Habari za Jumla
22 Januari 2026, 09:57
Wananchi Kahama watakiwa kuacha tabia ya kutupa taka kwenye mitalo
Na Sebastian Mnakaya Wananchi wa jimbo la Kahama Mjini mkoani Shinyanga wametakiwa kuacha tabia ya kutupa taka kwenye mitalo ya maji pamoja na kulinda miundombinu ya barabara ili kuondokana na athari ya mafuriko ya maji wakati wa msimu wa mvua.…
19/01/2026, 13:42
Gari la abiria kichaka cha kusafirisha madawa ya kulevya
Na Lilian Martin Pamoja na muonekano wake wa nje kuonekana ni Gari la abiria ila kwa ndani kuna chemba ya maficho mizigo haramu ambayo kwa kawaida huwezi kubaini, ila wahenga husema za mwizi 40 na leo zimeshafika. Katika Wailes, Temeke…
18/01/2026, 20:49
Changamoto wasaidizi wa sheria Zanzibar ZAPONET yasisitiza uandishi wa miradi
Na Mary Julius. Mkurugenzi wa Mtandao wa Jumuiya za Wasaidizi wa Sheria Zanzibar, ZAPONET Zanzibar, Asia Abdulsalam Hussein, amesema ili jumuiya za wasaidizi wa sheria ziweze kufanya kazi kwa ufanisi, ni lazima zijikite katika uandishi wa miradi na utafutaji wa wafadhili, hatua…
16/01/2026, 19:04
Sokwemtu hatarini kutoweka katika Hifadhi ya Taifa Gombe
Shughuli za binadamu ikiwemo kilimo, uchomaji wa mkaa, ukataji miti kwa ajili ya nishati kuni pamoja na naongezeko la makazi ya watu katika maeneo ya Hifadhi ya Taifa Gombe mkoani Kigoma, zimetajwa kusababisha mabadiliko ya Tabianchi katika eneo hilo hali…
14 Januari 2026, 5:47 mu
Serikali ya mtaa wa Mpanda hotel yajipanga kutengeneza madawati
Madawati mabovu yaliyopo katika shule ya msingi Mpanda. Picha na Rhoda Elias “Tayari tumeshawaelekeza mafundi wamekuja na kufanya tathimini yao” Na Rhoda Elias Serikali ya mtaa wa Mpanda hotel imefanya ziara katika shule ya msingi Mpanda iliyopo manispaa ya Mpanda…
10 Januari 2026, 3:41 um
Mkombozi Paralegal watoa elimu ya ukatili Katavi
Afisa maendeleo akitoa elimu kwa wananchi. Picha na Anna Milanzi “Tunawajengea uwezo kamati hizo kwa kuziimarisha” Na Anna Milanzi Taasisi ya Mkombozi Paralegal iliyopo mkoani Katavi imeendelea kuwawezesha wananchi kupata elimu ya masuala ya ukatili wa kijinsia na kuwawezesha kutambua…
09/01/2026, 10:26
Serikali yaahidi kuiboresha DIT
Kwa malengo ya kuongeza ubora wa taaluma Na Devi Moses SERIKALI imeahidi kuendelea kuboresha na kuendeleza Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam(DIT) Kampasi ya Songwe ili kuongeza ubora wa mafunzo ya ufundi nchini. Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu,…
5 Januari 2026, 16:00
Jamii FM yatoa tuzo kwa wasikilizaji bora wa mwaka 2025
Jamii FM Redio imetangaza wasikilizaji na wachangiaji bora wa vipindi vyake kwa mwaka 2025. Washindi walichaguliwa na wasikilizaji kupitia SMS na kukabidhiwa tuzo katika hafla iliyofanyika katika studio za kituo hicho Na Musa Mtepa Jamii FM Redio imetangaza wasikilizaji na…
21/12/2025, 19:25
Kabanga yawatunuku vyeti vya utumishi bora wafanya kazi
Watumishi wa hospitali ya rufaa Kabanga wamekutana kwa pamoja kusherehekea shelehe ya funga mwaka ilizoambatana na burudani mbalimbali na utunukiwaji wa vyeti kwa baadhi ya watumishi waliofanya vizuri katika idara zao kwa mwaka 20225. Na; Sharifat Shinji Hospitali ya rufaa…
19/12/2025, 13:58
Wiki ya afya Kabanga yawagusa zaidi ya 600 Kasulu
Wananchi wa Wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma wameshukuru huduma za hospitali ya rufaa Kabanga kwa kutoa huduma za vipimo na matibabu bure ikiwa ni wiki ya afya Kabanga iliyoambatana na kauli mbiu ya “Tuungane kutokomeza magonjwa yasiyoambukizwa” iliyofanyika katika viwanja…