Radio Tadio

Habari za Jumla

11 Juni 2025, 19:40

Watu wenye ulemavu Songwe waja naombi

kutokana na kuwepo kwa mashindano ya watu wenye ulemavu ngazi ya Taifa timu wa walemavu mkoa wa Songwe wameomba wadau mbalimbli kuwaunga mkono ili waweze kushiriki mashindano hayo. Na Ezra Mwilwa Timu ya soka ya walemavu wanaume mkoani Songwe wameomba…

11 Juni 2025, 6:34 um

CAG aibua hoja za kisera Mlimba

Mapendekezo ya hoja hizo ni kuendelea kuomba watumishi wa sekta mbalimbali na kufanya ufuatiliaji wa namna ya kupunguza changamoto za miundombinu ya elimu na afya Na Katalina Liombechi/Kuruthumu Mkata Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mh Adam Malima amesema hoja nyingi…

11 Juni 2025, 10:37 mu

NGO’s zatakiwa kufanya kazi kwa ushirikiano

Mashirika yasiyo ya kiserikali (NGOs) yamefanya mkutano wa pamoja katika kuweka mikakati yakufanya kazi kwa pamoja na kubainisha changamoto zao kwenye uongozi wa wilaya ya Hai Na Henry Keto. Hai-Kilimanjaro Mashirika yasiyo ya kiserikali yametakiwa kukaa pamoja kuweka mikakati yakufanya…