Radio Tadio

Habari za Jumla

19 March 2025, 08:11

Mwenyekiti wa kitongoji adaiwa kufyeka mazao ya wananchi

Kufuatia changamoto ya Barabara katika kitongoji cha Lwifwa Kijiji Cha lwifwa Kata ya Kisiba Halmashauri ya Busokelo Wilaya ya Rungwe mwenyekiti adaiwa kufyeka mazao ya wananchi bila idhini yoyote. Na Ezekiel Kamanga Wananchi wa Kitongoji cha Lwifwa Kijiji Cha lwifwa…

14 March 2025, 6:08 pm

Wananchi watakiwa kuchagua viongozi wenye ushawishi wa sera

Picha ya Leonard Minja afisa TAKUKURU Mpanda. Picha na Anna Mhina “Msichague viongozi watoa rushwa” Na Anna Mhina Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa TAKUKURU mkoani Katavi imewataka wananchi kuchagua viongozi kutokana  na ushawishi wa sera na ilani za…

7 March 2025, 11:54 pm

TPF-NET watoa mafunzo kwa askari wanawake

Mtandao wa Polisi wanawake mkoa wa Manyara (TPF-NET ) wametoa mafunzo kwa askari wanawake Na Angel Munuo Mtandao wa Polisi wanawake mkoa wa Manyara (TPF-NET ) wametoa mafunzo kwa askari wanawake ambayo yatawasaidia kupambana na ukatili wa kijinsia pamoja na…

5 March 2025, 17:51

Mhandisi Maryprisca akabidhi mabati bweni la wasichana Shizuvi

Naibu waziri wa Habari Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mheshimiwa Mhandisi Maryprisca Mahundi atimiza Hadi yake kusaidia ujenzi wa Bweni Na Hobokela Lwinga Siku chache baada ya Naibu Waziri wa Habari Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mheshimiwa Mhandisi Maryprisca Mahundi…

5 March 2025, 11:20 am

Bibi adaiwa kumwagia chai ya moto mjukuu wake

Licha ya serikali kuendelea kutoa elimu juu ya athari za vitendo vya ukatili hususani kwa watoto, bado baadhi ya wananchi wameendelea kutenda matukio hayo. Na: Emmanuel Twimanye – Sengerema Mtoto mwenye umri wa miaka 14 katika mtaa wa Misheni wilayani Sengerema…