Habari za Jumla
31 March 2021, 3:42 pm
RADI YAUA MTU MMOJA NA KUJERUHI MMOJA
Akizungumza na waandishi wa habari mkoani hapo kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Simiyu ,kamishina msaidizi wa polisi,Richard Abwa amesema kuwa tukio hilo limetokea mnamo majira ya saa 01:00 usiku wa kuamkia tarehe 29.03.2021 huko katika kitongoji cha cha…
31 March 2021, 2:02 pm
Rais afanya mabadiliko baraza la mawaziri
Na; Mariam kasawa. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan amefanya mabadiliko katika Baraza la Mawaziri . Rais Suluhu amefanya mabadiliko hayo leo Machi 31,2021 Ikulu Chamwino Dodoma wakati wa hafla ndogo ya kumuapisha Makamu wa Rais,…
31 March 2021, 12:55 pm
Milioni 160 kununua Dira za maji Maswa
Zaidi ya shilingi Milioni 160 zimetolewa na serikali ya jamhuri ya muunga no wa tanzania kwa ajili ya ununuzi wa dira za maji ili kila mtu anayetumia alipe kwa kadri ya matumizi yake. Hayo yamesema na mkuu wa wilaya ya …
31 March 2021, 12:26 pm
Ligi kuu Tanzania Bara kurejea dimbani April 8
Na; Matereka Junior. Mtendaji Mkuu wa Bodi ya Ligi Tanzania,(TPLB) Almas Kasongo amesema kuwa Ligi Kuu Tanzania Bara inatarajia kuendelea Aprili 8 baada ya kutimiza siku 21 za maombolezo. Amesema baada ya kuipitia ratiba yao wamekuja na mabadiliko ambapo ligi…
31 March 2021, 11:43 am
Miundombinu bora ni chachu ya ufaulu katika shule za umma
Na; Mindi Joseph Imeelezwa kuwa uboreshaji wa miundombinu na usimamizi makini unahitajika kwa shule za Umma ili kuongeza morali ya kufanya vizuri kwa wanafunzi Mkoani Dodoma. Kwa mujibu wa matokeo ya Baraza la Mitihani Tanzania NECTA kuanzia mwaka 2018 hadi…
31 March 2021, 11:06 am
Wakazi wa Ng’ambi wametakiwa kupanda miti ili kuepuka mafuriko
Na; Selemani Kodima. Wakazi wa kata ya Ng’ambi wilayani Mpwapwa wametakiwa kuhakikisha wanapanda miti pembezoni mwa vyanzo vya maji ikiwemo Mito ya maji ili kuzuia Mafuriko yanayotokea wakati wa Msimu Mvua za Masika. Wito huo umetolewa na Diwani wa Kata…
31 March 2021, 9:17 am
Serikali kuwatambua watoa mikopo ya kilimo
Na; Mariam Matundu Kutokana na changamoto ya baadhi ya wakulima kushindwa kupata mikopo ya pembejeo kwasababu ya riba kubwa na masharti mengine yanayotolewa na watoa mikopo, serikali kupitia wizara ya kilimo imeanza kuwatambua watoa huduma wote wanaotoa mikopo ya kilimo.…
31 March 2021, 6:25 am
Maabara bubu zatakiwa kujisajili hadi kufikia aprili 30
Na ; Mariam kasawa Wamiliki wa Maabara bubu Nchini ambazo hazijasajiliwa wamepewa kipindi cha mwezi mmoja kuanzia leo hadi Aprili 30 wawe wamesajili Maabara zao ili kuepuka kufungiwa. Agizo hilo limetolewa na Mkurugenzi wa Huduma za Tiba kutoka Wizara ya…
30 March 2021, 2:21 pm
Serikali yaanzisha madawati ya ulinzi kwa watoto mashuleni
Na. Yussuph Hans Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imeendelea kuratibu uanzishwaji wa madawati ya Ulinzi kwa Watoto katika shule za msingi na sekondari Nchini. Hayo yamesemwa na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee…