Habari za Jumla
29 Oktoba 2025, 10:49 mu
DC Kiteto ajitokeza kupiga Kura
Mkuu wa wilaya ya Kiteto Remidius Mwema, amesema hali ya usalama katika wilaya yake imeimarika katika vituo vyote vya kupigia kura na kuwataka wananchi kuendelea kujitokeza kupiga kura Ili wawachague viongozi wanaowataka. Na Mzidalfa Zaid Mwema amesema hayo wilayani Kiteto…
28 Oktoba 2025, 6:20 um
Jeshi la polisi Manyara laimarisha usalama kuelekea October 29
Jeshi la polisi mkoani Manyara limesema kuwa limejipanga kuimarisha ulinzi na usalama siku ya uchaguzi mkuu ambao unatarajia kufanyika october 29 mwaka huu. Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake,kamanda wa jeshi la polisi mkoani Manyara Ahmed Makarani, amesema jeshi…
28 Oktoba 2025, 9:52 mu
Athari za rushwa kipindi cha uchaguzi
Afisa TAKUKURU mkoa wa Katavi Leonard Minja. Picha na Anna Mhina Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (TAKUKURU) mkoa wa Katavi imeweka bayana athari zitokanazo na rushwa katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, 2025.…
28 Oktoba 2025, 9:45 mu
Mrindoko awapongeza waumini wa TAG Mpanda kwa kuliombea Taifa
Wachungaji wa TAG Mpanda wakiliombea Taifa. Picha na Anna Mhina “Tunaliombea Taifa kwasababu ni agizo la Mungu” Na Anna Mhina Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Hoza Mrindoko amewapongeza waumini wa kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG) Bethel lililopo…
25 Oktoba 2025, 16:37
RPC Mbeya aongoza wananchi mbio za pole
kutokana kiongozi mbio za mwenge mwaka huu kuitaja halmashauri ya Mbeya kuibuka washindi wa mbio hizo wamefanya tafrija ya kujipongeza pamoja na wananchi. Na Ezra Mwilwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya Kamishina Msaidizi Mwandamizi (SACP) Benjamin Kuzaga ameongoza mbio…
25 Oktoba 2025, 3:16 um
Makarani 792 wa uchaguzi Maswa wapewa somo
Makarani waongozaji wapiga Kura katika Jimbo la Maswa Mashariki na Jimbo la Maswa Magharibi wameaswa kuzingatia Kanuni, Miongozo na Sheria za Uchaguzi zilizotolewa na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi ili kuepuka migogoro isiyokuwa ya lazima Nasaha hizo zimetolewa na …
24 Oktoba 2025, 8:47 um
Serikali yalipa fidia bilioni 2.9 Manyara
Kaya (28) za maeneo ya Msasani Maisaka A na Maisaka Kati Wilayani Babati, mkoa wa Manyara zimelipwa fidia ya bilioni 2.9 baada ya maeneo yao kuchukuliwa na serikali kwa matumizi ya huduma za kijamii. Na Mzidalfa Zaid Taarifa ya malipo…
24 Oktoba 2025, 6:03 um
Reuben Sagayika atembelea wananchi mbalimbali Kalangalala
Zimesalia siku 4 ili wananchi nchini waweze kushiriki haki ya msingi na ya kikatiba ya kupiga kura kuchagua madiwani, wabunge na Rais. Na: Ester Mabula Mgombea Udiwani wa kata ya Kalangalala kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Reuben Sagayika…
24 Oktoba 2025, 5:54 um
Watumishi wa mahakama wahimizwa kutenda haki
Mkuu wa mkoa wa manyara Queen Sendiga amehimiza watumishi wa mahakama kufanya kazi kwa uadilifu, ambapo amesema kwa sasa malalamiko ya kuzilalamikia mahakama yamepungua Na Mzidalfa Zaid Mkuu wa mkoa wa Manyara Queen Sendiga amewataka wajumbe wa kamati ya maadili…
24 Oktoba 2025, 17:26
Jeshi la zimamoto Kigoma lapata mitambo mipya
Jeshi la zimamoto na uokoaji Mkoani Kigoma limepokea mtambo wa kisasa wa kuzima moto na vitendea kazi vitakavyowezesha kuboresha upatikanaji wa huduma za zimamoto kwa wananchi. Na Orida Sayon Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Balozi Simon Sirro amekabidhi magari manne…