Habari za Jumla
15 Aprili 2021, 6:51 um
Zaidi ya million 50 zatolewa kwenye vikundi vya wakinamama Sengerema.
Jumla ya milioni hamsini na saba57,200,000/= zimetolewa kwa vikundi 40 vya wanawake wajasiliamali wilayani sengerema mkoani. Akizungumza na Redio Sengerema Mratibu wa mfuko wa wanawake Wilaya Bi.Noela Yamo amevitaja vikundi vilivyopewa mkopo ni pamoja na imani lelemama kutoka butonga,wanaufunuo kutoka…
15 Aprili 2021, 6:00 um
Wananchi washiriki kutengeneza madawati Geita
Na Paul Lyankando: Serikali ya kijiji cha Ikunguigazi wilayani mbogwe mkoani Geita kwa kushirikiana na wananchi wameendelea kutengeneza madawati ili kuondoa changamoto ya wanafunzi zaidi 890 kusomea chini. Mwenyekiti wa kijiji cha Ikunguigazi Bw Jumanne Manyasa amesema kwa kushirikiana na…
15 Aprili 2021, 4:14 um
Waandishi wa habari wametakiwa kuandika kwa weledi, habari zinazohusu watu wen…
Waandishi wa habari mbalimbali nchini Tanzania wametakiwa kuandika na kuziwasilisha kwa weledi habari zinazohusu watu wenye ulemavu ili kupunguza unyanyapaa katika jamii. Hayo yameelezwa leo na mkufunzi ALLY MWADINI akiwa visiwani zanzibar kwenye mafunzo yanayohusu habari za watu wenye ulemavu…
15 Aprili 2021, 1:55 um
Serikali yatatua changamoto ya madarasa Membe
Na; Benard Filbert. Serikali katika Kata ya Membe Wilayani Chamwino imetatua changamoto ya madarasa iliyokuwa ikikwamisha wanafunzi kujiunga na kidato cha kwanza 2021 kwa kujenga vyumba vya madarasa. Hayo yameelezwa na diwani wa Kata ya Membe Bw.Simon Petro wakati akizungumza…
15 Aprili 2021, 1:34 um
Wazee kuendelea kunufaika na sera ya matibabu bila malipo
Na; Selemani Kodima. Serikali imesema itaendelea kuwatambua wazee wenye umri wa miaka 60 na kuendelea wasio na uwezo ili kunufaika na sera ya matibabu bila malipo. Hayo yamesemwa leo bungeni na Naibu Waziri TAMISEMI Dkt Festo Dugange wakati akijibu swali…
15 Aprili 2021, 12:23 um
Vijana wanufaika na Elimu ya usafi
Na; Mindi Joseph Jumla ya vijana elfu arobaini na nane Nchini wametajwa kunufaika na elimu ya usafi inayotolewa na Taasisi ya Raleigh Tanzania kupitia mradi wa vijana na mabadiliko chanya kitabia juu ya usafi. Akizungumza na Taswira ya habari mratibu wa…
15 Aprili 2021, 11:42 mu
Tope lakwamisha shughuli za uvuvi Hombolo
Na; Victor chigwada Wakazi wa Hombolo wanao jihusisha na shughuli ya uvuvi wamelalamikia bwawa hilo kujaa tope na kupungua kina hali inayo sababisha vifo kwa wavuvi wanao kwama kwenye tope hilo. Wakizungumza na taswira ya habari wavuvi hao kutoka…
15 Aprili 2021, 10:35 mu
Dc Bunda: fanyeni usafi msisubiri mashindano
Mheshimiwa Mkuu wa wilaya ya Bunda Mwal Lydia Bupilipili amewataka wananchi kuendelea kujenga tabia ya kufanya usafi katika maeneo yao na siyo mpaka wasubiri kusukumwa ama kusubili mashindano. Rai hiyo ameitoa leo wakati akizungumza na wandishi wa habari ofisini kwake…
15 Aprili 2021, 5:43 mu
Je ni sahihi wasichana walio chini ya umri wa miaka 18 kutumia uzazi wa mpango?
Na; Zania Miraji Karibu katika makala ya Amua inayokujia kila siku ya jumapili. tumezungumza na wadau mbalimbali ikiwa ni sahihi wasichana walio na umri mdogo kutumia njia za uzazi wa mpango ambapo wengi wameshauri kuwa ni vyema wakafundishwa elimu ya…
14 Aprili 2021, 5:15 um
Waumini wa dini ya kiislamu Geita washauriwa kuzidisha upenndo
Na Joel Maduka: Waislamu kote duniani leo hii wameanza kufunga kwa ajili ya mwezi mtukufu wa Ramadhan ambapo hujizuiya kula na kunywa kuanzia alfajiri hadi jua linapozama takriban siku 30 au 29 kutegemea na muandamo wa mwezi. Shehe Mkuu wa…