Radio Tadio

Habari za Jumla

2 July 2025, 6:58 pm

Mwenge wa uhuru kukagua miradi 8 Babati mji

Jumla ya miradi nane yenye thamani ya sh Bilion 3.29 inatarajiwa kukaguliwa na kuwekewa mawe ya msingi wakati wa mbio za mwenge wa uhuru kwenye halmashauri ya mji wa Babati mkoani Manyara ambapo utakimbizwa julai 15 mwaka huu. Na Mzidalfa…

29 June 2025, 4:17 pm

Miaka minne bila huduma ya maji kwa pengo

Ni zaidi ya miaka minne katika kijiji cha kwa pengo shehia ya Sizini wameendelea kukosa huduma ya maji safi na salama ambapo ni jambo la msingi na muhimu kwa matumizi ya binadamu ya kila siku . Na Fatma Faki WANANCHI…

28 June 2025, 9:52 pm

UWT yataka wanawake kuchukua hatua uchaguzi mkuu

Chama cha Mapinduzi CCM kimeanza mchakato wa utoaji fomu za kuwania nafasi mbali mbali kupitia kura za maoni ndani ya chama . Na Is-haka MohamedMakamo Mwenyekiti wa Jumuiya ya wanawake UWT Tanzania Zainab Khamis Shomar amewataka wanawake kujitokeza kwa wingi…

27 June 2025, 1:24 pm

Lindi yaadhimisha siku ya wajane kimkoa

Na khadja Omari Mkuu wa Wilaya ya Lindi Bi Victoria Mwanziva, amesema Serikali ya awamu ya sita inatambua na itaendelea kufanya jitihada mbalimbali za kuwawezesha wajane kama ilivyo kwa makundi mengine, kuwapa stahiki zao ikiwa pamoja na utatuzi wa matatizo…

26 June 2025, 8:47 am

Dereva bajaji Katavi auwawa

Mahali ulipopumzishwa mwili wa Silavius. Picha na Leah Kamala “Ni tukio ambalo haulitegemei linatokea katika utafutaji” Na Leah Kamala Kijana mmoja mwendesha pikipiki ya magurudumu matatu maarufu kama bajaji kata ya Nsemulwa manispaa ya Mpanda mkoani Katavi Silavius Nestory Kameme…