Habari za Jumla
01/12/2020, 06:54
Ukosefu wa elimu ya jinsia unavyochangia maambukizi ya vvu kwa vijana
Na,Mariam MatunduDodoma.Ukosefu wa elimu ya jinsia kwa vijana kuanzia ngazi ya familia inatajwa kuwa miongoni mwa sababu zinazopelekea takUwimu za maambukizi ya virusi vya ukimwi kwa vijana kuwa juu kuliko kundi lolote. Akizungumza na Taswira ya habari mtaalamu wa afya…
01/12/2020, 06:20
Ukarabati wa skimu za Kilimo Ruaha wafikia asilimia 60
Na,Mindi Joseph Ukarabati wa miundombinu inayopeleka maji katika skimu za kilimo cha umwagiliaji Ruaha Mbuyuni, Namagozi na Mlenge Pawaga Mkoani Iringa iliyoharibiwa na mafuriko katika msimu wa mvua zilizopita umekamilika kwa Asilimia (60%). Akizungumza katika ofisi za Tume ya Taifa…
30/11/2020, 07:22
Ukosefu wa sera ya unywaji pombe wachangia kuzorotesha uchumi
Kutokuwepo kwa sera madhubuti zinazohusu masuala ya unywaji pombe kupita kiasi kumechangangia kushindwa kufanyika kwa shughuli za kiuchumi kutokana na baadhi ya watumiaji wa vinywaji vikali kuendekeza unywaji kupita kiasi.Hayo yamesemwa Jijini Dodoma na Mwenyekiti wa Mtandao wa mashirika ya…
26/11/2020, 09:48
Gwiji Wa Soka Diego Maradona Afariki Dunia
Nyota wa Soka raia wa Argentina, Diego Maradona amefariki Dunia akiwa na umri wa miaka 60 kwa mshtuko wa moyo, Novemba 25, 2020, ikiwa ni wiki mbili tu baada ya kuruhusiwa kutoka Hospitali alipokuwa akipatiwa matibabu baada ya oparesheni ya…
26/11/2020, 07:19
Wanawake na fursa za kiuchumi
Wanawake nchini wameshauriwa kujishughulisha na shughuli mbalimbali za kiuchumi ili kujiongezea kipato ambacho kitawasaidia katika mambo mbalimbali hususan katika kugombea na kuendesha kampeni wakati wa chaguzi. Ushauri huo umetolewa na mwenyekiti wa umoja wa wanawake Tanzania UWT mkoa wa Dodoma…
26/11/2020, 06:12
Idara Ya Utamaduni Yaagizwa Kufanya Maandalizi Ya Uzinduzi Wa Bodi Ya Mfuko Wa U…
Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo na Msemaji Mkuu wa Serikali Dkt.Hassan Abbasi ameiagiza Idara ya Maendeleo ya Utamaduni ya Wizara hiyo kuanza maandalizi ya kuzindua Bodi ya Mfuko wa Utamaduni na Sanaa. Katibu Mkuu Dkt.Abbasi ametoa…
25/11/2020, 09:40
Uchaguzi Marekani 2020: Rais mteule asema taifa hilo limerejea wakati wa uzinduz…
Uchagizi wa Marekani 2020: ‘Marekani imerejea tena’, amesema Biden wakati anazindua timu yake Rais mteule Joe Biden ajaza nafasi sita muhimu akisubiri kuapishwa na kuchukua rasmi madaraka. Ikiwa watathibitishwa, Avril Haines atakuwa mkurugenzi wa kwanza mwanamke katika shirika la upelelezi…
22/11/2020, 13:45
IGP Sirro awahakikishia usalama wana Mtwara
Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania IGP Simon Sirro amesema Jeshi la Polisi litachukua muda mfupi kukabiliana na uhalifu unaoendelea katika Mkoa wa Mtwara, kama ilivyofanya katika kukabiliana na mauaji ya raia katika Wilaya za Kibiti, Rufiji na Mkuranga mkoani…
22/11/2020, 09:44
Makal- Umuhimu Wa Abiria Kupatiwa Tiketi Katika Usafiri
Makala inayohusu umuhimu wa abiria kupatiwa tikatiket katikati usafri ili kuepusha migogoro na makondakta HOST- ASHA MSITAPHA
21/11/2020, 05:18
Biashara Ya Embe Kwa Watoto Wadogo (Wanafunzi Shule Ya Msingi)
TUPO KATIKA MSIMU WA EMBE -Hii ni makala inayoelezea biashara ya embe kwa wanafunzi wa shule za msingi wengi wao wamekuwa wakikosa masomo kwa ajili ya kufanya biashara hii ya uuzaji wa embe wangine wakidai kuwa hufanya hivyo kwa ajili…