Radio Tadio

Habari za Jumla

15 Aprili 2021, 13:34

Wazee kuendelea kunufaika na sera ya matibabu bila malipo

Na; Selemani Kodima. Serikali imesema itaendelea kuwatambua wazee wenye umri wa miaka 60 na kuendelea  wasio na uwezo ili kunufaika na sera ya matibabu bila malipo. Hayo yamesemwa leo bungeni na Naibu Waziri TAMISEMI Dkt Festo Dugange wakati akijibu swali…

15 Aprili 2021, 12:23

Vijana wanufaika na Elimu ya usafi

Na; Mindi Joseph Jumla ya vijana elfu arobaini na nane Nchini wametajwa kunufaika na  elimu ya usafi inayotolewa na  Taasisi ya Raleigh Tanzania kupitia mradi wa vijana na mabadiliko chanya kitabia juu ya usafi. Akizungumza na Taswira ya habari mratibu wa…

15 Aprili 2021, 11:42

Tope lakwamisha shughuli za uvuvi Hombolo

Na; Victor chigwada   Wakazi wa Hombolo wanao jihusisha na shughuli ya uvuvi wamelalamikia bwawa hilo kujaa tope  na kupungua kina hali inayo sababisha vifo kwa wavuvi wanao kwama kwenye tope hilo. Wakizungumza na taswira ya habari wavuvi hao kutoka…

15 Aprili 2021, 10:35 mu

Dc Bunda: fanyeni usafi msisubiri mashindano

Mheshimiwa Mkuu wa wilaya ya Bunda Mwal Lydia Bupilipili amewataka wananchi kuendelea kujenga tabia ya kufanya usafi katika maeneo yao na siyo mpaka wasubiri kusukumwa ama kusubili mashindano. Rai hiyo ameitoa leo wakati akizungumza na wandishi wa habari ofisini kwake…

14 Aprili 2021, 17:08

WANNE WAFA MGODINI,MMOJA AKIJERUHIWA

Wachimbaji wadogo  wanne wa dhahabu wafariki dunia na mwingine kujeruhiwa baada ya kuporomoka kwa kuta wakati wakiendelea na uchimbaji wa dhahabu kwenye duara zao katika mgodi wa dhahabu na 2 uliopo Imalamate wilayani Busega mkoani Simiyu. Akizungumza na waandishi wa…

14 Aprili 2021, 4:02 um

Wafugaji wakaidi kuchukuliwa hatua kali Geita

Na Kale Chongela Serikali ya mtaa wa Tambukareli kata ya kalangalala Halmashauri ya mji wa Geita  imeanza utekelezaji wa kuwachukulia hatua kali wafugaji ambao hawazingatia  taratibu na kanuni za ufugaji maeneo ya mjini. Mwenyekiti wa serikali ya mtaa huo Bw Mabula…

14 Aprili 2021, 8:09 mu

Waliokimbia ukeketaji Mara waendelea na maisha

Katika mila za kikurya, kizanaki na kiikizu  mkoani Mara moja ya Mila yao kubwa ilikuwa ni ukeketaji huku sababu kuu ikielezwa kuwa ni kutengeneza nidhamu miongoni mwa wanawake huku bila kutathmini madhara yanayoweza kujitokeza kwa wanawake pindi wanapofanyiwa kitendo hicho cha…

12 Aprili 2021, 6:38 um

Utamaduni wa ukeketaji wahatarisha maisha ya watoto wa kike Tarime.

Kituoa Cha ATFGM Masanga kilichopo wilayani Tarime Mkoani Mara kinasomesha zaidi ya watoto 100 katika shule mbalimbali waliokimbia kufanyiwa ukeketaji. Meneja Miradi wa ATFGM Masanga, Valerian Mgani amesema miongoni mwa watoto wanaowasomesha familia zao zimekataa kuwapokea kwa kukimbia kufanyiwa ukeketaji…