Habari za Jumla
16 Disemba 2021, 2:27 um
Vitabu zaidi ya elfu tatu vyapokelewa Rungwe
RUNGWE. Katika kuboresha mazingira ya elimu nchini wadau mbalimbali wa elimu wameshauriwa kusaidia vifaa mbalimbali kama vile vitabu vya kiada na ziada. Akizungumza mara baada ya kupokea vitabu kutokea taasisi isiyokuwa ya kiserikali ya Sakyambo interprisess yenye makao makuu yake…
14 Disemba 2021, 5:14 mu
Jamii iwatembelee watu wenye uhitaji
RUNGWE-MBEYA Wazazi na walezi wameaswa kuwajali na kuwathamini watu wenye uhitaji kwa kutoa mahitaji muhimu kwa watoto hao ikiwemo kuwatembelea katika maeneo mbalimbali kwani itasaidia kuongeza faraja kwao. Hayo yamezungumzwa na Umoja wa akina mama kutoka Katumba walipo watembelea watoto…
12 Disemba 2021, 1:51 um
BUNDA – mwingine apoteza maisha kwa kuliwa na mamba
Bahati Galaya 32 mkazi wa Myatwali kijana aliyeshikwa MAMBA eneo la Nyatwali mtaa wa Kariakoo Halmashauri ya Mji wa Bunda usiku wa kuamkia ijumaa ya tarehe 10 dec 2021 amepatikana akiwa amepoteza maisha Akizungumza na Redio mazingira fm mwenyekiti wa…
8 Disemba 2021, 3:26 MU
Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tamisemi Dkt Festo Dugange amekuwa ziarani Wilayani M…
Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tamisemi Dkt Festo Dugange amekuwa ziarani Wilayani Masasi na kutembelea Halmashauri ya Mji Masasi ambapo amekagua ujenzi wa vyumba vya madarasa shule ya sekondari ya wasichana Masasi Shule ya sekondari Anna Abdallah na ujenzi wa…
8 Disemba 2021, 3:21 MU
Masasi-Kamati ya Lishe kuweka wazi bajeti yao.
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Masasi Mji Eliasi Ntirihungwa ameitaka Kamati ya Lishe kuweka wazi bajeti yao, Kwani serikali inataka kujua wadau wa taasisi mbali mbali nao wamechangia kiasi gani cha fedha na kupata makadirio ya bajeti ya mwaka mzima ili…
8 Disemba 2021, 3:17 MU
Shule ya Sekondari Chanika Nguo yajengewa vyumba vinne
Shule ya Sekondari Chanika Nguo yajengewa vyumba vinne vya Madarasa vyenye thamani ya Shilingi Milioni 80. Hayo yamebainishwa na Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Brigedia Jenerali Marko Gaguti wakati akizungumza na wanafunzi wa Shule ya Sekondari Chanika Nguo pamoja na…
3 Disemba 2021, 7:11 mu
TANAPA Bunda yadhamiria kuurejesha mlima balili katika asili yake.
Zaidi ya miche ya miti 5700 imepandwa katika eneo la safu za mlima Balili, Halmashauri ya mji wa Bunda mkoani Mara ili kuendelea kuhifadhi na kutunza mazingira. Akizungumza wakati wa zoezi hilo lililofanyika katika eneo la Tanapa kanda ya magharibi…
30 Novemba 2021, 11:14 um
MABARAZA YA HAKI YAGAWIWA KONDOO NGORONGORO
Na Edward .S.Shao. Baraza la wanawake wakifugaji Pastoral Women Council-PWC-kupitia shirika la Norway -NODAK- lagawa kondoo 168 kwa mabaraza saba ya haki na uongozi wa wanawake wilayani Ngorongoro. Akizungumza katika hafla hiyo Novemba 29, 2021 ya ugawaji wa kondoo hao…
28 Novemba 2021, 8:42 mu
Serikali kutenga fedha kwajili ya kuboresha miundombinu ya maji Rungwe
RUNGWE-MBEYA Mbunge wa jimbo la Rungwe ANTON MWANTONA amesema tatizo la maji linalo wakabili wanachi wa jimbo la Rungwe linaenda kumalizika baada ya serikali kutenga fedha kwajili ya kuboresha miundombinu ya maji kauli hiyo ameitoa wakati alipokuwa akizungunza na na…
28 Novemba 2021, 8:37 mu
Wizara ya Elimu itenge fedha kwajili ya ukarabati wa shule kongwe nchini
RUNGWE-MBEYA Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania KASSIM MAJALIWA ameagiza wizara ya Elimu kutenga fedha kwajili ya ukarabati wa shule zote kongwe nchini. Maagizo hayo ameyatoa wakati alipofanya ziara ya kukagua miradi mbalimbali Mkoani Mbeya wilayani Rungwe Novemba…