Habari za Jumla
20 Oktoba 2025, 10:38 mu
Wananchi Qash waahidiwa maji na barabara
Wananchi wa kata ya Qash na Vitongoji vyake iliyopo Wilayani Babati mkoani Manyara wameahidiwa maji safi na salama pamoja na ujenzi wa Barabara itakayounganisha maeneo mbali mbali ya kata hiyo na Kata nyingine za jirani. Hayo yamebainishwa na mgombea ubunge…
19 Oktoba 2025, 9:35 um
Uthubutu wa wanawake katika uchaguzi 2025 waandika rekodi mpya
Na Ivan Mapunda Kwa mara ya kwanza katika historia ya siasa za vyama vingi nchini Tanzania, wagombea Urais wanawake wamejitokeza kwa wingi na kwa nafasi ya juu ya kisiasa kuliko wakati mwingine wowote. Uchaguzi mkuu wa Tanzania mwaka huu umeweka…
16 Oktoba 2025, 23:33
Tanzania na UNHCR kufuta hadhi ya ukimbizi kwa wakimbizi wa Burundi
Licha ya Serikali na shirika la umoja wa mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR kuhamasisha wakimbizi waliopo katika kambi ya wakimbizi Nyarugusu tangu mwaka 2017 na kuonekana zoezi la kurejea nchini kwao kwa hiari kusuasua sasa mwarobaini wa kuwarudisha wakimbizi hao…
16 Oktoba 2025, 2:49 um
Mchango wa wanaume ni chachu ya ushindi kwa wanawake 2025
Na Ivan Mapunda. Zanzibar ya sasa inashuhudia mabadiliko makubwa katika ushiriki wa wanawake katika uongozi, ikilinganishwa na enzi za zamani. Kwa mara ya kwanza tangu Mapinduzi ya 1964, wanawake wanashikilia nafasi muhimu, ikiwa ni pamoja na Katibu Mkuu Kiongozi na…
13 Oktoba 2025, 4:34 um
Ameir awataka wazanzibari kujiandaa kwa Posho ya laki tano
Mgombea wa urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia Makini, Ameir Hassan Ameir, amesema mpango wa kutoa posho ya shilingi 500,000 kwa kila Mzanzibari kila mwezi si ndoto bali ni dira inayotekelezeka kwa kupanga vipaumbele vya maendeleo na…
11 Oktoba 2025, 11:08 mu
Barabara za mitaa zatajwa kipaumbele ACT-Wazalendo Mbasa
ACT-Wazalendo kupitia Mgombea Udiwani wa Kata ya Mbasa amesema Mbasa sio sehemu ya kushindwa kupitika Na Katalina Liombechi Mgombea udiwani wa Kata ya Mbasa kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Goodluck Msowoya, amezindua rasmi kampeni zake kuelekea Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 29,…
11 Oktoba 2025, 10:38 mu
TARURA Moro waketi Ifakara kujadili barabara zenye changamoto
TARURA imekuwa na dhima ya kupanga,kusanifu,kujenga na kufanya matengenezo ya mtandao wa barabara za wilaya kwa ajili ya matokeo endelevu ya kijamii na kiuchumi Na Katalina Liombechi Wakala wa Barabara mijini na Vijijini TARURA Mkoa wa Morogoro wameketi Ifakara kwa…
11 Oktoba 2025, 10:06 mu
CRDB yagusa kwenye upungufu viti na meza 184 Ifakara
Benki ya CRDB ina asilimia 1 kwa ajili ya jamii kuchangia maendeleo ya serikali Na Katalina Liombechi Katika kuadhimisha wiki ya huduma kwa wateja Benki ya CRDB imewajibika kwa kukabidhi Viti na Meza 50 katika shule ya Sekondari Mahutanga Halmashauri…
9 Oktoba 2025, 12:08 mu
Demokrasia MAKINI yaja na suluhisho la gharama za maisha Zanzibar
Na Mary Julius Mgombea Urais wa Zanzibar kwa kupitia Chama cha Demokrasia MAKINI Ameir Hassan Ameir, ameahidi kupunguza gharama za maisha kwa wananchi wa Zanzibar kwa kupunguza bei ya vyakula na huduma muhimu, endapo chama chake kitapewa ridhaa ya kuunda…
6 Oktoba 2025, 7:12 um
Bil 1.6 kunufaisha kiuchumi vijana wa kike
Katika Halmashauri ya Mji wa Ifakara, utekelezaji wa mradi huu unafanyika katika kata za Katindiuka, Signali, Kiberege, na Kisawasawa, ambako vijana wanalengwa moja kwa moja kwa ajili ya kupata mafunzo, mitaji, na vifaa vya kuendeleza kilimo cha kisasa chenye tija…