Radio Tadio

Habari za Jumla

4 February 2025, 1:46 pm

Mawakili Katavi walia na malipo kiduchu

Picha ya viongozi walioshiriki sherehe za kilele cha wiki ya sheria. Picha na Anna Mhina “Malipo madogo hayakizi mahitaji” Na Lilian Vicent Chama cha mawakili Tanzania (TLS) mkoani Katavi kimelalamikia malipo madogo ambayo hayakidhi mahitaji Hayo yamesemwa na mwakilishi wa…

3 February 2025, 6:58 pm

Wananchi wanufaika na wiki ya sheria

Picha ya pamoja ya viongozi mbalimbali wa mkoa wa Katavi. Picha na Anna Mhina “Mahakama ni chombo muhimu kwenye utoaji haki” Na Lilian Vicent Baadhi ya wananchi mkoani Katavi wamesema kuwa  kupitia wiki ya sheria wameweza kujifunza  sheria na kutambua…

31 January 2025, 7:50 pm

Kampuni za uchimbaji madini zawa kero kwa madiwani

Picha ya baraza la madiwani wa halmashauri ya Mpanda. Picha na Edda Enock “Madiwani walalamikia kampuni za uchimbaji madini” Na Edda Enock Baraza la madiwani manispaa ya Mpanda mkoani Katavi limelalamikia kampuni za uchimbaji madini ambazo zinafanya shughuli za uchimbaji…

31 January 2025, 7:36 pm

Wananchi wataka elimu ya ardhi itolewe

Picha ya mwenyekiti wa baraza  la ardhi na nyumba Katavi Gregory Kalashani. Picha na Anna Mhina. “Wananchi mkoani Katavi wameomba elimu ya ardhi itolewe zaidi” Na Liliani Vicent Baadhi ya wananchi mkoani Katavi wametoa maoni yao kuhusiana na hatua za…

28 January 2025, 14:48

Kyela:Wiki ya sheria kyela kumekucha

Wananchi wilayani kyela wametakiwa kujitokeza kwa wingi katika viwanja vya mahakama ya wilaya ya kyela kwenda kutoa na kero zao ili zitatuliwe katika wiki hii ya sheria. Na James Mwakyembe Hatiamaye maadhimisho ya wiki ya sheria yamezinduliwa rasmi hapa wilayani…

28 January 2025, 12:00

Kyela:Asente sana ccm kyela

“siku chache zilipita chama cha mapinduzi ccm wilaya ya kyela kupitia halmashauri kuu wamenitunuku cheti cha shukrani kutambua mchango wangu katika ujenzi wa chama change” Na James Mwakyembe Aliyekuwa mgombea wa ubunge kupitia chama cha demokrasia na maendeleo chadema kabla…