Habari za Jumla
4 February 2025, 1:46 pm
Mawakili Katavi walia na malipo kiduchu
Picha ya viongozi walioshiriki sherehe za kilele cha wiki ya sheria. Picha na Anna Mhina “Malipo madogo hayakizi mahitaji” Na Lilian Vicent Chama cha mawakili Tanzania (TLS) mkoani Katavi kimelalamikia malipo madogo ambayo hayakidhi mahitaji Hayo yamesemwa na mwakilishi wa…
3 February 2025, 8:02 pm
DC Kyobya ataka Udhibiti Mawakili Vishoka wanaotapeli wananchi-Kilombero
Na Kuruthumu Mkata Mkuu wa wilaya ya kilombero wakili Dunstan Kyobya ameliagiza jeshi la polisi wilayani humo kuhakikisha mawakili vishoka wanaotapeli wananchi wanakamatwa mara moja ,huku akisisitiza ushirikiano kwenye jambo hilo Hayo amezungumza katika hafla za kilele cha wiki ya…
3 February 2025, 6:58 pm
Wananchi wanufaika na wiki ya sheria
Picha ya pamoja ya viongozi mbalimbali wa mkoa wa Katavi. Picha na Anna Mhina “Mahakama ni chombo muhimu kwenye utoaji haki” Na Lilian Vicent Baadhi ya wananchi mkoani Katavi wamesema kuwa kupitia wiki ya sheria wameweza kujifunza sheria na kutambua…
February 3, 2025, 5:13 pm
Wachimbaji watatu wahofiwa kufariki dunia kutokana na kufukiwa na kifusi Kahama
Zoezi la uokoaji linaendelea kwa kushirikiana na wananchi, lakini linakabiliwa na changamoto ya maji mengi ndani ya duara hilo Na leokadia Andrew Wachimbaji watatu wa dhahabu katika mgodi wa Nkandi, eneo la Mwime, Manispaa ya Kahama, mkoani Shinyanga, wanahofiwa kufukiwa…
February 1, 2025, 4:58 pm
Mkuu wa Shule ajiua kwa kunywa kitu kinachodhaniwa ni sumu Kahama
Zaharani alikunywa kitu kinachodhaniwa ni sumu manamo Januari 29 majira ya saa tano, akiwa nyumbani kwake na alipozidiwa alipelekwa katika hospitali ya Manispaa ya Kahama kwa matibabu zaidi na ilipofika Januari 30 alipoteza maisha. Na Salvatory Ntandu Mkazi wa Kijiji…
31 January 2025, 7:50 pm
Kampuni za uchimbaji madini zawa kero kwa madiwani
Picha ya baraza la madiwani wa halmashauri ya Mpanda. Picha na Edda Enock “Madiwani walalamikia kampuni za uchimbaji madini” Na Edda Enock Baraza la madiwani manispaa ya Mpanda mkoani Katavi limelalamikia kampuni za uchimbaji madini ambazo zinafanya shughuli za uchimbaji…
31 January 2025, 7:36 pm
Wananchi wataka elimu ya ardhi itolewe
Picha ya mwenyekiti wa baraza la ardhi na nyumba Katavi Gregory Kalashani. Picha na Anna Mhina. “Wananchi mkoani Katavi wameomba elimu ya ardhi itolewe zaidi” Na Liliani Vicent Baadhi ya wananchi mkoani Katavi wametoa maoni yao kuhusiana na hatua za…
January 31, 2025, 5:36 pm
Wananchi watakiwa kutoa ushirikiano kwa jeshi la zimamoto na uokoaji Kahama
Mkaguzi msaidizi wa jeshi la zima moto na uokoaji wilaya ya Kahama Hafidhi Omary{picha na Sebastian Mnakaya} wananchi wameshauriwa kutoa taarifa mapema kwa jeshi la zimamoto na uokoaji endapo kukatokea janga la moto na majanga mengine ili liweze kutoa msaada…
28 January 2025, 14:48
Kyela:Wiki ya sheria kyela kumekucha
Wananchi wilayani kyela wametakiwa kujitokeza kwa wingi katika viwanja vya mahakama ya wilaya ya kyela kwenda kutoa na kero zao ili zitatuliwe katika wiki hii ya sheria. Na James Mwakyembe Hatiamaye maadhimisho ya wiki ya sheria yamezinduliwa rasmi hapa wilayani…
28 January 2025, 12:00
Kyela:Asente sana ccm kyela
“siku chache zilipita chama cha mapinduzi ccm wilaya ya kyela kupitia halmashauri kuu wamenitunuku cheti cha shukrani kutambua mchango wangu katika ujenzi wa chama change” Na James Mwakyembe Aliyekuwa mgombea wa ubunge kupitia chama cha demokrasia na maendeleo chadema kabla…