Habari za Jumla
5 Oktoba 2021, 4:50 um
Siku ya Mwalimu Duniani: walimu waaswa kuendelea kusimamia nidhamu na elimu
Wito umetolewa kwa walimu wa wilaya ya Bunda mkoani Mara kuendelea kusimamia nidhamu, elimu kwa wanafunzi na kuelimisha jamii inayo wazunguka hasa katika masuala ya ujenzi wa Taifa. Wito huo umetolewa leo na katibu msaidizi wa Tume ya utumishi wa…
5 Oktoba 2021, 3:01 um
Apoteza maisha wakati akivuka mkondo wa maji wa ziwa Victoria
Mwanamke mmoja aliyejulikana kwa jina la Dotto Mbogo au maarufu kama Mwanambogo mkazi wa Tamau kata ya Nyatwali Halmashauri ya mji wa Bunda amefariki dunia baada ya kuanguka na kufa maji katika mkondo wa mto Rubana na Ziwa Victoria. Mashuhuda…
3 Oktoba 2021, 11:07 mu
Ahofiwa kupoteza Maisha wakati akivua samaki ziwa Victoria
Mtu mmoja aliyejulikana kwa jina la Lugoye Ndimila (31) mkazi wa mtaa wa Kariakoo Kata ya Nyatwali Halmashauri ya mji wa Bunda mkoani Mara anasadikiwa kufariki duniani akiwa katika shughuli za uvuvi kando ya Ziwa Victoria usiku wa kuamkia tarehe…
1 Oktoba 2021, 1:31 um
afariki dunia baada ya kudondokewa na matofali ya udongo
Mtoto wa miaka 03 Agnes Charles Masanja mkazi wa Kijiji cha Mwanzangamba kata ya Mwanyahima wilaya ya Meatu mkoani Simiyu amefariki dunia baada ya kudondokewa na matofali ya udongo katika nyumba yao. Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo kamanda wa polisi…
Oktoba 1, 2021, 11:26 mu
Mbunge aendelea kuchangia ujenzi wa shule za sekondari
Mbunge wa Jimbo la Kahama Mjini mkoani Shinyanga, Jumanne Kishimba amechangia millioni moja laki mbili na elfu hamsini kwa ajili ya ununuzi vifaa vya ujenzi wa shule ya sekondari ya Kata ya Kagongwa. Akizungumza katika ziara yake aliyoifanya ya kutembelea…
29 Septemba 2021, 10:22 mu
Auawa kwa kisu kisa 1000 ya kamali
Ni Jumanne Jackson miaka 21 mkazi wa mtaa wa kabusule Kata ya Nyamakokoto Halmashauri ya Mji wa Bunda amechomwa kisu nakupoteza Maisha katika ugomvi wa kamali Tukio hilo limetokea September 28, 2021 majira ya jioni ambapo kwa kujibu wa mashuhuda…
Septemba 28, 2021, 8:36 um
Wanaume chanzo cha ukatili wa kijinsia
Imeelezwa baadhi ya wanaume ndio chanzo kikubwa cha ukatili wa kijinsia katika jamii kutokana na kutokua tayari kupokea mabadiliko ya kupinga vitendo vya ukatili wilayani Kahama Mkoani Shinyanga. Kauli hiyo imetolewa na Mratibu mradi wa MWANAMKE AMKA Joyce Michael wakati…
28 Septemba 2021, 4:48 um
Wananchi wa Miembeni kata Bunda stoo wachimba Barabara kwa zana zao za asili
Wananchi wa mtaa wa Miembeni kata ya Bunda stoo Halmashauri ya Mji wa Bunda mkoani Mara, wameamua kuchonga barabara za mitaa yao kwa kutumia zana za asili baada ya kukosa huduma hiyo kwa muda mrefu. Wakizungumza na Radio Mazingira fm…
28 Septemba 2021, 4:26 um
Mbunge wa Bunda mjini Robert Mabotto Afanya Ziara kata ya Nyasura
mbunge wa Jimbo la Bunda mjini Mh Robert Chacha Mabotto ametoa vifaa vyenye thamani ya zaidi ya shilingi milion mbili kwenye gereza la Bunda lililoko kata ya Nyasura Halmashauri ya Mji wa Bunda katika Ziara hiyo mh Mabotto aliongozana na…
28 Septemba 2021, 1:15 um
Tamau: kamati yasiasa yakaa nakuamua
Akizungumza katika ufunguzi wa kikao hicho Mwenyekiti wa CCM tawi la Tamau, Matale Kikoi amesema ni kwa muda sasa kumekuwa hakuna mahusiano mazuri kati ya viongozi wa chama na serikali katika mtaa wa Tamau jambo linalokwamisha utekeleza wa shughuli za…