Radio Tadio

Habari za Jumla

6 October 2025, 7:12 pm

Bil 1.6 kunufaisha kiuchumi vijana wa kike

Katika Halmashauri ya Mji wa Ifakara, utekelezaji wa mradi huu unafanyika katika kata za Katindiuka, Signali, Kiberege, na Kisawasawa, ambako vijana wanalengwa moja kwa moja kwa ajili ya kupata mafunzo, mitaji, na vifaa vya kuendeleza kilimo cha kisasa chenye tija…

5 October 2025, 7:11 pm

Wananchi Mpanda walia na wachimba madini

Mkuu wa wilaya ya Mpanda Jamila Yusuph akitoa maelekezo kwa wawekezaji. Picha na John Benjamin “Kuanzia leo nafunga shughuli zote za uchimbaji” Na John Benjamin Wananchi wa Kijiji cha Mtisi wilaya ya Mpanda mkoani Katavi wamelalamikia uwepo wa wawekezaji  watatu…

5 October 2025, 11:45

Mch Mstaafu Mwaisango waumini ombea Tanzania

kuelekea uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika tarehe 29,Oktoba 2025 viongozi wa dini wameendelea kuhimiza waumini kuombea taifa ili kuvuka salama. Na Ezekiel Kamanga Mchungaji Nelson Mwaisango Mwenyekiti pia Katibu mstaafu wa Kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la Kusini amewataka waumini wa…

4 October 2025, 6:29 pm

Serikali kusafisha ziwa Babati

Mgombea Urais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dokta Samia Suluhu Hassan amesema  serikali imetenga fedha ya kununua Mitambo ya kuondoa Magugu kwenye maziwa likiwemo ziwa Babati. Na Mzidalfa Zaid Amesema hayo Leo wakati akihitimisha kampeini zake mkoani Manyara katika…

27 September 2025, 12:42 am

Mgombea ubunge CCM Geita mjini awafikia wajasiriamali Nyankumbu

“Ilani ya CCM kwa mwaka 2025 imeainisha maeneo muhimu yanayogusa maisha ya wananchi kwenye afya, elimu, miundombinu pamoja na biashara” – Mhandisi Chacha Na:Ester Mabula Mgombea ubunge wa Jimbo la Geita mjini kupitia tiketi ya CCM Mhandisi Chacha Wambura katika…

September 26, 2025, 9:07 am

EFAD yagusa maisha ya watoto Songwe

Kupunguza utoro shuleni na kuongeza utulivu wa watoto shuleni Na Devi Mgale Shirika lisilokuwa la kiserikali la Elisha Youth Support Foundation (EFAD) lililopo wilaya ya Mbozi mkoa wa Songwe limetoa kilo 420 za Mahindi kwa watoto wanaoishi mazingira magumu katika…