Habari za Jumla
19 May 2025, 2:50 pm
Waumini wa dini ya Kiislam waonywa kuachana na uovu
‘Waishi kwa kufuata maelekezo na misingi ya imani mwenyezi Mungu.‘ Na Samwel Mbugi -Katavi Sheikh mkuu wa mkoa wa Katavi Nassor Kakulukulu amewataka waumini wa dini ya Kiislam mkoani Hapa kuachana na uovu na badala yake waishi kwa kufuata maelekezo…
19 May 2025, 2:18 pm
Biashara ya kaboni yaibadilisha Tanganyika
‘miradi mingi imetekelezwa na kukamilika na inaleta manufaa kwa wananchi wa halmashauri hiyo.’ Na Betord Chove -Katavi Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko ameipongeza halmashauri ya wilaya ya Tanganyika kwa utekelezaji mahili wa miradi ya kimikakati inayoendelea wilayani hapo…
16 May 2025, 4:35 pm
Rais Samia kupongezwa kwa kuunda tume kutatua migogoro Ngorongoro
Viongozi na watendaji mbalimbali wa kiserikali hapa nchini wamekuwa wakitoa matamko ya kumpongeza rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Dr Samia Suluhu Hassan kwa maendeleo wanayoataja wao yameletwa nae. Na Zacharia James Baraza la madiwani halmashauri Ngorongoro limepitisha azimio…
May 16, 2025, 9:56 am
Wazazi watakiwa kuwalida watoto dhidi ya ukatili
Wazazi wametakiwa kuwajengea watoto wao uwezo wa kujiamini kutokana na matukio ya kikatili yanayoendelea kushamiri hapa nchini. Na Mariam Mallya Afisa Mradi Magdalena Mchome kutoka Taasisi ya (WEGS) inayojihusisha na kuwainua wanawake kiuchumi pamoja na masuala ya kijinsia (WEGS) Iliyopo…
15 May 2025, 3:03 pm
Kumbukeni kujiandaa kukabiliana na ukame Terrat Simanjiro
“Huu ndiyo wakati wa kuhakikisha maeneo yetu ya malisho yanalindwa, kuhifadhi mbegu za majani, na kuhakikisha tunafuata utaratibu wa kulisha mifugo ili kipindi cha ukame kisitukute hatuna maandalizi,” Kone Medukenya Na Baraka David Ole Maiaka Jamii ya wafugaji wa kijiji…
13 May 2025, 6:30 pm
Qash Sekondari yakabidhiwa bweni lenye thamani ya shillingi million 200
Mkurugenzi mkazi wa Shirika la STC Roselyne Mariki amesema ujenzi wa bweni la shule ya sekondari Qash umegharimu kiasi cha shilingi million mia mbili na limejengwa kwa ushirikiano wa wananchi wa kata ya Qash Na Marino Kawishe Shirika lisilokuwa la…
13 May 2025, 2:25 pm
Kampeni ya msaada wa kisheria yawa mkombozi kwa wananchi vijijini
Mary Julius. Kadhi wa Wilaya ya Kusini Abubakar Ali Mohamed amesema utekelezaji wa Kampeni ya msaada wa kisheria katika kutoa elimu kwa wananchi hasa wa vijijini kumesaidia wananchi wengi kuzitambua njia na taratibu za kisheria katika kudai haki zao zinazohusiana…
12 May 2025, 2:12 PM
Ashikiliwa kwa kukata nyeti za rafiki yake
Inadaiwa kuwa chanzo cha tukio hilo ni mgogoro uliotokana na tuhuma za wizi, ambapo mtuhumiwa alimshuku marehemu kuwa anamuibia baadhi ya vitu vyake. Na Lilian Martin Jeshi la Polisi Mkoa wa Mtwara linamshikilia mtu mmoja aitwaye Wales Gerald (45), mkazi…
12 May 2025, 1:05 pm
Wananchi kuchangia pato la taifa kupitia pori la akiba Kijereshi
‘‘Kuchangia uchumi wa nchi kupitia utalii siyo jukumu la watilii wa kigeni kama ambavyo watu wengine wanafikiri sote tunajukumu hilo kama wananchi wazalendo ambao tunazunguka katika maeneo ya hifadhi au mapori ya akiba ili sisi tuwe mabalozi wazuri hata kuwajuza…
12 May 2025, 12:55 pm
Mwenyekiti UWZ atoa wito wa mshikamano
Na Mary Julius. Mwenyekiti wa Umoja wa Watu Wenye Ulemavu Zanzibar, UWZ Abdulwakili H Hafidhi, amewataka wanachama wa umoja huo kuunga mkono viongozi wao kwa lengo la kuhakikisha kuwa huduma na mafanikio ya umoja huo yanawafikia watu wote wenye ulemavu…