Habari za Jumla
17 March 2022, 9:58 pm
Msaada watolewa kwa watoto yatima karatu Arusha
Na Nyangusi ole sang’da Arusha,Wanawake kutoka Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) kwa niaba ya wanawake wengine wa Taasisi zilizoko chini ya Wizara ya Maliasili na utalii leo tarehe 17 Machi, 2022 wametembelea kituo cha Watoto yatima cha Jesus life…
16 March 2022, 11:11 am
Jicho la mama mkombozi wa watoto yatima na wasiojiweza Rungwe
RUNGWE, Na Sabina Martin Msaada wa mahitaji mbalimbali wenye thamani ya zaidi ya shilingi laki sita umetolewa kwa watoto yatima katika kituo cha kulelea watoto hao cha Igongwe wilayani Rungwe mkoani Mbeya. Mwenyekiti wa kikundi cha wanawake cha jicho la…
16 March 2022, 10:41 am
Kamati ya Bunge ya uongozi ya serikali za mitaa [TAMISEMI ] yaridhishwa ujenzi w…
RUNGWE Na Lennox Mwamakula Kamati ya Bunge ya uongozi ya serikali za mitaa [TAMISEMI ] imefanya ziara wilayani Rungwe mkoani Mbeya ya ukaguzi wa barabara ya kutoka Masebe-Bugoba hadi Lutete yenye urefu wa kilometa 12 iliyo jengwa kwa kiwango cha…
15 March 2022, 5:27 pm
kutozingatia vipimo sahihi ndo changamoto ya upungufu wa Dawa kwa wakulima wa Pa…
Balozi wa Pamba nchini Tanzania Mh Agrey Mwanri amesema wakulima wa Pamba wamekuwa na malalamiko kuhusu upungufu wa Dawa kutokana na maeneo ya mashamba yao kutokuwa na vipimo sahihi Kauli hiyo ameitoa Leo 15 march 2022 katika siku ya tatu…
14 March 2022, 6:23 pm
Mwanri: kulima kwa mstari kutaongeza uzalishaji kwa wakulima wa Pamba
Balozi wa Pamba Tanzania Mh Agrey Mwanri amesema mwitikio wa wakulima wa zao la Pamba Wilayani Bunda wa kulima kwa mstari umekuwa mkubwa tofauti na ilivyokuwa zamani ambapo wakulima walikuwa wanalima kwa kulusha mbegu Hayo ameyasema Leo 14 march 2022…
14 March 2022, 1:51 pm
Wajumbe MTAKUWA wapanga mikakati ya kupinga ukatili wa kijinsia.
Wajumbe wa kamati ya MTAKUWA Wilayani Kahama Mkoani Shinyanga wamekutana katika kikao cha Mradi wa Mwanamke Amka ili kujadili mpango kazi ambao utatokomeza ukatili wa kijinsia huku wanaume wakitajwa kuwa ndio chanzo kikubwa kinacho chochea ukatili. Akizungumza wakati wa kikako…
13 March 2022, 10:32 pm
Bunda: waliochukua viuatilifu bila kuwa wakulima wapewa siku Saba kuvirudisha
Balozi wa Pamba nchini Tanzania Mh Agrey Mwanri ametoa wiki Moja kwa watu wote waliochukua viuatilifu vya zao la Pamba bila kuwa na mashamba kuweza kujisalimisha kwa viongozi wa zao la Pamba ngazi ya kata na WilayaAmetoa agizo hilo Leo…
12 March 2022, 12:21 pm
Madimbwi ya maji changamoto katika makazi ta watu
Kutokana na kuwepo kwa madimbwi ya maji kwenye maeneo ya makazi ya watu katika msimu wa huu wa mvua wananchi wa Mtaa wa Sokola Kata ya Majengo iliyopo Manispaa ya Kahama Mkoani Shinyanga wamesema wanachukua tahadhari ya kuziba madinbwi hayo…
12 March 2022, 12:09 pm
Elimu yaendelea kutolewa kupinga ukatili wa kijinsia.
Ili kutokomeza vitendo vya ukatili wa kijinsia katika manispaa ya kahama Mkoani shinyanga wajumbe wa mradi wa mwanamke amka wametakiwa kuendelea kutoa elimu kwenye jamii hasa kwa watoto walioko mashuleni. Hayo yamesemwa na mkuu wa dawati la jinsia na watoto…
10 March 2022, 8:20 pm
Bunda yajipanga kukabiliana na mabadiliko ya tabia ya nchi
Zaidi ya Bilion 3.4 zimetolewa kwenye Halmashauri ya Wilaya ya Bunda katika utekelezaji wa Mpango wa mabadiliko ya tabia ya nchi Akizungumza katika mafunzo maalumu ya usimamizi wa fedha za miradi yaliyofanyika Leo march 10, 2022 kwa Madiwani na wataalamu…