Radio Tadio

Habari za Jumla

3 Septemba 2025, 08:49

RC Kigoma aingilia kati mgogoro wa ardhi mwekezaji na wananchi

Serikali Mkoani Kigoma imeanza kuchukua hatua kuhusu mgogoro wa eneo la hekta 10,000 ambalo wananchi wa kijiji cha Ruchugi wilaya ya Uvinza mkoani Kigoma wanadaiwa kuvamia eneo la mwekezaji kampuni ya FAZENDA ambayo imekusudia kuwekeza katika mradi wa kilimo huku…

29 Agosti 2025, 19:44

Wanafunzi vyuoni wahimizwa kupima Afya zao

kutokana nauwepo wa magonjwa mbalimbli yakuambukiza na yasiyo yakuambukiza vijana wamehimizwa kwenda kufanya vipimo vya Afya zao Na Ezra Mwilwa Wanafunzi waliopo vyuoni wahimizwa kuto kujihusisha na vitendo viovu vinavyo weza kuwasababishia kupata maambukizi ya virusi vya UKIMWI Wito huo…

Agosti 27, 2025, 9:19 um

Wawili wafariki Kasulu chanzo kuhara na kutapika

Kwa mama mwenye mtoto anatakiwa baada ya kumsafisha mtoto kuhakikisha ananawa  mikono vizuri kumkinga mtoto,  hata hivyo viongozi wa taasisi, masoko wanatakiwa kuweka maji tiririka  amesema  mratibu Mwita. Na Irene Charles Wananchi Kasulu watakiwa kuchukua taadhari  ili kuepukana na tatizo…

27 Agosti 2025, 8:16 um

CCM Tabora wasema uteuzi wa wagombea ulifuata haki

Zaituni Juma Chama cha Mapinduzi CCM mkoa wa Tabora kimewataka wanachama kutambua kuwa, mchakato wa kuwapata wagombea wa nafasi ya udiwani na ubunge ni wa haki na hauna upendeleo. Katibu wa siasa na uenezi wa CCM mkoa wa Tabora IDDY…

Agosti 25, 2025, 12:58 um

DC Nyasa afunga mafunzo ya jeshi la akiba

Mkuu wa Wilaya ya Nyasa Mhe.Peres Magiri leo tarehe 22 Agosti,2025 amefunga Mafunzo ya Jeshi la akiba yaliyoanza rasmi tarehe 9 Aprili,2025 yakiwa na Wanafunzi 16 Mkuu wa Wilaya ya Nyasa Mhe.Peres Magiri leo tarehe 22 Agosti,2025 amefunga Mafunzo ya…

22 Agosti 2025, 1:16 um

Maabara ya utafiti wa madini yaanza kujengwa Geita

Ujenzi wa maabara ya madini Geita ni miongoni mwa maabara za utafiti wa madini kubwa tatu zinazojengwa nchini Tanzania Na: Ester Mabula Kutokana na changamoto ya wachimbaji wa madini kutoka mikoa ya kanda ya ziwa kusafiri umbali mrefu hadi Dodoma…