Radio Tadio

Habari za Jumla

18 Febuari 2025, 5:47 um

Atupwa jela miaka 3 kwa kuwang’ata wenzie-Sengerema

Matukio ya watu kujichukulia sheria mkononi wilayani Sengerema yanazidi kushika kasi, ambapo mtu mmoja amehukumiwa miaka 3 kwa kosa la kujeruhi watu wa wili na meno. Na;Emmanuel Twimanye Mahakama ya Wilaya Sengerema mkoani Mwanza imemhukumu kwenda jela miaka mitatu Mkazi…

13 Febuari 2025, 11:22 mu

Sungusungu asababisha kifo cha mwananchi

amefariki baada ya kupigwa na Sungusungu kwa tuhuma za kushukiwa anajishughulisha na vitendo vya wizi. Na Betold Chove -Katavi Mkuu wa Wilaya ya Tanganyika  Onesmo Buswelu amekemea vitendo vya Wananchi kujichukulia sheria mkononi, hali inayopelekea uvunjifu wa amani na kuhatarisha…

7 Febuari 2025, 2:29 um

Wazazi watakiwa kuwa karibu na watoto wao

Picha ya Koplo Zainabu Yusuph. Picha na Samwel Mbugi “Ukatili kwa watoto wa kambo huathiri afya ya akili ya mtoto” Na Lilian Vicent Baadhi ya wananchi mkoa wa Katavi wamesema kuwa familia nyingi kuvunjika miongoni mwa wazazi ni moja ya sababu…

7 Febuari 2025, 1:23 um

Mpanda yajipanga kutunga sheria ili kulinda utamaduni

Picha ya mstahiki meya wa halmashauri ya Mpanda Haidary Sumry. Picha na Anna Mhina “Jamii ipatiwe elimu na kushirikishwa katika kutunga sheria ndogondogo” Na Restusta Nyondo Halmashauri ya manispaa ya Mpanda imesema kuna haja ya kutunga sheria ndogondogo za kulinda…

Febuari 4, 2025, 5:08 um

TAKUKURU yaokoa milioni 137.8 fedha za mauzo ya viwanja Kahama

Na Marco Maduhu Dawati la uchunguzi walipokea malalamiko 38,yaliyohusu rushwa ni 20 yasiyo husu rushwa ni 18, na kwamba uchunguzi wake unaendelea, huku akibainisha kuwa wamejipanga pia kuzuia vitendo vya rushwa kwenye uchaguzi mkuu ambao utafanyika mwaka huu 2025. Taasisi…

4 Febuari 2025, 1:46 um

Mawakili Katavi walia na malipo kiduchu

Picha ya viongozi walioshiriki sherehe za kilele cha wiki ya sheria. Picha na Anna Mhina “Malipo madogo hayakizi mahitaji” Na Lilian Vicent Chama cha mawakili Tanzania (TLS) mkoani Katavi kimelalamikia malipo madogo ambayo hayakidhi mahitaji Hayo yamesemwa na mwakilishi wa…