Habari za Jumla
23 Aprili 2021, 19:31 um
TPB yatoa elimu kwa wavuvi
Na Karim Faida Wavuvi wa kijiji cha Namela kata ya Msangamkuu halmashauri ya wilaya ya Mtwara mkoani hapa wamepewa elimu ya namna ya kupata mkopo Benki ili kujiendeleza katika shughuli zao kwa lengo la kuvua kivuvi chenye tija. Akiongea na…
23 Aprili 2021, 2:58 um
Rais Samia Suluhu afanya uteuzi mwingine
Na; Ikulu Mawasiliano Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amemteua Dkt. Hedwiga Swai kuwa Mwenyekiti wa Kamisheni ya Tume ya Kudhibiti Ukimwi Tanzania. Dkt. Swai anashika wadhifa huo kwa kipindi cha pili baada ya kipindi…
Aprili 23, 2021, 10:36 mu
”Madiwani tungeni sheria ndogo ndogo za ujenzi holela” DC Kahama.
Madiwani wa Manispaa ya Kahama Mkoani Shinyanga wameshauriwa kutunga sheria ndogo ndogo za ujenzi holela bila vibali kwa wananchi kupitia kwa mkurugenzi wa Manispaa hiyo. Hayo yamesemwa na Mkuu wa Wilaya ya Kahama Mkoani Shinyanga Annamringi Macha wakati wa Baraza…
23 Aprili 2021, 9:14 mu
Serikali yakiri hakuna malimbikizi ya malipo ya Pensheni kwa wastaafu
Na; Yussuph Hans Serikali imesema imelipa mafao mbalimbali kwa Wanachama waliokidhi vigezo ambapo katika kipindi cha Julai Mwaka 2020 mpaka Mwezi Machi Mwaka huu, imewalipa jumla ya Watumishi 93,661 Mafao yenye thamani ya Tsh Bilioni Mia Tatu Sabini na Saba…
22 Aprili 2021, 3:46 um
Rais Samia akusudia kukutana na viongozi wa kisiasa
Na; Mariam Kasawa. Rais Samia ameliambia Bunge kuwa anapanga kukutana na viongozi wa kisiasa ili kwa pamoja waweke msimamo wa kuendesha shughuli za kisiasa. Rais Samia amesema hayo wakati akitaja namna anavyopanga kuboresha mazingira ya uhuru na demokrasia nchini Tanzania.…
22 Aprili 2021, 12:19 um
Wazazi waiomba Serikali na Taasisi za Elimu kutilia mkazo somo la stadi za kazi…
Na ; Mariam Kasawa Wazazi jijini Dodoma wametoa wito kwa Serikali na taasisi za elimu nchini kutilia mkazo ufundishwaji wa masomo ya stadi za kazi na maisha ili kuwafanya wanafunzi kuwa na haiba nzuri pamoja uwezo wa kufanya kazi pindi…
22 Aprili 2021, 10:56 mu
Chidilo walalamika kukosa huduma zitokanazo na nishati ya umeme.
Na; Victor Chigwada. Imeelezwa kuwa kukosekana kwa huduma ya umeme katika Kijiji cha Chidilo Kata ya Mpalanga Wilayani Bahi kumechangia kwa kiasi kikubwa kakosekana kwa huduma nyingine zinazotegemea nishati hiyo. Hayo yamebainishwa na baadhi ya wananchi wa Kijiji hicho wakati…
22 Aprili 2021, 8:39 mu
Watanzania wanatarajia nini kwenye hotuba ya Rais Samia ?
Na; Mariam Kasawa Rais Samia Suluhu Hassan leo anatarajiwa kuhutubia Bunge katika hotuba itakayotoa mwelekeo wa nini hasa amepanga kutimiza katika muhula wake wa kwanza madarakani. Hii itakuwa ni mara yake ya kwanza kufanya hivyo tangu aapishwe kuwa Rais Machi…
21 Aprili 2021, 6:28 um
Rais Mama Samia kuhutubia wabunge rasimi, Ndugai atoa neno.
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job Ndugai ameagiza mawaziri, manaibu mawaziri na wabunge, kurudi bungeni mara moja ili kuhudhuria hotuba ya Rais wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan hapo kesho. Spika ametoa maagizo hayo mapema…
Aprili 21, 2021, 5:17 um
Mwenyekiti wa kijiji halmashauri ya Ushetu asakwa na polisi kwa mauaji
Jeshi la Polisi mkoani Shinyanga linamsaka Mwenyekiti wa Kitongoji cha Ikindika Kata ya Ushetu Wilaya ya Kipolisi Ushetu, Andrew Adam kwa tuhuma za mauaji. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Shinyanga, ACP Debora Magiligimba amesema tukio hilo lilitokea Aprili 18 saa…