Radio Tadio

Habari za Jumla

13 Novemba 2022, 11:22 mu

DC aagiza wazazi 191 wakamatwe

Mkuu wa Wilaya ya Nyang’hwale mkoani Geita, Jamhuri William ameagiza kukamatwa kwa wazazi wa wanafunzi 191 ambao hawajafanya mtihani wa kidato cha pili kutokana na utoro, ili wafikishwe kwenye vyombo vya sheria. Msako huo wa nyumba kwa nyumba utaenda sambamba…

31 Oktoba 2022, 5:07 um

Watanzania wafika milioni 61.74, Wanawake waongoza kwa idadi

Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi iliyofanyika mwezi Agosti, 2022 yametangwazwa na kuonesha kuwa idadi ya watanzania imefikia watu milioni 61,741,120, ambapo wanawake wapo milioni 31.6 sawa na asilimia 51 huku Wanaume wakiwa ni milioni 30.5 sawa na asilimia…

25/10/2022, 12:18

Wagawa Mizinga 40 ya Nyuki Pangani

Taasisi ya Foundation for Trees Tanzania iliyopo Jijini Tanga  imetoa Mizinga 40 ya Nyuki kwa Kikundi cha Ufugaji Nyuki cha MSETO kilichopo Wilayani Pangani ili kuwezesha wananchi hao kufanya shughuli za ufugaji na kuachana na uharibifu wa Mazingira. Akizungumza wakati…

24/10/2022, 17:29

Play Woospin Casino’s Woospin for a Chance to Win Big!

Content Woospin Casino is a shining example of adventure and possibility in a world where gambling is more than a hobby. Woospin Casino provides an exciting experience that might alter your destiny, regardless of whether you’re an experienced player or…

24/10/2022, 17:27

Find Out How Australians Can Win Big at Ozwin Casino

Content No doubt you’re familiar with Ozwin Casino if you’re an Aussie in search of exciting online casino activity. Players from Australia who are looking to win big often choose Ozwin Casino because of its thrilling games and tempting jackpots.…

24/10/2022, 17:20

Discover Huge Wins with Woo Casino’s Freebies!

Content Do you feel like you’re ready to level up your gaming? At Woo Casino, you can win every game with free spins and bonuses, so be ready for an amazing adventure full of possibilities and thrills. Woo Casino offers…

19/10/2022, 14:50

Mpango wa Ofisi ya Umwagiliaji Pangani.

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imekusudia kuanzisha Ofisi ya umwagiliaji wilayani Pangani ili kusaidia sekta ya kilimo wilayani humo ambayo imeonekana kuathiriwa na mabadiliko ya tabia nchi huku wahanga wakubwa wakitajwa kuwa ni wakulima wadogo   Katika mahojiano…

11 Oktoba 2022, 10:35 mu

Wakulima Washukuru kwa Mbolea ya Ruzuku

MPANDA Baadhi ya wakulima wa mazao kata ya Minsukumilo halmashauri ya Mpanda wameishukuru serikali kwa kuwapa ruzuku ya mbolea. Wakizungumza na Mpanda radio FM wakulima hao wamesema ruzuku hiyo itasaidia kuongeza mavuno tofauti na hapo awali huku wakiwahamasisha wakulima wengine…