Habari za Jumla
19 March 2025, 08:11
Mwenyekiti wa kitongoji adaiwa kufyeka mazao ya wananchi
Kufuatia changamoto ya Barabara katika kitongoji cha Lwifwa Kijiji Cha lwifwa Kata ya Kisiba Halmashauri ya Busokelo Wilaya ya Rungwe mwenyekiti adaiwa kufyeka mazao ya wananchi bila idhini yoyote. Na Ezekiel Kamanga Wananchi wa Kitongoji cha Lwifwa Kijiji Cha lwifwa…
18 March 2025, 20:07
UWSA yatoa ofa kwa wateja wenye malimbikizo kulipa nusu gharama kisha kuwarejesh…
Katika kuadhimisha wiki ya maji, Mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira Mbeya UWSA imetoa ofa kwa wateja wake wenye malimbikizo ya ankara za maji kulipa nusu gharama na kisha kuwarejeshea huduma hiyo bure. Na Ezra Mwilwa Akitoa taarifa…
18 March 2025, 19:43
Wasira atoa siku 14 kwa kampuni ya GDM kuwalipa wakulima wa KAHAWA Rungwe
Kutokana na changamoto ya wakulima wa kahawa wilayani Rungwe kuto kulipwa malipo yao ya Mwaka 2024, ameagiza kampuni iliyo nunua zao Hilo kulipa madai hayo ndani ya siku 14. Na Ezra Mwilwa Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Steven…
14 March 2025, 6:39 pm
Kijiji cha Sangaiwe chakusanya bilioni 2.4 kutokana na uhifadhi
Mkuu wa wilaya ya Babati mkoani Manyara Emmanuela Kaganda amefurahishwa na uwekezaji uliofanyika katika kijiji cha Sangaiwe ambao umetokana na jitihada za wananchi wa kijiji hicho. Na Mzidalfa Zaid Mkuu wa wilaya ya Babati mkoani Manyara Emmanuela Kaganda amekagua miradi…
14 March 2025, 6:08 pm
Wananchi watakiwa kuchagua viongozi wenye ushawishi wa sera
Picha ya Leonard Minja afisa TAKUKURU Mpanda. Picha na Anna Mhina “Msichague viongozi watoa rushwa” Na Anna Mhina Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa TAKUKURU mkoani Katavi imewataka wananchi kuchagua viongozi kutokana na ushawishi wa sera na ilani za…
13 March 2025, 21:19 pm
Mkuu wa Mkoa Mtwara, akabidhi msaada kwa waathirika wa Mafuriko
Msaada ulioletwa na Ofisi ya Waziri Mkuu pamoja na wadau umejumuisha vifaa mbalimbali ikiwemo unga wa sembe, dona, mchele, sukari, mafuta ya kupikia, sabuni za unga, chumvi, sabuni za kuogea, taulo za kike, magodoro, blanketi, vyandarua, nepi za kisasa (diapers),…
7 March 2025, 11:54 pm
TPF-NET watoa mafunzo kwa askari wanawake
Mtandao wa Polisi wanawake mkoa wa Manyara (TPF-NET ) wametoa mafunzo kwa askari wanawake Na Angel Munuo Mtandao wa Polisi wanawake mkoa wa Manyara (TPF-NET ) wametoa mafunzo kwa askari wanawake ambayo yatawasaidia kupambana na ukatili wa kijinsia pamoja na…
5 March 2025, 17:51
Mhandisi Maryprisca akabidhi mabati bweni la wasichana Shizuvi
Naibu waziri wa Habari Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mheshimiwa Mhandisi Maryprisca Mahundi atimiza Hadi yake kusaidia ujenzi wa Bweni Na Hobokela Lwinga Siku chache baada ya Naibu Waziri wa Habari Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mheshimiwa Mhandisi Maryprisca Mahundi…
5 March 2025, 11:20 am
Bibi adaiwa kumwagia chai ya moto mjukuu wake
Licha ya serikali kuendelea kutoa elimu juu ya athari za vitendo vya ukatili hususani kwa watoto, bado baadhi ya wananchi wameendelea kutenda matukio hayo. Na: Emmanuel Twimanye – Sengerema Mtoto mwenye umri wa miaka 14 katika mtaa wa Misheni wilayani Sengerema…
March 3, 2025, 11:27 pm
Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza watakiwa kuripoti shule
Watoto wote waliofaulu kijiunga na kidato cha kwanza mkoani Shinyanga watakiwa kuripoti shule, huku wazazi wakitakiwa kuwapeleka shule na wakikaidi agizo hilo watachukuliwa hatua za kisheria Na Sebastian Mnakaya Mkuu wa mkoa wa Shinyanga Anamringi Macha amewataka Wazazi na walezi…