Habari za Jumla
9 October 2025, 12:08 am
Demokrasia MAKINI yaja na suluhisho la gharama za maisha Zanzibar
Na Mary Julius Mgombea Urais wa Zanzibar kwa kupitia Chama cha Demokrasia MAKINI Ameir Hassan Ameir, ameahidi kupunguza gharama za maisha kwa wananchi wa Zanzibar kwa kupunguza bei ya vyakula na huduma muhimu, endapo chama chake kitapewa ridhaa ya kuunda…
6 October 2025, 7:12 pm
Bil 1.6 kunufaisha kiuchumi vijana wa kike
Katika Halmashauri ya Mji wa Ifakara, utekelezaji wa mradi huu unafanyika katika kata za Katindiuka, Signali, Kiberege, na Kisawasawa, ambako vijana wanalengwa moja kwa moja kwa ajili ya kupata mafunzo, mitaji, na vifaa vya kuendeleza kilimo cha kisasa chenye tija…
October 6, 2025, 6:43 pm
Waandishi wa habari Butiama wasisitizwa kuandika habari za jamii.
Uongozi wa Butiama fm umewasisitiza waandishi wa habari kutoa habari zinazo zunguka jamii husika Na Oscar Mwakipesile Katika semina ya siku nne iliyoandaliwa na uongozi wa Butiama fm umewaasa waandishi wa habari kutoa taarifa za jamii husika ili kuwezesha wananchi…
5 October 2025, 7:11 pm
Wananchi Mpanda walia na wachimba madini
Mkuu wa wilaya ya Mpanda Jamila Yusuph akitoa maelekezo kwa wawekezaji. Picha na John Benjamin “Kuanzia leo nafunga shughuli zote za uchimbaji” Na John Benjamin Wananchi wa Kijiji cha Mtisi wilaya ya Mpanda mkoani Katavi wamelalamikia uwepo wa wawekezaji watatu…
5 October 2025, 11:45
Mch Mstaafu Mwaisango waumini ombea Tanzania
kuelekea uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika tarehe 29,Oktoba 2025 viongozi wa dini wameendelea kuhimiza waumini kuombea taifa ili kuvuka salama. Na Ezekiel Kamanga Mchungaji Nelson Mwaisango Mwenyekiti pia Katibu mstaafu wa Kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la Kusini amewataka waumini wa…
4 October 2025, 6:29 pm
Serikali kusafisha ziwa Babati
Mgombea Urais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dokta Samia Suluhu Hassan amesema serikali imetenga fedha ya kununua Mitambo ya kuondoa Magugu kwenye maziwa likiwemo ziwa Babati. Na Mzidalfa Zaid Amesema hayo Leo wakati akihitimisha kampeini zake mkoani Manyara katika…
3 October 2025, 12:21 pm
Wazazi waomba msaada Matibabu Mtoto mwenye jinsi tata-Ifakara
Wazazi waomba msaada wa kifedha kiasi cha Tsh.Mil 4 na laki tatu kwa ajili ya kufanikisha matibabu ya Mtoto anayetakiwa kufanyiwa upasuaji kutokana na changamoto nadra aliyozaliwa nayo jinsi inayoleta mkanganyiko Na Katalina Liombechi Katika kitongoji cha magoha Kata ya…
October 1, 2025, 2:13 pm
Kusanyiko la ushirikishwaji wa jamii kuitangaza Butiama FM Radio 93.1.
Tunatarajia kufungua Butiama FM katika ofisi zetu za Butiama zilizopo pale kwa Chifu Wanzagi kuanzia majira ya saa tatu asubuhi. Na Osiana Osca Baada ya kusubiri kwa muda mrefu uongozi wa Butiama FM unatangaza kuanza kurusha matangazo ya moja kwa…
27 September 2025, 12:42 am
Mgombea ubunge CCM Geita mjini awafikia wajasiriamali Nyankumbu
“Ilani ya CCM kwa mwaka 2025 imeainisha maeneo muhimu yanayogusa maisha ya wananchi kwenye afya, elimu, miundombinu pamoja na biashara” – Mhandisi Chacha Na:Ester Mabula Mgombea ubunge wa Jimbo la Geita mjini kupitia tiketi ya CCM Mhandisi Chacha Wambura katika…
September 26, 2025, 9:07 am
EFAD yagusa maisha ya watoto Songwe
Kupunguza utoro shuleni na kuongeza utulivu wa watoto shuleni Na Devi Mgale Shirika lisilokuwa la kiserikali la Elisha Youth Support Foundation (EFAD) lililopo wilaya ya Mbozi mkoa wa Songwe limetoa kilo 420 za Mahindi kwa watoto wanaoishi mazingira magumu katika…