Habari za Jumla
14 Machi 2025, 6:39 um
Kijiji cha Sangaiwe chakusanya bilioni 2.4 kutokana na uhifadhi
Mkuu wa wilaya ya Babati mkoani Manyara Emmanuela Kaganda amefurahishwa na uwekezaji uliofanyika katika kijiji cha Sangaiwe ambao umetokana na jitihada za wananchi wa kijiji hicho. Na Mzidalfa Zaid Mkuu wa wilaya ya Babati mkoani Manyara Emmanuela Kaganda amekagua miradi…
14 Machi 2025, 6:08 um
Wananchi watakiwa kuchagua viongozi wenye ushawishi wa sera
Picha ya Leonard Minja afisa TAKUKURU Mpanda. Picha na Anna Mhina “Msichague viongozi watoa rushwa” Na Anna Mhina Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa TAKUKURU mkoani Katavi imewataka wananchi kuchagua viongozi kutokana na ushawishi wa sera na ilani za…
13 Machi 2025, 21:19 um
Mkuu wa Mkoa Mtwara, akabidhi msaada kwa waathirika wa Mafuriko
Msaada ulioletwa na Ofisi ya Waziri Mkuu pamoja na wadau umejumuisha vifaa mbalimbali ikiwemo unga wa sembe, dona, mchele, sukari, mafuta ya kupikia, sabuni za unga, chumvi, sabuni za kuogea, taulo za kike, magodoro, blanketi, vyandarua, nepi za kisasa (diapers),…
7 Machi 2025, 11:54 um
TPF-NET watoa mafunzo kwa askari wanawake
Mtandao wa Polisi wanawake mkoa wa Manyara (TPF-NET ) wametoa mafunzo kwa askari wanawake Na Angel Munuo Mtandao wa Polisi wanawake mkoa wa Manyara (TPF-NET ) wametoa mafunzo kwa askari wanawake ambayo yatawasaidia kupambana na ukatili wa kijinsia pamoja na…
5 Machi 2025, 17:51
Mhandisi Maryprisca akabidhi mabati bweni la wasichana Shizuvi
Naibu waziri wa Habari Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mheshimiwa Mhandisi Maryprisca Mahundi atimiza Hadi yake kusaidia ujenzi wa Bweni Na Hobokela Lwinga Siku chache baada ya Naibu Waziri wa Habari Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mheshimiwa Mhandisi Maryprisca Mahundi…
5 Machi 2025, 11:20 mu
Bibi adaiwa kumwagia chai ya moto mjukuu wake
Licha ya serikali kuendelea kutoa elimu juu ya athari za vitendo vya ukatili hususani kwa watoto, bado baadhi ya wananchi wameendelea kutenda matukio hayo. Na: Emmanuel Twimanye – Sengerema Mtoto mwenye umri wa miaka 14 katika mtaa wa Misheni wilayani Sengerema…
Machi 3, 2025, 11:27 um
Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza watakiwa kuripoti shule
Watoto wote waliofaulu kijiunga na kidato cha kwanza mkoani Shinyanga watakiwa kuripoti shule, huku wazazi wakitakiwa kuwapeleka shule na wakikaidi agizo hilo watachukuliwa hatua za kisheria Na Sebastian Mnakaya Mkuu wa mkoa wa Shinyanga Anamringi Macha amewataka Wazazi na walezi…
3 Machi 2025, 12:36 um
Maswa:Halmashauri maswa yazindua mnada mpya
Halmashauri Wilayani Maswa Mkoani Simiyu imeendelea na adhima yake ya kuhakikisha inaongeza ukusanyaji wa mapato kwa kuanzisha vyanzo vipya vya mapato kwa lengo la kuharakisha maendeleo Wilayani hapo Na, Alex Sayi-Maswa Simiyu. Halmashauri wilayani Maswa mkoani Simiyu imeanzisha gulio na…
3 Machi 2025, 10:08
Wanawake Block D Ilomba watembelea gereza la Rwanda,Mbeya
Katika kuadhimisha kilele cha siku ya mwanamke Duniani wanawake mkoani Mbeya watumia nafasi hiyo kuwatembelea wahitaji mbalimbli. Na Ezra Mwilwa Kuelekea siku ya mwanamke duniani Umoja wa kina mama mtaa wa Block D Ilomba wametembelea gereza la Ruanda upande wa…
2 Machi 2025, 6:38 um
Maswa:wajawazito (400-450)hujifungua ndani ya mwezi mmoja
Jamii Wilayani Maswa Mkoani Simiyu imeaswa kujenga tabia ya kuwatembelea wajawazito na wazazi wanaojifungua ili kusaidia mahitaji muhimu ya uzazi kwa wazazi hao. Na,Alex Sayi Maswa-Simiyu Uongozi wa Hospitali ya Wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu umebainisha kuwa ndani ya mwezi…