Habari za Jumla
31/08/2021, 14:14
Mwenge Wa Uhuru Wa Zindua Miradi Mbalimbali Ndani Ya Wilaya Ya Masasi Leo.
Kiongozi wa Mwenge wa Uhuru Luteni Mwambashi amegiza Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa TAKUKURU kuchunguza ujenzi wa Jengo la utawala Halmashauri ya Wilaya ya Masasi Mkoa wa Mtwara linalojengwa maeneo ya Mbuyuni . Mwambashi ameyasema hayo wakati wa…
28 Agosti 2021, 8:36 um
TARURA Maswa Kuboresha Barabara zote za Kiuchumi
Meneja wa Wakala wa Barabara za Vijijini na Mjini Wilayani Maswa Mkoani Simiyu Mhandisi David Msechu amewaomba Madiwani Kushirikiana na kamati za maendeleo za kata ili kulinda Miundo mbinu ya Barabara zinazojengwa ili zidumu zaidi.. Hayo ameyasema katika kikao cha …
26/08/2021, 13:00
Baadhi ya vijana walalamikiwa kushindwa kurudisha mikopo inayotolewa na halmasha…
Na; Benard Filbert. Licha ya Serikali kupitia Halmashauri mbalimbali Nchini kutoa mikopo kwa makundi mbalimbali imeelezwa kuwa moja ya changamoto kubwa ni baadhi ya vijana kushindwa kurudisha mikopo hiyo. Hayo yameelezwa na afisa maendeleo Jiji la Dodoma Bw. Daniel Manyama…
26/08/2021, 05:16
CHAMA Cha Mapinduz Kimewazawadia Vyeti Maalumu
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya Masasi mkoani Mtwara kimewazawadia vyeti maalumu vya kutambua mchango na juhudi wanazozifanya ndani ya Chama hicho ikiwemo kufanikisha upatikanaji wa ushindi wa kishindo katika uchaguzi mkuu wa Rais, wabunge na madiwani mwaka 2020 Wanachama…
25/08/2021, 12:42
Serikali kuongeza jitihada ya kutatua changamoto za wafanyakazi Nchini
Na;Mindi Joseph. Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungao wa Tanzania Mh Kassim Majaliwa amesema serikali itaongeza jitihada za kutatua changamoto zinazowakabili wafanyakazi nchini. Akizungumza leo jijini Dodoma wakati wa kufungua mkutano wa chama cha wafanyakazi wa serikali za mitaa Tanzania…
24 Agosti 2021, 8:29 mu
Tahadhari Ya Moto
Na Katalina Liombechi Wakulima katika Wilaya ya Kilombero wametakiwa kuchukua Tahadhari ya kudhibiti Moto hasa kipindi hiki cha Maandalizi ya Mashamba ili Kuzuia kuchoma Rasilimali Za Misitu. Idd Hassan Liwiga ni Mhifadhi wa Misitu kutoka Wakala wa Huduma za Misitu…
19 Agosti 2021, 4:45 um
Wafanyabiashara waishukuru serikali kwa kuondoa vikwazo vya kufanya biashara
Na,Glory Paschal Wafanyabiashara katika halmashauri ya mji wa Kasulu mkoani Kigoma wameishukuru serikali kupitia mamlaka ya mapato Tanzania TRA kuondoa vikwazo vya kufanya biashara vilivyokuwa vinawakabili ikiwemo kubabikiziwa makadilio ya juu ya kodi na baadhi ya watumishi wasio waadilifu. Wamesema tangu…
16/08/2021, 14:12
Serikali yazindua mfumo wa kielectroniki wa uratibu na ufuatiliaji wa shughuli…
Na; Fred Cheti. Serikali kupitia Ofisi ya Waziri mkuu (Sera ,bunge,kazi,ajira,vijana na watu wenye ulemavu) leo Agosti 16 imezindua mfumo wa kielektroniki wa uratibu na ufuatiliaji wa shughuli za serikali. Akizungumza katika uzinduzi huo uliofanyika leo jijini Dodoma waziri mwenye…
14/08/2021, 16:22
Polisi yamkamata “anayetuhumiwa” kuteka watoto Mtwara
Na Gregory Millanzi Jeshi la Polisi Mkoa wa Mtwara limemkamata mtuhumiwa Jabiri Bakari (19) kwa tuhuma za uhalifu wa utekaji, ubakaji na kulawiti watoto baada ya kuwalaghai kwa njia mbalimbali na kufanikiwa kuondoka nao kwenda kwenye maeneo na kunzisha makazi…
13 Agosti 2021, 10:12 mu
Mhe, BEREGE akabidhiwa Ofisi aahidi neema kwa wana Maswa
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu Ndugu Saimoni Berege ameahidi kutoa ushirikiano kwa Madiwani na watumishi wa kada mbalimbali pamoja na kwakuendeleza miradi yote ambayo ilianzishwa na Mtangulizi wake Dr Fredrick Sagamiko ambaye kwa sasa amehamishiwa …