Radio Tadio

Habari za Jumla

25 February 2022, 12:30

Katibu  Tawala  Wilaya  ya   Maswa  awaasa    viongozi  kuwatumikia …

Katibu   Tawala  wilaya  ya  Maswa  Agnes  Alex  amewataka  viongozi  waliopewa   Dhamana  ya  Kuwatumikia  wananchi     wanawatumikia  kikamilifu  ili  kukidhi  matarajio  yao. Katibu  Tawala    ameyasema  hayo  wakati  wa  Uzindunduzi  wa   Kikao  cha  Uraghbidhi  kilichofanyika  Februari  22, katika  Ukumbi  wa  Halmashauri  ya  Maswa …

24 February 2022, 4:36 pm

Siku ya wanawake duniani jamii yaaswa kujitokeza kuiadhimisha

Na,Rosemary Bundala Kuelekea siku ya wanawake duniani ambayo hufanyika tarehe nane mwezi wa tatu kila mwaka jamii imeaswa kujitokeza katika kuadhimisha maadhimisho hayo Hayo yamezungumzwa na afisa maendeleo ya jamii kutoka wilaya ya uvinza Mkoani Kigoma bi MASTIDIYA NDYETABULA wakati…

22 February 2022, 8:41 am

Ubovu wa barabara kikwazo katika maendeleo

RUNGWE -MBEYA Wafanyabiashara pamoja na wakazi wa kijiji cha Mpandapanda kilichopo kata ya Kiwira wilayani Rungwe ambapo wameeleza namna wanavyoshindwa kufanya maendeleo ya kiuchumi kutokana na uharibifu wa miundombinu ya barabara. wakibainisha hayo baadhi ya wakazi pamoja na  wafanyabiashara wamesema…

21 February 2022, 9:45 am

Jamii yatakiwa kutowatenga wagonjwa wa fistula

RUNGWE-MBEYA NA:BETRIDA ANYEGILE Wito umetolewa kwa jamii wilayani Rungwe mkoani Mbeya kuachana na dhana potofu juu ya ugonjwa wa Fistula kwani ugonjwa huo unatibika bure bila mgonjwa kugharamia gharama yoyote. Akizungumza kwa njia ya Simu na Chai FM Program manager…

21 February 2022, 8:14 am

Malezi mabaya kwa watoto chanzo cha matukio ya uhalifu

RUNGWE-MBEYA Malezi mabaya kwa watoto wilayani Rungwe Mkoani Mbeya imeelezwa kuwa chanzo cha matukio mbalimbali ya uhalifu ikiwemo unyanyasaji wa kijinsia na mauaji. Ameyasema hayo Mch wa kanisa la Baptist Tukuyu mjini Mch. .HALLENCE MWASOMOLA, wakati akizungumza na redio chai…