 Mei 2024, 14:26
Vijana wa JKT kutumika katika uzalishaji mali
Vijana wanaomaliza mafunzo ya kijeshi wametakiwa kuendelea kutumia ujuzi wa uzalishaji mali ili kusaidia kuzalisha na kuwa mstari wa mbele katika kulinda amani. Na Kadislaus Ezekiel – Kakonko Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Jocob Mkunda, amewataka vijana wanaohitimu mafunzo…