Radio Tadio

Habari za Jumla

1 Mei 2025, 1:30 um

Madiwani Tanganyika wamtaka mkurugenzi kutatua changamoto

Picha ya baraza la madiwani Tanganyika. Picha na Beny Gadau “Tumemuondoa daktari wa Mchangani amekuwa na uwajibikaji hafifu” Na Beny Gadu Baraza la madiwani halmashauri ya wilaya ya Tanganyika wamefanya kikao cha robo ya kwanza kwa mwaka 2025 chenye lengo…

Mei 1, 2025, 8:58 mu

DC Kaganda arejesha amani kirudiki

Na Salum Majey Wananchi wa Kiru Diki, Wilaya ya Babati, wameonyesha furaha na shukrani zao kwa Mkuu wa Wilaya ya Babati, Mhe. Emmanuela Mtatifikolo Kaganda kwa juhudi zake zilizofanikisha kurejeshwa kwa amani katika eneo lao baada ya miaka kadhaa ya…

30/04/2025, 19:34

Waajiri wasiotoa mikataba kuchukuliwa hatua

Mkuu wa mkoa wa Manyara Queen Sendiga amemwagiza katibu tawala wa mkoa wa Manyara kupita kwenye ofisi za umma na binafsi nakukagua mikataba kwa  wasio na mikataba ili kuchukua hatua kwa waaajiri wanaokwenda kinyume na sheria za kazi hapa nchini…

30/04/2025, 17:34

Watu wasiojulikana wachoma vifaa kanisani Masasi

Haya ni mambo yanayojili katika jamii zetu na katika yote hivyo nawasamehe wale wote waliotenda hayo yamkini si akili yao Na Lilian Martin Watu wasiojulikana wamevamia katika kanisa Anglikana lililopo kijiji cha Mpeta wilayani Masasi mkoani Mtwara na kukusanya baadhi…

Aprili 30, 2025, 12:41 um

Wakopeshaji na wakopaji watakiwa kuzijua sheria

Picha ya Hakimu Mkazi Mfawidhi Mahakama ya Wilaya Babati Stephano Yodal akiwa na Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama ya Mwanzo Babati mjini Cesilia mbangati. Na kudrat Massaga Vikundi vinavyohusika na ukopeshaji pamoja na wakopaji kwenye vikundi vya mtaani wametakiwa kuzijua…

30/04/2025, 12:22

Kasulu utupaji taka maeneo ya kazi bado changamoto

Shirika linalojihusisha na utunzaji wa Mazingira katika Halmashauri ya Mji Kasulu (Earth Care Foundation) laeleza namna mabadiliko ya tabianchi yanavyoleta athari katika maeneo ya kazi. Na; Sharifat Shinji Wananchi katika Halmashauri ya Mji Kasulu mkoani Kigoma wameombwa kutunza Mazingira ili…

30 Aprili 2025, 10:33 mu

Maafisa uchaguzi Mpanda wapigwa Msasa

Picha ya mjumbe wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi Asina Omari. Picha na John Benjamin “Tekelezeni zoezi hilo kwa umakini” Na John Benjamin Maafisa uchaguzi ngazi ya kata wa halmashauri ya manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wametakiwa kuhakikisha wanasimamia…