Habari za Jumla
29 Disemba 2021, 11:50 mu
WILAYA YA MASWA YATAJWA KUONGOZA KWA MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA UKIMWI …
Imeelezwa kuwa wilaya ya maswa inaongoza kwa maambukizi ya Virusi ya Ukimwi (VVU) Ikifuatiwa na Wilaya Busega katika mkoa wa Simiyu. Hayo yameelezwa na Mratibbu wa Ukimwi mkoa wa Simiyu Dr Hamis Kulemba wakati akizungumza na Radio Sibuka. Dr …
24 Disemba 2021, 6:52 um
mtu mmoja afariki na wanne kujeruhiwa baada magari mawili kugongana uso kwa uso
Na mwandishi wetu Daniel Manyanga,Simiyu Mtu mmoja afariki na wengine wanne kujeruhiwa kufuaatia gari lenye namba za usajili T435 AAZ Scania mali ya kampuni ya Turu best na gari lenye namba za usajili T 153 DVX tata mali ya kampuni…
24 Disemba 2021, 5:45 mu
Umbali chazo cha unyanyasaji wilayani Rungwe
Umbali wa malezi uliopo baina ya wazazi, walezi, walimu na watoto imetajwa kuwa moja kati ya sababu zinazopelekea kushamiri kwa vitendo vya unyanyasaji dhidi ya watoto wilayani Rungwe mkoani Mbeya. Aidha jamii imetakiwa kuwalinda zaidi watoto huku wazazi wakitakiwa kujenga…
18 Disemba 2021, 4:11 MU
WAZIRI wa Nchi ofisi ya Waziri mkuu,Geofrey Mwambe ametimza ahadi yake kutoa msa…
WAZIRI wa Nchi ofisi ya Waziri mkuu, Uwekezaji ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Masasi, Geofrey Mwambe ( aliyevaa kanzu ya njano ) ametimza ahadi yake ya maombi ya Baraza la waislamu Tanzania (BAKWATA) Wilaya Masasi lililomtaka kutoa msaada…
17 Disemba 2021, 3:58 MU
Wanawake na wajane waiomba serikali kuwawezesha kujikwamua kiuchumi
Umoja wa Wanawake Wajane Nchini (CCWWT) chini ya Mwenyekiti wake Bi. Rabia Ally Moyo umeiomba Serikali ya awamu ya sita chini ya Mama Samia Suluhu Hassan kuwawezesha kiuchumi kwa kuwapatia mikopo itakayowawezesha kufanya shughuli mbalimbali za kimaendeleo. Hayo yamesemwa katika…
17 Disemba 2021, 3:50 MU
Taarifa kwa vyombo vya habari
ikumbukwe tu tarehe 13/12/2021 katika Mahakama ya Wilaya ya Masasi, ilitolewa hukumu ya kesi namba ECC.10/2021 iliyokuwa ikiwakabili washitakiwa RASHID MTIMA na mwenzake. Washtakwa hao wanakabiliwa na makosa 02 kifungu cha 22 na 28 cha sheria ya TAKUKURU namba…
16 Disemba 2021, 2:27 um
Vitabu zaidi ya elfu tatu vyapokelewa Rungwe
RUNGWE. Katika kuboresha mazingira ya elimu nchini wadau mbalimbali wa elimu wameshauriwa kusaidia vifaa mbalimbali kama vile vitabu vya kiada na ziada. Akizungumza mara baada ya kupokea vitabu kutokea taasisi isiyokuwa ya kiserikali ya Sakyambo interprisess yenye makao makuu yake…
14 Disemba 2021, 5:14 mu
Jamii iwatembelee watu wenye uhitaji
RUNGWE-MBEYA Wazazi na walezi wameaswa kuwajali na kuwathamini watu wenye uhitaji kwa kutoa mahitaji muhimu kwa watoto hao ikiwemo kuwatembelea katika maeneo mbalimbali kwani itasaidia kuongeza faraja kwao. Hayo yamezungumzwa na Umoja wa akina mama kutoka Katumba walipo watembelea watoto…
12 Disemba 2021, 1:51 um
BUNDA – mwingine apoteza maisha kwa kuliwa na mamba
Bahati Galaya 32 mkazi wa Myatwali kijana aliyeshikwa MAMBA eneo la Nyatwali mtaa wa Kariakoo Halmashauri ya Mji wa Bunda usiku wa kuamkia ijumaa ya tarehe 10 dec 2021 amepatikana akiwa amepoteza maisha Akizungumza na Redio mazingira fm mwenyekiti wa…
8 Disemba 2021, 3:26 MU
Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tamisemi Dkt Festo Dugange amekuwa ziarani Wilayani M…
Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tamisemi Dkt Festo Dugange amekuwa ziarani Wilayani Masasi na kutembelea Halmashauri ya Mji Masasi ambapo amekagua ujenzi wa vyumba vya madarasa shule ya sekondari ya wasichana Masasi Shule ya sekondari Anna Abdallah na ujenzi wa…