Radio Tadio

Habari za Jumla

2 May 2025, 2:29 pm

Hatimaye Mv mapinduzi II yakaribia kurudi kazini

Na Kassim Salum Abdi. Kamati ya kudumu ya Baraza la Wawakilishi inayosimamia Mawasiliano, Ardhi na Nishati imesema imeridhishwa na matengenezo ya ukarabati wa Meli ya MV MAPINDUZI (II) iliopo nangani katika bandari ya Malindi. Mwenyekiti wa Kamati ya Mawasiliano, Ardhi…

May 2, 2025, 2:22 pm

Mpango wa m mama unavyosaidia wajawazito na watoto

“Jumla ya madereva 20 ndio waliohitajika, 9 wamesajiliwa na hulipwa Tshs 1,500/= kwa kilomita 1 na hulipwa kwenda na kurudi” Amesema Dkt. Agustine Mjuni Kaloli. Na Sharifat Shinji Muuguzi Mkuu katika Halmashauri ya Mji Kasulu ameeleza jinsi mpango wa m…

2 May 2025, 2:02 pm

Rushwa ya ngono yamkera mkuu wa mkoa

Picha ya maandamano siku ya wafanyakazi duniani. Picha na Restuta Nyondo. “Msikubali kutoa rushwa ya ngono ili kupata haki zenu” Na Restuta Nyondo Wafanyakazi mkoani Katavi wamesema bado taasisi na halmashauri zinalegalega katika kulipa madai kwa muda mrefu ikiwemo fedha…

2 May 2025, 13:05

RC Kigoma ataka wajiri na waajiriwa kuzingatia haki na usawa

Mratibu wa shirikisho wa vyama vya wafanyakazi ameomba Serikali kufanyia marekebisho sheria ya utumishi wa umma ili kuondoa mkanganyiko. Na Hagai Ruyagila – Kakonko Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Kamishna Jenerali Mstaafu wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, Thobias Andengenye,…

1 May 2025, 5:47 pm

Wafanyabiashara Maswa wakana kuchangishwa fedha za nyumba ya DC

“Jumuiya ya wafanyabiashara(TTCIA)wilayani Maswa mkoani Simiyu wameonya nakutotaka jina lao kutumiwa na  watu kwa maslahi yao binafsi,hali inayowachonganisha wao na watendaji wa Serikali Wilayani hapo”. Na,Alex Sayi-Maswa Simiyu Jumuiya ya wafanyabiashara wilayani Maswa mkoani Simiyu(TTCIA) wamekanusha taarifa zilizotolewa mitandaoni kwenye…

1 May 2025, 1:30 pm

Madiwani Tanganyika wamtaka mkurugenzi kutatua changamoto

Picha ya baraza la madiwani Tanganyika. Picha na Beny Gadau “Tumemuondoa daktari wa Mchangani amekuwa na uwajibikaji hafifu” Na Beny Gadu Baraza la madiwani halmashauri ya wilaya ya Tanganyika wamefanya kikao cha robo ya kwanza kwa mwaka 2025 chenye lengo…

May 1, 2025, 8:58 am

DC Kaganda arejesha amani kirudiki

Na Salum Majey Wananchi wa Kiru Diki, Wilaya ya Babati, wameonyesha furaha na shukrani zao kwa Mkuu wa Wilaya ya Babati, Mhe. Emmanuela Mtatifikolo Kaganda kwa juhudi zake zilizofanikisha kurejeshwa kwa amani katika eneo lao baada ya miaka kadhaa ya…

30 April 2025, 7:34 pm

Waajiri wasiotoa mikataba kuchukuliwa hatua

Mkuu wa mkoa wa Manyara Queen Sendiga amemwagiza katibu tawala wa mkoa wa Manyara kupita kwenye ofisi za umma na binafsi nakukagua mikataba kwa  wasio na mikataba ili kuchukua hatua kwa waaajiri wanaokwenda kinyume na sheria za kazi hapa nchini…