Habari za Jumla
19 October 2020, 11:08 am
Asasi za kiraia za paza sauti uchaguzi Mkuu
Asasi za kiraia zimetoa tamko la kulaani vitendo vya ukandamizaji, uonevu na udhalilishaji kwa wanawake wanaogombea nafasi mbalimbali za uwakilishi ngazi ya ubunge na udiwani. Door of hope Tanzania, Mtwangonet, Fawopa na Nerio za mkoani Mtwara wanapinga vitendo vya udhalilishaji,…
19 October 2020, 10:53 AM
Prof Ibrahim Lipumba amefanya kampeni wilayani masasi
Mgombea uraisi kwa tiketi ya chama cha wananchi CUF prf Ibrahim lipumba amefanya mkutano wa kampeni wilayani masasi katika eneo la uwanja wa fisi na kuzungumza na wakazi wa masisi prf lipumba aliwaahidi wananchi wa wilaya ya masasi endapo tu…
19 October 2020, 10:40 am
Dc. Ruangwa – Wakulima lindeni mazao yenu
Mkuu wa wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi MH. HASHIM MGANDILWA, amewataka wakulima kuwa na utaratibu wa kuzidikiza mazao yao ghala kuu yanapotoka katika vyama vya msingi ili kuepuka ubadhilifu unaofanywa na baadhi ya wasafirishaji wakishirikiana na viongozi wa vyama vya…