Habari za Jumla
6 Januari 2021, 15:10
Wananchi Wilayani Kilosa Wametakiwa kutunza na kuifadhi mazingira .
Wananchi Wilayani Kilosa Mkoani Morogoro wahamasishwa kupanda Miti na Maua pamoja na kusafisha mifereji ya maji ya mvua Katika maeneo yao Ili Kutunza mazingira. Akizungumza na Radio Jamii Kilosa januari 6,2021 Afisa Mazingira Kilosa Anthony Mbise amesema kuwa ni vizuri…
6 Januari 2021, 14:17
Wananchi wananchi wailayani Kilosa wametakiwa kupanda miti maia na kusafisha Mif…
6 Januari 2021, 10:14
Wananchi wametakiwa kutunza na kuhifadhi mazingira
Akizungumza na Radio Jamii Kilosa Januari 6 ,2021 Afisa Mazingira Bwana Anthony Heriel Mbise amesema kuwa ni vyema wananchi wakatumia mvua zinazo endelea kunyesha kipindi hiki kupanda Miti na Maua. Amesema kuwa Maua yanasaidia kupendezesha mazingira yanayo zunguuka na Miti…
5 Januari 2021, 15:21
Wananchi Chilonwa waomba kukarabatiwa daraja
Na,Mariam Matundu, Dodoma. Wakazi wa kijiji cha Mahama Kata ya Chilonwa Wilayani Chamwino wameiomba Serikali kufanya ukarabati wa daraja lililopo kati ya kijiji cha mahama na Nzali ili kuondoa adha ya usafiri wanayokutana nayo kipindi cha mvua za masika.Wakizungumza na…
31 Disemba 2020, 04:03
Tatizo la kupata Hedhi nyingi kupita kiasi sababu na athari zake
Je ni wakati gani mwanamke anatakiwa kuhisi kuwa anapata hedhi kupita kiasi? Unapata hedhi inayozidi siku 7 Unapata hedhi nzito inayofanya ubadiri pedi moja ndani ya masaa mawili Unapata hedhi nzito inayokulazimu kuvaa pedi zaidi ya moja Unapata hedhi nzito inayolowesha hadi nguo za…
31 Disemba 2020, 03:29
Kaya Zaidi Ya 40 Katika Vijiji Vya Kivukoni Na Chiwale Zakosa Makazi
Chanzo-Hamisi Abdelehemani Nasiri
22 Disemba 2020, 12:41
Uhaba wa mbegu za maboga wapunguza matumizi
Na,Timotheo Chiume, Dodoma. Upatikanaji mdogo wa mbegu za maboga jijini Dodoma umezifanya kutotumiwa kwa wingi na watu wanaozihitaji kwa ajili ya chakula na lishe.Pamoja na changamoto hiyo uhitaji na watumiaji wanaongezeka kila siku kutokana na kutambua faida zitokanazo na mbegu…
22 Disemba 2020, 12:23
Waiomba Serikali kuwatengenezea mazingira rafiki
Na,Thadey Tesha, Dodoma Baadhi ya wafanyabiashara wa kuku katika soko la Changombe jijini hapa wameiomba Serikali kuwatengenezea mazingira rafiki ya kuuzia bidhaa zao kutokana na eneo lililopo kutotosheleza mahitaji. Wakizungumza na Taswira ya habari wafanyabiashara hao wamesema kwa sasa mazingira…
21 Disemba 2020, 14:47
Waziri wa Maji afanya ziara ya kushtukiza kukagua uchimbaji visima
Na,Mindi Joseph, Dodoma. Waziri wa Maji Jumaa Aweso ameridhishwa na utekelezaji wa mradi wa maji wa Mzakwe wenye thamani zaidi ya milioni 200 unaotarajiwa kuzalisha maji lita laki nne kwa saa katika kuendelea kupunguza adha ya maji kwa Mkoa wa…
19 Disemba 2020, 07:20
Abdulaziz Makame kuondoka Yanga
Dar es Salaama. KIUNGO mkabaji wa Klabu ya Yanga Abdulaziz Makame yupo kwenye mpango wa kutua kwa mkopo ndani ya Klabu ya Polisi Tanzania. Taarifa zinadai kuwa mpaka sasa ni timu mbili zinahitaji kupata huduma yake ikiwa ni Polisi Tanzania …