Habari za Jumla
31 October 2020, 7:54 AM
Kipindi cha Wanawake Radio Fadhila 95.0 fm-Masasi
kipindi kinachozungumzia mafanikio ya uongozi kwa mwanamke katika ngazi ya kiserikali pamoja na ujasilia mali host- lilian
28 October 2020, 3:23 PM
Wakazi wa Wilaya ya Masasi Wakishiriki katika zoezi la kupiga kura kuchagua rais…
hawa ni baadhi wa wananchi walioko katika wilaya ya masasi wakishiriki katika zoezi la kupiga kura uchaguzi mkuu 2020 kumchagua mbunge raisi na madiwani
28 October 2020, 3:14 PM
Mkuu wa wilaya masasi Mh Seleman mzee amejumuika na wakazi wa wilaya ya masasi k…
huyu ni mkuu wa wilaya ya masasi mh seleman mzee akipiga kura leoo hii kumchagua rais , mbunge na madiwani kati uchaguzi mkuu wa 2020
26 October 2020, 4:03 AM
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya mji Masasi, Gimbana Ntavyo awataka wasimam…
MSIMAMIZI wa Uchaguzi jimbo la Masasi mjini, ambaye pia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya mji Masasi, Gimbana Ntavyo( pichani katikati) amewataka Wasimamizi wasaidizi wa Uchaguzi wa vituo vya kupigia kura jimbo hilo la Masasi mjini kwenda kufanya kazi zao…
22 October 2020, 2:08 pm
Wazee na viongozi wa dini ruangwa watakiwa kuhubiri amani kuelekea uchaguzi mku…
Msimamizi wa uchaguzi jimbo la Ruangwa mkoani Lindi FRANK CHONYA amewataka wazee na viongozi wa dini wilayani humo kuhimiza amani na mshiskamano kwa wananchi na familia zao kuelekea uchaguzi mkuu octoba 28 mwaka huu ili Taiafa liweze kuendeleza maedeleo na…
20 October 2020, 11:04 AM
Viongozi wa kidini,na kimila wakutana kujadili kuhusu wanawake na uongozi
Kurugenzi mtendaji wa chama Cha wanahabari wanawake (TAMWA) Bi Rose Reuben amewataka viongozi wa kidini,kimila,na manguli wa maswala ya kijinsia kushiriki a na vyombo vya habar kutoa elimu kuhusu elimu ya nafasi ya uongozi wa wanawake, Reuben ameyazungumza hayo wakati…
19 October 2020, 11:10 am
Wanafunzi wa Mtwara vijijini waomba kupewa fedha za taulo za kike
Baadhi ya Wanafunzi wa kike mkoani mtwara wamewataka wazazi kutenga bajeti kwa ajili kununua taulo za kike, ikiwa ni moja ya njia ya kutokomeza mimba za utotoni. Wakizungumza na jamii fm radio wanafunzi hao wamesema kuwa ukosefu wa taulo za…
19 October 2020, 11:08 am
Asasi za kiraia za paza sauti uchaguzi Mkuu
Asasi za kiraia zimetoa tamko la kulaani vitendo vya ukandamizaji, uonevu na udhalilishaji kwa wanawake wanaogombea nafasi mbalimbali za uwakilishi ngazi ya ubunge na udiwani. Door of hope Tanzania, Mtwangonet, Fawopa na Nerio za mkoani Mtwara wanapinga vitendo vya udhalilishaji,…
19 October 2020, 10:53 AM
Prof Ibrahim Lipumba amefanya kampeni wilayani masasi
Mgombea uraisi kwa tiketi ya chama cha wananchi CUF prf Ibrahim lipumba amefanya mkutano wa kampeni wilayani masasi katika eneo la uwanja wa fisi na kuzungumza na wakazi wa masisi prf lipumba aliwaahidi wananchi wa wilaya ya masasi endapo tu…
19 October 2020, 10:40 am
Dc. Ruangwa – Wakulima lindeni mazao yenu
Mkuu wa wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi MH. HASHIM MGANDILWA, amewataka wakulima kuwa na utaratibu wa kuzidikiza mazao yao ghala kuu yanapotoka katika vyama vya msingi ili kuepuka ubadhilifu unaofanywa na baadhi ya wasafirishaji wakishirikiana na viongozi wa vyama vya…