Habari za Jumla
18 December 2021, 04:11 am
WAZIRI wa Nchi ofisi ya Waziri mkuu,Geofrey Mwambe ametimza ahadi yake kutoa msa…
WAZIRI wa Nchi ofisi ya Waziri mkuu, Uwekezaji ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Masasi, Geofrey Mwambe ( aliyevaa kanzu ya njano ) ametimza ahadi yake ya maombi ya Baraza la waislamu Tanzania (BAKWATA) Wilaya Masasi lililomtaka kutoa msaada…
17 December 2021, 03:58 am
Wanawake na wajane waiomba serikali kuwawezesha kujikwamua kiuchumi
Umoja wa Wanawake Wajane Nchini (CCWWT) chini ya Mwenyekiti wake Bi. Rabia Ally Moyo umeiomba Serikali ya awamu ya sita chini ya Mama Samia Suluhu Hassan kuwawezesha kiuchumi kwa kuwapatia mikopo itakayowawezesha kufanya shughuli mbalimbali za kimaendeleo. Hayo yamesemwa katika…
17 December 2021, 03:50 am
Taarifa kwa vyombo vya habari
ikumbukwe tu tarehe 13/12/2021 katika Mahakama ya Wilaya ya Masasi, ilitolewa hukumu ya kesi namba ECC.10/2021 iliyokuwa ikiwakabili washitakiwa RASHID MTIMA na mwenzake. Washtakwa hao wanakabiliwa na makosa 02 kifungu cha 22 na 28 cha sheria ya TAKUKURU namba…
16 December 2021, 2:27 pm
Vitabu zaidi ya elfu tatu vyapokelewa Rungwe
RUNGWE. Katika kuboresha mazingira ya elimu nchini wadau mbalimbali wa elimu wameshauriwa kusaidia vifaa mbalimbali kama vile vitabu vya kiada na ziada. Akizungumza mara baada ya kupokea vitabu kutokea taasisi isiyokuwa ya kiserikali ya Sakyambo interprisess yenye makao makuu yake…
14 December 2021, 5:14 am
Jamii iwatembelee watu wenye uhitaji
RUNGWE-MBEYA Wazazi na walezi wameaswa kuwajali na kuwathamini watu wenye uhitaji kwa kutoa mahitaji muhimu kwa watoto hao ikiwemo kuwatembelea katika maeneo mbalimbali kwani itasaidia kuongeza faraja kwao. Hayo yamezungumzwa na Umoja wa akina mama kutoka Katumba walipo watembelea watoto…
12 December 2021, 1:51 pm
BUNDA – mwingine apoteza maisha kwa kuliwa na mamba
Bahati Galaya 32 mkazi wa Myatwali kijana aliyeshikwa MAMBA eneo la Nyatwali mtaa wa Kariakoo Halmashauri ya Mji wa Bunda usiku wa kuamkia ijumaa ya tarehe 10 dec 2021 amepatikana akiwa amepoteza maisha Akizungumza na Redio mazingira fm mwenyekiti wa…
8 December 2021, 03:26 am
Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tamisemi Dkt Festo Dugange amekuwa ziarani Wilayani M…
Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tamisemi Dkt Festo Dugange amekuwa ziarani Wilayani Masasi na kutembelea Halmashauri ya Mji Masasi ambapo amekagua ujenzi wa vyumba vya madarasa shule ya sekondari ya wasichana Masasi Shule ya sekondari Anna Abdallah na ujenzi wa…
8 December 2021, 03:21 am
Masasi-Kamati ya Lishe kuweka wazi bajeti yao.
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Masasi Mji Eliasi Ntirihungwa ameitaka Kamati ya Lishe kuweka wazi bajeti yao, Kwani serikali inataka kujua wadau wa taasisi mbali mbali nao wamechangia kiasi gani cha fedha na kupata makadirio ya bajeti ya mwaka mzima ili…
8 December 2021, 03:17 am
Shule ya Sekondari Chanika Nguo yajengewa vyumba vinne
Shule ya Sekondari Chanika Nguo yajengewa vyumba vinne vya Madarasa vyenye thamani ya Shilingi Milioni 80. Hayo yamebainishwa na Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Brigedia Jenerali Marko Gaguti wakati akizungumza na wanafunzi wa Shule ya Sekondari Chanika Nguo pamoja na…
3 December 2021, 7:11 am
TANAPA Bunda yadhamiria kuurejesha mlima balili katika asili yake.
Zaidi ya miche ya miti 5700 imepandwa katika eneo la safu za mlima Balili, Halmashauri ya mji wa Bunda mkoani Mara ili kuendelea kuhifadhi na kutunza mazingira. Akizungumza wakati wa zoezi hilo lililofanyika katika eneo la Tanapa kanda ya magharibi…