Habari za Jumla
Januari 9, 2022, 5:20 um
Viongozi wa Serikali za Mitaa wapewa maagizo kwenye sekta ya elimu
Mbunge wa Jimbo la Kahama mjini Jumanne Kishimba amewataka viongozi wa serikali za mitaa kuhakikisha wanasimamia zoezi la uandikishaji wa wanafunzi wanaotarajia kuanza Elimu ya msingi. Ameyasema hayo kwenye kikao cha wenyeviti wa serikali za mitaa Manispaa ya Kahama ambapo…
8 Januari 2022, 14:05 um
Meli Kubwa yatia Nanga Bandari ya Mtwara kubeba Makaa ya Mawe
“Meli kubwa ya Star fighter ambayo itaondoka na tani elfu 59 za makaa yam awe, Sisi tumefurahi sana ujio wake, na uzito unaoondoka hapa kwa upande ule wa gati ya zamani tusingeweza kuipaki kwa tani elfu 59, uboreshaji na ujenzi…
6 Januari 2022, 11:19 mu
WAWILI WAPOTEZA MAISHA ,WANNE WAJERUHIWA BAADA YA KUFUKIWA NA KIFUSI MGODINI
Na mwandishi wetu Daniel Manyanga,Simiyu Watu wawili wamepoteza maisha huku wengine wanne wakijeruhiwa baada ya kufunikwa na kifusi kwenye mgodi wa dhahabu wa Halawa no 2 uliopo halmashauri ya wilaya ya Bariadi . Akithibitisha kupokea miili na majeruhi wa tukio…
3 Januari 2022, 9:46 mu
Madarasa 24 yakamilikika kwa asilimia 100
RUNGWE-MBEYA Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Busokelo Bi, LOEMA PETER amekabidhi takribani vyumba vya madarasa 24 kwa Mkuu wa wilaya ya Rungwe baada ya kumalika ndani ya muda ulio pangwa. Ametoa kauli hiyo alipokuwa akizungumza na kituo hiki huku akieleza…
29 Disemba 2021, 11:50 mu
WILAYA YA MASWA YATAJWA KUONGOZA KWA MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA UKIMWI …
Imeelezwa kuwa wilaya ya maswa inaongoza kwa maambukizi ya Virusi ya Ukimwi (VVU) Ikifuatiwa na Wilaya Busega katika mkoa wa Simiyu. Hayo yameelezwa na Mratibbu wa Ukimwi mkoa wa Simiyu Dr Hamis Kulemba wakati akizungumza na Radio Sibuka. Dr …
24 Disemba 2021, 6:52 um
mtu mmoja afariki na wanne kujeruhiwa baada magari mawili kugongana uso kwa uso
Na mwandishi wetu Daniel Manyanga,Simiyu Mtu mmoja afariki na wengine wanne kujeruhiwa kufuaatia gari lenye namba za usajili T435 AAZ Scania mali ya kampuni ya Turu best na gari lenye namba za usajili T 153 DVX tata mali ya kampuni…
24 Disemba 2021, 5:45 mu
Umbali chazo cha unyanyasaji wilayani Rungwe
Umbali wa malezi uliopo baina ya wazazi, walezi, walimu na watoto imetajwa kuwa moja kati ya sababu zinazopelekea kushamiri kwa vitendo vya unyanyasaji dhidi ya watoto wilayani Rungwe mkoani Mbeya. Aidha jamii imetakiwa kuwalinda zaidi watoto huku wazazi wakitakiwa kujenga…
18 Disemba 2021, 4:11 MU
WAZIRI wa Nchi ofisi ya Waziri mkuu,Geofrey Mwambe ametimza ahadi yake kutoa msa…
WAZIRI wa Nchi ofisi ya Waziri mkuu, Uwekezaji ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Masasi, Geofrey Mwambe ( aliyevaa kanzu ya njano ) ametimza ahadi yake ya maombi ya Baraza la waislamu Tanzania (BAKWATA) Wilaya Masasi lililomtaka kutoa msaada…
17 Disemba 2021, 3:58 MU
Wanawake na wajane waiomba serikali kuwawezesha kujikwamua kiuchumi
Umoja wa Wanawake Wajane Nchini (CCWWT) chini ya Mwenyekiti wake Bi. Rabia Ally Moyo umeiomba Serikali ya awamu ya sita chini ya Mama Samia Suluhu Hassan kuwawezesha kiuchumi kwa kuwapatia mikopo itakayowawezesha kufanya shughuli mbalimbali za kimaendeleo. Hayo yamesemwa katika…
17 Disemba 2021, 3:50 MU
Taarifa kwa vyombo vya habari
ikumbukwe tu tarehe 13/12/2021 katika Mahakama ya Wilaya ya Masasi, ilitolewa hukumu ya kesi namba ECC.10/2021 iliyokuwa ikiwakabili washitakiwa RASHID MTIMA na mwenzake. Washtakwa hao wanakabiliwa na makosa 02 kifungu cha 22 na 28 cha sheria ya TAKUKURU namba…