Habari za Jumla
3 March 2025, 12:36 pm
Maswa:Halmashauri maswa yazindua mnada mpya
Halmashauri Wilayani Maswa Mkoani Simiyu imeendelea na adhima yake ya kuhakikisha inaongeza ukusanyaji wa mapato kwa kuanzisha vyanzo vipya vya mapato kwa lengo la kuharakisha maendeleo Wilayani hapo Na, Alex Sayi-Maswa Simiyu. Halmashauri wilayani Maswa mkoani Simiyu imeanzisha gulio na…
3 March 2025, 10:08
Wanawake Block D Ilomba watembelea gereza la Rwanda,Mbeya
Katika kuadhimisha kilele cha siku ya mwanamke Duniani wanawake mkoani Mbeya watumia nafasi hiyo kuwatembelea wahitaji mbalimbli. Na Ezra Mwilwa Kuelekea siku ya mwanamke duniani Umoja wa kina mama mtaa wa Block D Ilomba wametembelea gereza la Ruanda upande wa…
2 March 2025, 6:38 pm
Maswa:wajawazito (400-450)hujifungua ndani ya mwezi mmoja
Jamii Wilayani Maswa Mkoani Simiyu imeaswa kujenga tabia ya kuwatembelea wajawazito na wazazi wanaojifungua ili kusaidia mahitaji muhimu ya uzazi kwa wazazi hao. Na,Alex Sayi Maswa-Simiyu Uongozi wa Hospitali ya Wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu umebainisha kuwa ndani ya mwezi…
2 March 2025, 11:55 am
Mtaala mpya wa elimu imepokelewa kwa furaha Busokelo
Afisa uthibiti ubora wa shule Halmashauri ya Busokelo Bi,Asha Kibiki akiwa ofisini kweke [picha na Peter Tungu] katika kwendana na mabadiliko ya sanyasi na teknolojia jamii imetakiwa kuendana na mabadiliko hayo ili kuweza kuanda watoto kuweza kujiajili BUSOKELO- MBEYA Na…
27 February 2025, 5:47 pm
Bajeti ya mwaka 2025/2026 itazingatia mapendelezo ya mabaraza ya Watoto
Na Mary Julius. Afisa Mipango Wilaya ya Magharib b Faida Khamis Ali amesema bajeti ya mwaka 2025 2026 imezingatia mapendelezo yaliyo tolewa na Mabaraza ya watoto. Afisa ameyasema hayo wakati Akifungua kikao cha watoto wadau wa asasi za kiraia na…
February 27, 2025, 12:35 pm
Wasichana 700 waokolewa na ukatili mikoa ya Shinyanga na Mara
“Tunatambua kuwa hapa kijijini swala la upatikanaji wa maji safi na salama kwa ajili ya matumizi ya wanafunzi na jamii na jamii bado ni tatizo, hivyo kampuni inawaomba wote kwa ujumla tuwe na subra kwa maana kampuni imekwishafikisha ombi la…
24 February 2025, 5:39 pm
Ubovu wa miundombinu katika soko la Machinjioni huathiri huduma
Picha ya soko la Machinjioni. Picha na Edda Enock “Tunashindwa wapi pa kupeleka haja zetu soko halina choo” Na Edda Enock Baadhi ya wafanyabiashara wa soko la machinjioni manispaa ya Mpanda mkoani katavi wametoa malalamiko yao kwa serikali kuhusu hali…
23 February 2025, 07:50
Baba adaiwa kutoweka na mtoto wake wa miezi Saba
Katika Hali isiyo ya kawaida Baba anadaiwa kutoroka na mtoto wa miezi Saba, kwa madai ya MKE ametoa mwimba kwa njia za kishirikina. Na Ezekiel Kamanga Mariam Omary Said(21) mkazi wa Mabatini Jijini Mbeya anamtafuta mwanawe Muzdalifa Adamu Hinju jinsi…
22 February 2025, 7:43 pm
Walemavu wasioona kilombero wakumbukwa
“Sisi Watu wenye ulemavu kwa muda mrefu hatujakumbukwa ila tunashukuru kwa huyu mdau Issa Vitus Lipagila kwa kutushika mkono sasa tutafanikisha shughuli zetu kwa kuepuka kupata ajali zisizokuwa za lazima[“Walemavu wasioona Na Elias Maganga Walemavu wasioona Kilombero wamepatiwa msaada wa…
21 February 2025, 07:10
Mufindi FM yashika namba 3 kwa kulipa kodi
na Jumane Bulali Mufindi FM Radio 107.3 imeshika nafasi ya tatu Kwa kulipa Kodi Kwa wakati na kwa usahihi Kwa upande wa Vyombo vya Habari vya Mkoa wa Iringa. Mufindi FM imepewa tunzo hiyo maalumu baada ya kutambuliwa na Mamlaka…