Habari za Jumla
16 Aprili 2025, 1:44 um
DC Mpanda atoa angalizo kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha
Picha ya mkuu wa wilaya ya Mpanda. Picha na Anna Mhina “Wananchi mchukue tahadhari kipindi hiki cha mvua” Na Anna Mhina Kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha na kusababisha baadhi ya mawasiliano ya barabara kukatika Wananchi wametakiwa kuchukua tahadhari katika kuwalinda…
5 Aprili 2025, 18:24 um
Wakuu wa Wilaya watakiwa kuhakiki ubora miradi ya Mwenge
Na Musa Mtepa Wakuu wa wilaya na wataalamu ngazi zote wametakiwa kukagua nyaraka mbalimbali zinazotakiwa kuwepo kwenye miradi itakayopitiwa wakati wa mbio za mwenge mkoani mtwara kutekelezwa kwa ubora ili kuepuka ubadhirifu unaoweza kujitokeza. “Navielekeza vyombo vinavyotakiwa kuchukua hatua watakapo…
31 Machi 2025, 3:01 um
Vijana waanzisha miradi ya ufugaji Nyanguku
Vijana wameamua kutumia fursa zilizopo kijiji kwao kupambana na changamoto ya ajira Na Edga Rwenduru – Geita Vijana Taasisi ya TK Movement wasiyokuwa na ajira katika kijiji cha Nyanguku Manispaa ya Geita mkoani Geita wameanzisha miradi ya ufugaji wa Mbuzi,kuku…
26 Machi 2025, 3:43 um
Vijana jitokezeni kugombea nafasi za uongozi
“Taifa linahitaji nguvu kazi ya vijana” Na John Benjamin Vijana mkoani Katavi wameombwa kujitokeza kwa wingi kuwania nafasi mbalimbali katika uongozi wa kisiasa Hayo yamezungwa na mwenyekiti wa ngome ya vijana wa chama cha ACT Wazalendo mkoa wa Katavi ambapo…
25 Machi 2025, 9:39 mu
Meya Mpanda apiga jeki mifuko 40 ya saruji ofisi za CCM
Wajumbe wa CCM wakipokea mfuko mmoja wa saruji kwa niaba ya mifuko 40. Picha na Anna Mhina “Lengo la kutoa mifuko hiyo ni kukifanya chama kionekane cha tofauti” Na Anna Mhina Mstahiki meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda mkoani…
25 Machi 2025, 07:24
Mbeya waipokea No reform no election
Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Tundu Lissu, amesema ni jambo ambalo haiwezekani Chama hicho kupata matokeo ya uchaguzi wa asilimia sifuri kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa uliofanyika mwaka 2024 katika mkoa wa Mbeya na maeneo mengine…
19 Machi 2025, 10:55 MU
MANAWASA yafanikiwa kufunga mita 95 za malipo ya kabla
Mkurugenzi wa Huduma kwa wateja wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Masasi Nachingwea (MANAWASA) Obadia Mtuya. Picha na Godbless Lucius “Wateja wa huduma ya maji wanazidi kuongezeka, na sisi kama taasisi tutaendelea kuboresha mifumo yetu ili kuhakikisha…
19 Machi 2025, 08:11
Mwenyekiti wa kitongoji adaiwa kufyeka mazao ya wananchi
Kufuatia changamoto ya Barabara katika kitongoji cha Lwifwa Kijiji Cha lwifwa Kata ya Kisiba Halmashauri ya Busokelo Wilaya ya Rungwe mwenyekiti adaiwa kufyeka mazao ya wananchi bila idhini yoyote. Na Ezekiel Kamanga Wananchi wa Kitongoji cha Lwifwa Kijiji Cha lwifwa…
18 Machi 2025, 20:07
UWSA yatoa ofa kwa wateja wenye malimbikizo kulipa nusu gharama kisha kuwarejesh…
Katika kuadhimisha wiki ya maji, Mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira Mbeya UWSA imetoa ofa kwa wateja wake wenye malimbikizo ya ankara za maji kulipa nusu gharama na kisha kuwarejeshea huduma hiyo bure. Na Ezra Mwilwa Akitoa taarifa…
18 Machi 2025, 19:43
Wasira atoa siku 14 kwa kampuni ya GDM kuwalipa wakulima wa KAHAWA Rungwe
Kutokana na changamoto ya wakulima wa kahawa wilayani Rungwe kuto kulipwa malipo yao ya Mwaka 2024, ameagiza kampuni iliyo nunua zao Hilo kulipa madai hayo ndani ya siku 14. Na Ezra Mwilwa Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Steven…