Habari za Jumla
22 Julai 2021, 8:45 mu
Wafanyabiashara waliopo mnada wa Dabalo wametakiwa kufuata taratibu ili kujiking…
Na; Benard Filbert. Wafanyabiashara kutoka maeneo mbalimbali wanaofanya shughuli zao katika mnada wa Dabalo wilaya ya Chamwino wametakiwa kufuata maelekezo yaliyotolewa na mkuu wa mkoa wa Dodoma kila mmoja kuvaa barakoa na kuzingatia kuweka maji ya kunawa ili kujikinga na…
Julai 19, 2021, 8:00 um
Machinga walionyang’anywa Matunda yao warejeshewa na Mkuu wa Wilaya
Kufuatia kukamatwa kwa wafanyabiashara wa matunda wa soko la Mkulima na kuonesha Migambo wakigombana na wauza matunda hao mkuu wa Wilaya ya Kahama, Festo Kiswaga ametatua Mgogoro huo. Akiongea na wafanyabiashara wadogo katika stendi ya CDT mkuu wa Wilaya, Festo…
Julai 19, 2021, 7:42 um
DC Kiswaga: Maonesho ya kibiashara Kahama kuwa ya mfano
Mkuu wa wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga, Festo kiswaga amewaomba wananchi wilayani humo kujitokeza katika maonesho ya Ujasiliamali na wafanybiashara wakubwa na wadogo katika viwanja vya halmashauri ya Manispaa ya Kahama mkoani humo. Akizungumza na wandishi wa Habari ofisini kwake…
17 Julai 2021, 5:18 um
Ded Maswa hakuna upungufu wa panadol kama inavyosambaa katika mitandao ya kijami…
Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Maswa mkoani Simiyu Dr.Fredrick Sagamiko amewaomba watanzania kupuuza taarifa ambayo inasambaa kwenye mitandao ya kijamii juu ya ukosefu wa dawa aina ya Panadol katika hospitali ya wilaya ya Maswa . Taarifa ya kutokupatikana…
17 Julai 2021, 5:03 MU
Mazalia ya mbao maarufu kama rapurapu kutumika mkaa!!
Huu ni mkaa ambao umetengenezwa kutokana na mazalia ya mbao maarufu kama rapurapu baada ya mbao kurandwa mkaa huu unasifa bora ya unapotumia kwanza unatumia kiasi kidogo sana cha lakini pia unasifa ya kuwaka kwa muda mrefu tofauti na mkaa…
16 Julai 2021, 1:37 um
RC Kafulila awahakikishia wakazi wa kijiji cha Malampaka kutatua Kero za…
Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mh David Kafulila amewahakikishia wananchi wa Malampaka na mkoa wa Simiyu kutatua Kero zote zinazowakabili ili kuendana na kasi ya Rais wa awamu ya Sita Mh, Samia Suluhu Hasani. Mh, Kafulila amesema hayo wakati akizungumza …
15 Julai 2021, 12:35 um
Wananchi wilayani Maswa Mkoani Simiyu walalamikia upatikanaji wa huduma…
Mkuu wa mkoa wa simiyu Mh Davidi Zacharia Kafulila amemuagiza mkuu wa Wilaya ya Maswa Mh , Aswege Kaminyoge Kufuatilia Changamoto ya mama wajawazito wanaoenda kujifungua katika Hospitali ya wilaya ya Maswa kutozwa Fedha. Maagizo hayo ameyatoa wakati wa Mkutano …
14 Julai 2021, 1:28 um
Mwanamke ana haki ya kumiliki mali na kuuza chochote kwaajili ya familia
Na; Shani Nicolous. Imeelezwa kuwa mwanamke anahaki ya msingi ya kumiliki ardhi kama ilivyo kwa upande wa mwanaume katika familia kwa mjibu wa sheria. Akizungumza na Dodoma fm msaidizi wa kisheria kutoka halmashauri ya Wilaya ya Bahi Bw. Yona Sakaza…
14 Julai 2021, 12:49 um
Ugumu wa maisha na msongo wa mawazo ni sababu zinazopekea vijana kujiingiza kati…
Na;Yussuph Hans. Ugumu wa maisha na msongo wa mawazo bado vimeendelea kuwa miongoni mwa sababu zinazopelekea wimbi la baadhi ya vijana kuingia katika matumizi ya dawa za kulevya. Wakizungumza na taswira ya habari baadhi ya vijana waliokuwa watumiaji wa dawa…
9 Julai 2021, 7:31 MU
WAKULIMA wa zao la ufuta wa chama kikuu cha ushirika wa wakulima Masasi wamelipw…
WAKULIMA wa zao la ufuta wa chama kikuu cha ushirika wa wakulima Masasi-Mtwara (MAMCU) mkoani Mtwara wamelipwa fedha zao jumla ya sh.11,702,529,251 ambazo ni mauzo ya jumla ya kilo 5,002,275 katika minada miwili ya zao hilo iliyofanyika mwezi huu wa…