Radio Tadio

Habari za Jumla

20 Oktoba 2025, 10:38 mu

Wananchi Qash waahidiwa maji na barabara

Wananchi wa kata ya Qash na Vitongoji vyake iliyopo Wilayani Babati mkoani Manyara wameahidiwa maji safi na salama pamoja na ujenzi wa Barabara itakayounganisha maeneo mbali mbali ya kata hiyo na Kata nyingine za jirani.  Hayo yamebainishwa na mgombea ubunge…

16 Oktoba 2025, 2:49 um

Mchango wa wanaume  ni chachu ya ushindi kwa wanawake 2025

Na Ivan Mapunda. Zanzibar ya sasa inashuhudia mabadiliko makubwa katika ushiriki wa wanawake katika uongozi, ikilinganishwa na enzi za zamani. Kwa mara ya kwanza tangu Mapinduzi ya 1964, wanawake wanashikilia nafasi muhimu, ikiwa ni pamoja na Katibu Mkuu Kiongozi na…

13 Oktoba 2025, 4:34 um

Ameir awataka wazanzibari kujiandaa kwa Posho ya laki tano

Mgombea wa urais wa Zanzibar kwa tiketi ya  Chama cha Demokrasia Makini,  Ameir Hassan Ameir, amesema mpango wa kutoa posho ya shilingi 500,000 kwa kila Mzanzibari kila mwezi si ndoto bali ni dira inayotekelezeka kwa kupanga vipaumbele vya maendeleo na…

11 Oktoba 2025, 11:08 mu

Barabara za mitaa zatajwa kipaumbele ACT-Wazalendo Mbasa

ACT-Wazalendo kupitia Mgombea Udiwani wa Kata ya Mbasa amesema Mbasa sio sehemu ya kushindwa kupitika Na Katalina Liombechi Mgombea udiwani wa Kata ya Mbasa kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Goodluck Msowoya, amezindua rasmi kampeni zake kuelekea Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 29,…

6 Oktoba 2025, 7:12 um

Bil 1.6 kunufaisha kiuchumi vijana wa kike

Katika Halmashauri ya Mji wa Ifakara, utekelezaji wa mradi huu unafanyika katika kata za Katindiuka, Signali, Kiberege, na Kisawasawa, ambako vijana wanalengwa moja kwa moja kwa ajili ya kupata mafunzo, mitaji, na vifaa vya kuendeleza kilimo cha kisasa chenye tija…