Habari za Jumla
26 March 2021, 8:13 am
Uwajibikaji wa Vijana ni matunda ya kumuenzi Rais Magufuli
Na; Selemani Kodima Vijana Nchini wametakiwa kuendelea kuwajibika na kuonesha Uzalendo katika Majukumu yao ili kuenzi uzalendo ambao uliooneshwa na Hayati Rais Magufuli wakati wa Utawala wake. Hayo yamesemwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya maendeleo ya Vijana Dodoma DOYODO…
25 March 2021, 3:58 pm
Maelfu ya wananchi Mkoa Simiyu wamlilia JPM
Maelfu ya wananchi mkoani Simiyu wamejitokeza kwa wingi katika misa takatifu ya kumuombea aliyekuwa rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania hayati Dkt.John Pombe Magufuli ikiwa na lengo la kumuombea kwa MUNGU apumzike kwa amani milele. Akiongoza maelfu ya wananchi…
25 March 2021, 3:17 pm
Waandishi wa habari wa redio za kijamii kanda ya ziwa wajengewa uwezo na TADIO
Katika kuhakikisha redio za kijamii zinasikika kupitia kwenye mtandao TADIO imeanzisha program maalumu itakayozisaidia redio zote za kijamii zilizopo kwenye TADIO Mafunzo hayo ya siku mbili yamefanyika Jijini Mwanza ambapo mafunzo yanalenga kuwawezesha waandishi kutoka vituo vya redio za kijamii…
March 25, 2021, 2:37 pm
FADEV kutoa ruzuku kwa wanawake Wachimbaji Wadogo wa Madini Shinyanga.
TAASISI ya kuendeleza wachimbaji wadogo wa madini hapa nchini (FADev), wanatarajia kuanza utoaji wa fedha za Ruzuku kwa wanawake ambao ni wachimbaji wadogo wa madini ya dhahabu mkoani Shinyanga, pamoja na kuwapatia mkopo wa vifaa vya uchimbaji bila riba, ili…
25 March 2021, 1:30 pm
Viongozi mbalimbali, wasanii Watoa heshima zao Mwisho
Na; Mariam Kasawa. viongozi, wasanii na maelfu ya wananchi wametoa heshima zao za mwisho kwa hayati Dkt. Magufuli kijijini chato mkoani geita Waziri mkuu wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Kassim Majaliwa na Makamu wapili wa Rais wa serikali…
24 March 2021, 10:12 pm
Wakazi wa Mwanza wamejitokeza kwa wingi kumuaga Dkt Magufuli
Wakazi wa Jiji la Mwanza na maeneo ya mikoa jirani ya Shinyanga,Simiyu na Tabora wamejitokeza kwa wingi katika Uwanja wa CCM Kirumba kumuaga Dkt John Pombe Magufuli aliekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania aliefariki dunia Machi 17-2021 kwa…
24 March 2021, 6:45 pm
Waganga na wakunga wa tiba asili Tanzania wamlilia Dkt. Magufuli
Na Mrisho Sadick – Geita Siku chache baada ya kufariki aliekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli, Umoja wa waganga na wakuga wa tiba asili Tanzania (UWAWATA) umesema kufariki kwa kiongozi huyo ameacha pengo kubwa…
24 March 2021, 1:14 pm
Wafanyabiashara Dodoma Wamshukuru Magufuli
Na; Shani nicholous . Kufuatia kifo cha aliyekuwa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hayati Dkt.John Magufuli bado wajasiriamali wadogo pamoja na wafanyabiashara mbalimbali wameendelea kumlilia na kumshukuru kwa kuwaboreshea mazingira yao ya biashara. Wakizungumza na Dodoma Fm wajasiriamali…
24 March 2021, 12:24 pm
Wananchi wilayani maswa wamlilia Dr Magufuli
Wananchi wilayani Maswa mkoani Simiyu wameeleza kuhuzunishwa na kifo cha aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati mh Dokta John Joseph Pombe Magufuli.. Wakiongea na Sibuka fm kwa nyakati tofauti wamesema kuwa Hayati Magufuli amefanya mambo mengi kwa…
24 March 2021, 12:06 pm
Rais Magufuli aliutambua mchango wa wanawake katika uongozi
Na; Mariam Matundu. Viongozi wanawake jijini Dodoma wamesema watamkumbuka daima hayati Dkt.John Magufuli kwa kuwa aliwaamini wanawake na kuwapa nafasi mbali mbali za uongozi katika kipindi cha uongozi wake. Akizungumza na taswira ya habari mmoja wa madiwani wanawake Kata ya…