Habari za Jumla
15 Septemba 2025, 22:53
Miti 8000 yapandwa kilele maadhimisho Mara day
Mkuu wa Mkoa wa Mara Kanali Mtambi amesisitiza umuhimu wa kuimarisha juhudi za pamoja za uhifadhi, pamoja na kuendeleza mshikamano baina ya jamii zinazozunguka bonde hilo. Na Catherine Msafiri, Maadhimisho ya Mara Day yamehitimishwa leo 15 septemba 2025 katika viwanja…
14/09/2025, 08:59
Manyara kudhibiti ukondefu
Mkuu wa mkoa wa Manyara Queen Sendiga amewataka maafisa lishe kukomesha tatizo la ukondefu mkali na utapiamlo Kwa kuifikia jamii na kutoa elimu Ili kudhibiti tatizo Hilo. Na Mzidalfa Zaid Sendiga ametoa kauli hiyo Leo katika kikao Cha tathimini ya…
13/09/2025, 14:22
Katibu wa vijana CHADEMA Nyarugusu ajiunga CCM
Vyama mbalimbali vya siasa nchini vimeendelea na kampeni ya kunadi sera za ila i ya vyama vyao kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, 2025. Na: Mwandishi wetu Aliyekuwa Katibu wa Baraza la Vijana la CHADEMA (BAVICHA) kata ya Nyarugusu,…
11 Septemba 2025, 12:22 um
Wagonjwa Katavi wanufaika na simba day
Mashabiki wa simba wakitoa zawadi kwa uongozi wa kituo cha afya Itenka. Picha na Anna Mhina “Tunawashukuru sana wanasimba kwa kutukumbuka” Na Anna Mhina Jamii imeshauriwa kujitokeza katika kushiriki shughuli za kijamii ikiwemo uchangiaji wa damu katika vituo vya afya…
11/09/2025, 09:43
RC Sendiga asikiliza na kutatua kero za wananchi
Mkuu wa Mkoa wa Manyara Queen Cuthbert Sendiga amesikiliza na kutatua kero za wananchi kutoka wilaya zote za Mkoa wa Manyara katika kikao kilichofanyika katika ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa. Na Mzidalfa Zaid Katika kikao hicho Sendiga amesikiliza…
10 Septemba 2025, 09:28
RC Kigoma ahimiza viongozi wa dini kuhubiri amani
Serikali ya Mkoa wa Kigoma kwa kushirikiana na Serikali Kuu imesema itaendelea kusimamia Sera na mikakati ya kudumisha amani, usalama na Maendeleo kwa wananchi wa Mkoa wa Kigoma. Na Hagai Ruyagila Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, IGP Mstaafu Balozi Simon…
9 Septemba 2025, 8:54 um
Umiliki wa silaha lazima uzingatie masharti
Na Zabron G Balimponya Wakili wa Kujitegemea kutoka Chama cha Mawakili Tanganyika, Akram Magoti amesema kuwa matumizi ya silaha yasiyozingatia sheria kanuni na utaratibu kutoka kwa msajili wa silaha ni kosa kisheria hali ambayo inaweza kusababisha mmiliki kufutiwa leseni. Wakili…
4 Septemba 2025, 15:09
NGOs zaaswa kuepuka utakatishaji fedha na ugaidi Kigoma
Tanzania imekuwa mojawapo ya nchi zilizo Mashariki na Kusini mwa Afrika zilizopiga hatua kubwa katika udhibiti wa utakasishaji fedha haramu na uzuiaji wa silaha za maangamizi na ufadhili wa ugaidi nchini. Na Tryphone Odace Mashirika yasiyokuwa ya kiserikali Mkoani Kigoma…
3 Septemba 2025, 08:49
RC Kigoma aingilia kati mgogoro wa ardhi mwekezaji na wananchi
Serikali Mkoani Kigoma imeanza kuchukua hatua kuhusu mgogoro wa eneo la hekta 10,000 ambalo wananchi wa kijiji cha Ruchugi wilaya ya Uvinza mkoani Kigoma wanadaiwa kuvamia eneo la mwekezaji kampuni ya FAZENDA ambayo imekusudia kuwekeza katika mradi wa kilimo huku…
02/09/2025, 18:22
RC Sendiga aweka jiwe la msingi jengo la elimu ya watu wazima
Mkuu wa mkoa wa Manyara Queen Sendiga amewataka wananchi mkoani Manyara kuzitumia shule za elimu ya watu wazima kwa kujiendeleza kielimu. Na Mzidalfa Zaid Sendiga amesema hayo baada ya kagua na kuweka jiwe la msingi katika jengo la elimu ya…