Radio Tadio

Habari za Jumla

12 Aprili 2021, 5:05 um

Manispaa ya Kahama yaanza utoaji wa hati ya Ardhi

Kufuatia tamko la waziri wa Ardhi Nyumba na maendeleo ya makazi William Lukuvi kuwataka wananchi kupima viwanja na kila mwenye kiwanja kumiliki hati ya Ardhi wananchi katika Manispaa ya Kahama wametakiwa kujitokeza kuchukua hati zao kwa wale waliolipia. Kauli hiyo…

12 Aprili 2021, 13:44

Mzee Mwinyi amtembelea Rais Samia Nyumbani kwake

Na; Mariam Kasawa. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 12 Aprili, 2021 amekutana na kufanya mazungumzo na Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili,  Dkt. Ali Hassan Mwinyi ambaye amempongeza kwa kuanza vizuri majukumu…

12 Aprili 2021, 11:33

Wasichana wahimizwa kutambua umuhimu wa masomo ya Sayansi

Na; Yussuph Hans Licha ya uhaba wa Wanafunzi wa Kike kusoma Masomo ya Sayansi Nchini, bado kuna changamoto mbalimbali zinazowakabili baada ya kuhitimu Masomo hayo. Hayo yamebainishwa na Afisa Mpango Ujenzi wa Nguvu za pamoja na harakati kutoka Mtandao wa…

12 Aprili 2021, 09:13

Wanawake na nafasi za juu katika uongozi

Na; Mariam Kasawa. Tanzania ni miongoni mwa Nchi ambayo imekuwa ikiwapa kipaumbele wanawake hasa katika nyaja ya uongozi. Akizungumza leo katika kipindi cha Dodoma live Bi. Gloria Mafole wakili mchambuzi wa sera kutoka katika Jumuiya ya kikristo Tanzania amsema wanawake…

9 Aprili 2021, 17:02

SDA: acheni kuficha watoto walemavu

Na Karim Faida Shirika la Sports Development Aid SDA la hapa mkoani Mtwara wamewataka watu wanaowaficha watoto wenye ulemavu kuwafichua na kuwapeleka shule ili waweze kupata elimu ambayo itawasaidia baadae katika maisha ya baadae ikizingatiwa kwamba Elimu ni haki ya…

9 Aprili 2021, 13:02

ATCL yashauriwa kuajiri watu wenye ufanisi

Na; Pius Jayunga. Serikali kupitia shirika la ndege Tanzania ATCL imeshauriwa kuajili watu wenye taaluma ya maswala ya anga ili kuleta ufanisi katika utendaji kazi ulio bora ikiwa ni pamoja na kubadili mfumo wa manunuzi ndani ya Serikali. Ushauri huo…

9 Aprili 2021, 12:16 um

Mwanaume (32) wilayani Chato ajinyonga hadi kufa

Na Mrisho Sadick: Mtu mmoja mwenye umri wa miaka (32)  mkazi wa kijiji cha Izumangabo kata ya Bwanga wilayani chato mkoani Geita amejinyonga hadi kufa kwa kutumia kikoi cha mke wake huku chanzo cha tukio hilo kikiwa bado hakijafahamika. Tukio…

9 Aprili 2021, 09:59

Vijiji vyote kupatiwa umeme katika awamu ya tatu ya REA

Na; Yussuph Hans. Serikali imesema inawahakikishia Wananchi wa maeneo yote ya Vijijini  yaliyokuwa hayajapata Umeme katika awamu zilizopita kuwa, yatapata Umeme katika awamu ya Tatu ya mzunguko huu wa pili wa REA . Hayo yamebainishwa leo Bungeni Jijini Dodoma na…

9 Aprili 2021, 09:21

Wananchi waombwa kutoa ushirikiano ili kukomesha mwendokasi

Na; James Justine. Mamlaka ya udhibiti usafiri  ardhini LATRA imetoa ombi kwa wananchi kuendelea kutumia namba za simu zilizopo kwenye mabasi endapo dereva  ataendesha  gari kwa mwendo kasi wakiwa safarini. Taarifa hiyo imetolewa na afisa mfawidhi mamlaka ya udhibiti usafiri…