Habari za Jumla
15 Agosti 2025, 5:04 um
Wazazi, walezi waleeni watoto katika maadili
Mkuu wa dawati jinsia na watoto Katavi Judith Mbukwa. Picha na Anna Mhina “Tutengeneze ukaribu na watoto wetu kutawajengea usalama zaidi” Na Roda Elias Wazazi katika manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wametakiwa kuhakikisha wanasimamia ndoto za watoto ili ziweze kutimia.…
Agosti 13, 2025, 7:11 um
BOT yatoa agizo kuhusu utunzaji wa noti
Na Mwandishi wetu BENKI Kuu ya Tanzania (BOT) Kanda ya Nyanda za Juu Kusini, imewasihi Wakazi wa mikoa ya Nyanda za Juu kuzitunza vizuri fedha aina ya noti ili kutekeleza sheria za nchi. Meneja Msaidizi idara ya uchumi na takwimu…
Agosti 9, 2025, 11:36 mu
Raia wa kigeni chanzo vitendo vya wizi, uhalifu, mauaji Kigoma
Wamesema licha ya raia hao kuwasaidia katika shughuli za mashambani lakini kuna baadhi yao ambao sio waaminifu wamekuwa wakitumia nafasi hiyo kufanya vitendo vya kiuharifu hasa wizi na ujambazi kwa kutumia silaha. Na Emily Adam Wananchi na wafanyabiashara Halmashauri ya…
5 Agosti 2025, 5:45 um
Dosari karatasi za kupigia kura zakwamisha uchaguzi
Amesema hitilafu katika uchapishaji wa makaratasi ya kupigia kura kwa baadhi ya majina ya wagombea kukosewa na kutoonekana imesababisha zoezi hilo kutofanyika. Na Kitana Hamis.Katibu Chama Cha Mapinduzi (CCM ) Mkoa wa Morogoro Nuru Ngereja ametolea ufafanuzi sababu za kata…
5 Agosti 2025, 17:17
Waziri wa zamani wa fedha ateuliwa kuwa Waziri Mkuu Burundi
Rais wa Jamhuri ya Burundi Evariste Ndayishimiye amemteua Nestor Ntahontuye kuwa Waziri Mkuu wa nchi hiyo Na Bukuru Elias Daniel Waziri wa zamani wa fedha na hazina wa Burundi Nestor Ntahontuye ameteuliwa kuwa waziri mkuu wa Burundi katika mabadiliko mapya…
5 Agosti 2025, 06:50
Askofu Pangani awataka waumini kuwana ushirikiano
kutokana na ushirikiano wa kanisa la Moravian Tanzania kuwa naushikiano na mataifa mengine katika kuhudumua kanisa waumini wametakiwa kutoa ushirikiano kwa watumishi wanao toka nchi za nje na ndani. Na Ezra Mwilwa Askofu wa kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la…
4 Agosti 2025, 11:27 um
Kaspar Mmuya ashinda kwa kishindo kura za Maoni Ruangwa
Mgombea wa Ubunge CCM, Kaspar Kaspar Mmuya, ameibuka kidedea katika kura za maoni jimbo la Ruangwa, akijizolea kura 5,966 kati ya kura halali 9,547, leo Agosti 4. Mmuya amewashinda wapinzani wake watatu kwa mbali ikiwa ni Ushindi huu unaimarisha nafasi ya Mmuya kupeperusha bendera ya…
2 Agosti 2025, 11:51
Wagombea CCM Mafinga wajipambanua kwa sera thabiti
Mbunge wa jimbo la Mafinga Mjini anayemaliza muda wake na mgombea anayetetea nafasi hiyo, Cosato David Chumi akinadi sera kwa wajumbe ili waendelea kumpa ridhaa ya kushirikiana naye katika kuleta maendeleo kwa wanamafinga, ikumbukwe kuwa Chumi ni miongoni mwa wagombea…
30 Julai 2025, 10:05 mu
Serikali,Under the same sun kuendelea kupinga ukatili dhiidi ya wenye ualbino
Shirika la Under the Same sun kwa kushirikiana na tasisi ya Village of Hop (VOH) wamefanya kumbukizi ya kuwakumbuka watu wenye ualbino waliouawa na kukatwa viungo vyao nchini, tukio hilo limefanyika mjini Sengerema kwenye mnala wa nithamini ulio na majina…
30 Julai 2025, 9:29 mu
Madereva bajaji Katavi walia na tozo stend kuu
Mkuu wa mkoa wa Katavi akizungumza na madereva bajaji. Picha na Samwel Mbugi “Kuna mambo bado hayajakaa sawa niwape muda mkayatafakari upya” Na Samwel Mbugi Baadhi ya madereva bajaji mkoa wa Katavi wamelalamika kwa mkuu wa mkoa kuhusu kuamriwa kushusha…