Habari za Jumla
16/12/2020, 14:16
Rais Dkt.Magufuli aongoza kikao cha kwanza cha Baraza la Mawaziri Ikulu Dodoma
Na,Fred Cheti, Dodoma. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli hii leo ameongoza kikao cha kwanza cha Baraza jipya la Mawaziri aliowateua hivi karibuni.Kikao hicho kimefanyika leo Disemba 16 katika ikulu ya chamwino jijini Dodoma na…
16 Disemba 2020, 8:30 mu
Siku 16 za kupinga ukatili Ifakara
Kamati ya MTAKUWA kijiji cha Sagamaganga, kata ya Signali, kwa kipindi cha mwaka mmoja imefanikiwa kuibua ndoa na mimba za utotoni pamoja na matukio ya ubakaji. Hayo yameelezwa na mjumbe wa kamati ya MTAKUWA wa kijiji hicho bi, MACRINA MHALAFU,…
15/12/2020, 10:26
Bushiri na mkewe kurudishwa A.Kusini
Lilongwe, Malawi. Waziri wa usalama wa ndani wa Malawi , Richard Banda, amesaini nyaraka kwa ajili ya mchungaji tajiri na maarufu Shepherd Bushiri na mke wake, Mary kurudishwa nchini Afrika Kusini. Hii inafuatia ombi la mahakama ya nchi jirani ya…
14/12/2020, 15:26
Nigeria:Zaidi ya wanafunzi 300 hawajulikani walipo
Abuja, Nigeria. Gavana wa Jimbo la Katsina la Nigeria Aminu Masari amesema, wanafunzi 333 bado hawajulikani walipo baada ya shambulizi lililofanywa usiku wa Ijumaa na watu wenye silaha katika shule moja ya sekondari katika jimboni Katsina, kaskazini magharibi mwa Nigeria.…
14/12/2020, 14:56
Utabiri wa hali ya hewa unavyosaidia wakulima Hombolo
Na,Mindi Joseph, Dodoma. Utabiri wa hali ya hewa nchini umetajwa kuwasaidia wakulima katika kukabiliana na mabadiliko ya Tabianchi yanayojitokeza katika msimu wa Kilimo.Wakizungumza na Taswira ya habari baadhi ya wakulima katika kata ya Hombolo jijini Dodoma wamesema kuwa utabiri huo…
14/12/2020, 14:40
Afisa kilimo:Acheni kukaa ofisini
Na Thadey Tesha, Dodoma. Wadau wa kilimo nchini wameshauriwa kuwa na mazoea ya kuwatembelea wakulima mara kwa mara kwa lengo la kuwapa elimu ili kuongeza kasi ya uzalishaji wa chakula nchini.Hayo yamesemwa na afisa kilimo wa Mkoa wa Dodoma Bw.Benard…
14/12/2020, 10:43
Fainali za CHAN 2021 Cameroon mambo yameiva
Younde, Cameroon. Cameroon sasa wako tayari kuwa mwenyeji wa CHAN 2020 baada ya Kamati ya Utendaji ya CAF kuidhinisha miundombinu yake kutoka kwa ukaguzi wa mwisho ulioongozwa na Baf Anthony Baffoe, Naibu Katibu Mkuu anayehusika na mpira wa miguu na…
14/12/2020, 09:52
TPBRC yaandaa mapambano ya kuaza mwaka 2021
Dar Es Salaam. Kamisheni ya ngumi za kulipwa Tanzania TPBRC imeandaa mapambano kabambe ya ngumi ya kuanza mwaka. Mapambano hayo yanatarajiwa kufanyika siku ya Valentine Februari 14,2021 katika ukumbi wa Viwanja vya Sabasaba jijini Dar Es Salaam. Mratibu wa mapambano…
12/12/2020, 10:56
Okwi akutwa na maambukizi ya virusi vya Corona
Jeddah, Saudi Arabia. Klabu ya Al-Ittihad imethibitisha kuwa mshambuliaji wake raia wa Uganda Emmanuel Okwi ataukosa mchezo wa leo wa kwanza wa Ligi Kuu nchini Misri dhidi ya Pyramids Fc kutokana na kukutwa na maambukizi ya virusi vya Corona vinavyosababisha…
12/12/2020, 10:42
Micho akana mashtaka A.Kusini
Johanesburg, Afrika Kusini. Kocha Mkuu wa Timu ya taifa ya Zambia Milutin Sredojevic ‘Micho’ amekana mashtaka ya unyanyasaji wa kijinsia nchini Afrika Kusini. Kocha huyo mkongwe barani Afrika, mwenye umri wa miaka 51 alipandishwa katika Mahakama huko New Brighton jana…