Habari za Jumla
3 Disemba 2021, 7:11 mu
TANAPA Bunda yadhamiria kuurejesha mlima balili katika asili yake.
Zaidi ya miche ya miti 5700 imepandwa katika eneo la safu za mlima Balili, Halmashauri ya mji wa Bunda mkoani Mara ili kuendelea kuhifadhi na kutunza mazingira. Akizungumza wakati wa zoezi hilo lililofanyika katika eneo la Tanapa kanda ya magharibi…
30 Novemba 2021, 11:14 um
MABARAZA YA HAKI YAGAWIWA KONDOO NGORONGORO
Na Edward .S.Shao. Baraza la wanawake wakifugaji Pastoral Women Council-PWC-kupitia shirika la Norway -NODAK- lagawa kondoo 168 kwa mabaraza saba ya haki na uongozi wa wanawake wilayani Ngorongoro. Akizungumza katika hafla hiyo Novemba 29, 2021 ya ugawaji wa kondoo hao…
28 Novemba 2021, 8:42 mu
Serikali kutenga fedha kwajili ya kuboresha miundombinu ya maji Rungwe
RUNGWE-MBEYA Mbunge wa jimbo la Rungwe ANTON MWANTONA amesema tatizo la maji linalo wakabili wanachi wa jimbo la Rungwe linaenda kumalizika baada ya serikali kutenga fedha kwajili ya kuboresha miundombinu ya maji kauli hiyo ameitoa wakati alipokuwa akizungunza na na…
28 Novemba 2021, 8:37 mu
Wizara ya Elimu itenge fedha kwajili ya ukarabati wa shule kongwe nchini
RUNGWE-MBEYA Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania KASSIM MAJALIWA ameagiza wizara ya Elimu kutenga fedha kwajili ya ukarabati wa shule zote kongwe nchini. Maagizo hayo ameyatoa wakati alipofanya ziara ya kukagua miradi mbalimbali Mkoani Mbeya wilayani Rungwe Novemba…
28 Novemba 2021, 8:00 mu
Mtelela:-TAKUKURU ichunguzeni TARURA Bunda mjini
Katibu tawala Wilaya ya Bunda Salum Mtelela ameelekeza TAKUKURU Wilaya ya Bunda kuichunguza TARURA Bunda Mjini kutokana na malalamiko mbalimbali ya utekelezaji usiyofaa wa miradi ya miundombinu ya Barabara ndani ya Halmashauri ya Mji wa Bunda Maelekezo hayo ameyatoa kwenye…
28 Novemba 2021, 7:50 mu
Kisangwa yafanya maafali ya 31 Maji yawa kero chuoni hapo
Wanafunzi wapatao 126 level ya pili kutoka chuo Cha maendeleo ya Wananchi Kisangwa FDC wanategemea kumaliza masomo yao mapema mwezi huu Akizungumza katika maafari mkuu wa chuo Cha maendeleo ya Wananchi Kisangwa Edmund Nzowa amesema maafari hayo ni ya 31…
28 Novemba 2021, 7:35 mu
DC Nassar: Afunga shughuli za uchimbaji Madini Mgodi wa Kunanga Stooni baada ya…
Mtu mmoja aliyetambulika kwa jina la Sharifu Mriba 26 mzanaki mkazi wa kyabakali amepoteza Maisha wakati akichimba Madini Mgodi wa Kunanga Tukio hilo limetokea tarehe 17 Nov 2021 katika machimbo ya Kunanga Stooni kinyambwiga kata ya Guta Halmashauri ya Mji…
27 Novemba 2021, 6:28 um
Mkoa wa Simiyu wapunguza vifo vitokanavyo na Uzazi kwa Asilimia 50% …
Mkoa wa Simiyu umefanikiwa Kupunguza vifo vitokanavyo na Uzazi kwa Asilimia 50% kwa Robo ya mwezi Julai, August na mwezi Septemba 2021 huku Upatikanaji wa Dawa Ukiongezeka kutoka Asilimia 70% hadi kufikia Asilimia 90%. Hayo yamesemwa na Mkuu wa mkoa …
27 Novemba 2021, 2:16 mu
Kilosa ya ng’ara Kwa usafi-Dc Mwanhga.
23 Novemba 2021, 9:34 mu
TANLAP yawajengea uwezo wasaidizi wa kisheria Rungwe
RUNGWE Kaimu mkurugenzi kutoka mtandao wa Mashirika yanayotoa msaada wa kisheria Tanzania [TANLAP] MCHELELI MACHUMBANA ameitaka jamii kujua sheria mbambali ili kukabiliana na unyanyasaji uliopo kwenye maeneo yao. Ametoa kauli hiyo mbele ya wasaidizi wa kisheria waliopo wilayani Rungwe mkoani…