Habari za Jumla
6 November 2021, 16:58
TANROAD simamieni kwa ukaribu ujenzi wa miundombinu ya barabara
Na mwandishi wetu Daniel Manyanga,Simiyu Mkuu wa mkoa wa Simiyu, David Kafulila amemtaka wakala wa barabara TANROAD mkoani hapo kusimamia kwa ukaribu utekelezaji wa miradi mbalimbali ya ujenzi wa barabara ili kubaini mapungufu mapema na kuepusha gharama zaidi za ukarabati.…
6 November 2021, 11:38
Wapewa siku 90 kuwapisha wafugaji
Wakulima waliovamia ardhi ya kijiji cha Kashanda kata ya Nyakakahanga wilayani Karagwe wamepewa miezi mitatu kuvuna mazao yao mahindi na maharage na kisha kuondoka katika kijiji hicho ili kuwaacha wafugaji waendelee na shughuli zao. Kamati ya ulinzi na usalama ya…
5 November 2021, 04:06 am
Wananchi Marika waishukuru serikali, mbunge Mwambe kwa kuwapatia maji safi na sa…
SERIKALI kupitia Wakala wa huduma za maji safi na usafi wa Mazingira vijijini( RUWASA) wilayani Masasi mkoani Mtwara, kwa mara ya kwanza tangu upatikanaji wa uhuru, 1961 imewapatia huduma ya maji safi na salama wananchi wa kitongoji cha Ipiho kilichopo…
5 November 2021, 03:57 am
warsha elekezi kwa Madiwani wa Halmashauri ya wilaya ya Masasi
Asasi ya Kiraia ya @HakiElimu imeendesha warsha elekezi kwa baadhi ya Madiwani wa Halmashauri ya wilaya ya Masasi mkoani Mtwara inayohusiana na uandaji wa bajeti yenye mlengo wa kijinsia ikiwemo kutambua usawa kati ya mtoto wa kike na wakiume. Warsha…
4 November 2021, 4:46 am
Mkuu wa wilaya Rungwe amaliza mgogoro wa shule
RUNGWE Mkuu wa wilaya ya Rungwe Dr VICENT ANNEY, ameruhusu kuendelea kwa ujenzi wa shule ya sekondari Kibisi ambao ulikuwa umeingia kwenye mvutano baada ya kiasi cha shilingi mil 40 kilicho tengwa kwaajili ya ukamilishaji wa maboma ya shule kupelekwa…
2 November 2021, 13:58
mwalimu mkuu mikononi mwa polisi kwa udanganyifu wa mitihani ya darasa la nne
Na mwandishi wetu Daniel Manyanga,Bariadi Mwalimu mkuu shule ya msingi Shimbale katika halmashauri ya Bariadi mkoani Simiyu Gaudensia Anyango mwenye umri wa miaka 45 Mjaruo na mkazi wa mtaa Shimbale anashikiliwa na jeshi la polisi kwa tuhuma za kufanya udanganyifu…
31 October 2021, 4:10 am
Jamii yapaswa kuzingatia lishe kwa Watoto
Rungwe-Mbeya Ili kupunguza tatizo la udumavu na utapia mlo Jamii imetakiwa kuzingatia ulaji sahihi unaoshauriwa na wataalamu wa afya kwa watoto. Rai hiyo imetolewa na afisa lishe wilaya ya Rungwe Bi Halima Kimeta alipokuwa akizungumza na kituo hiki amesema kuwa…
30 October 2021, 11:49 pm
Usalama wa wanafunzi mashuleni wawapatia changamoto
Imeelezwa kuwa Usalama wa wanafunzi ndani na nje ya shule imekua changamoto hali inayowapelekea kushuka katika masomo yao katika Manispaa ya Kahama Mkoani Shinyanga. Wameyasema hayo leo wanafunzi wakati wa kikao kilichofanyika katika ukumbi wa Ghama Hotel ambapo kimejumuisha shule…
30 October 2021, 6:32 pm
Madarasa yatarajiwa kujengwa kwa mfumo wa force account.
Jumla ya madarasa 267 Wilayani Kahama mkoani Shinyanga yanatarajiwa kukamilika mwishoni mwa mwezi Novemba mwaka huu kwa ajili ya kuwapokea wanafunzi wa kidato cha kwanza. Hayo yamesemwa na mkuu wa Wilaya ya Kahama, Festo Kiswaga kuwa madarasa hayo yanatarajiwa kuanza…
30 October 2021, 07:59
zaidi ya bilion 10.8 kutatua changamoto ya maji hasa vijijini mkoani simiyu
Na mwandishi wetu Daniel Manyanga,Simiyu Zaidi ya bilioni 10.8 zilizotolewa na rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Mhe,Samia Suluhu Hassan zikiwemo zaidi ya bilioni 8 za bajeti ya kawaida na zaidi ya bilioni 2 ambazo ni fedha za uviko…