Radio Tadio

Habari za Jumla

4 February 2021, 12:59 pm

Waziri Mkuu:Wekeni mipango ya kudumu ujenzi wa miundombinu ya shule

Na,Mariam Matundu, Dodoma. Serikali imeziagiza Halmashauri zote nchini kuwa na mpango wa kudumu unaosimamia ujenzi wa miundombinu katika shule zote, ili kuepuka upungufu wa madarasa unaokwamisha baadhi ya wanafunzi kushindwa kuanza kidato cha kwanza . Akizungumza Bungeni hii leo katika…

4 February 2021, 12:31 pm

Milioni 255 zatengwa kumaliza tatizo la maji Mazae

Na,Mindi Joseph, Dodoma. Wakati Vijiji vya Idilo na Kisokwe Wilayani Mpwapwa vinakabiliwa na changamoto ya maji kwa muda mrefu Serikali kupitia mamlaka ya maji Vijijini Ruwasa imetenga Shilingi Milioni 255 ili kutatua adha hiyo kwa wananchi.Taswira ya habari imefika katika…

2 February 2021, 1:58 pm

Dkt.Gwajima:Wanaume vunjeni ukimya

Na,Seleman Kodima, Dodoma. Wahanga wa vitendo vya ukatili wa kijinsia wametakiwa kuacha kujificha bali kujitokeza na kutoa taarifa ili Vitendo hivyo viweze kudhibitiwa kwa haraka na kusaidia kukabiliana navyo. Hayo yamesemwa na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee…

2 February 2021, 1:37 pm

Wizara yakabidhi mikataba minne kwa wakandarasi

Na,Mariam Matundu, Dodoma. Wizara ya mawasiliano na teknolojia ya habari hii leo imekabidhi mikataba minne kwa wakandarasi wa ujenzi , upanuzi na uunganishaji wa mkongo wa Taifa wa mawasiliano na miundombinu ya anwari za makazi na postikodi. Akizungumza na waandishi…

2 February 2021, 12:30 pm

Wananchi waaswa kutunza barabara

Na,Thadey Tesha, Dodoma. Wananchi jijini Dodoma wametakiwa kutunza miundombinu ya barabara zinazoendelea kujengwa katika mitaa mbalimbali ili zidumu na kuwasaidia katika kujiletea maendeleo. Wito huo umetolewa na mratibu kutoka wakala wa barabara mijini na vijjini TARURA Mkoa wa Dodoma Bw.Lukaso…

2 February 2021, 8:25 am

Mbadala wa vifungashio visivyotakiwa kupatikana

Na,Mariam Matundu, Dodoma. Kufuatia tamko la Waziri wa nchi Ofisi ya makamu wa rais Muungano na mazingira Mh.Ummy Mwalimu la Januari 8 mwaka huu kutoa muda wa miezi 3 kuhakikisha vifungashio vinavyotumika kufungia bidhaa sokoni havitumiki , watendaji wameanza kutoa…