Habari za Jumla
2 August 2025, 11:51
Wagombea CCM Mafinga wajipambanua kwa sera thabiti
Mbunge wa jimbo la Mafinga Mjini anayemaliza muda wake na mgombea anayetetea nafasi hiyo, Cosato David Chumi akinadi sera kwa wajumbe ili waendelea kumpa ridhaa ya kushirikiana naye katika kuleta maendeleo kwa wanamafinga, ikumbukwe kuwa Chumi ni miongoni mwa wagombea…
30 July 2025, 10:05 am
Serikali,Under the same sun kuendelea kupinga ukatili dhiidi ya wenye ualbino
Shirika la Under the Same sun kwa kushirikiana na tasisi ya Village of Hop (VOH) wamefanya kumbukizi ya kuwakumbuka watu wenye ualbino waliouawa na kukatwa viungo vyao nchini, tukio hilo limefanyika mjini Sengerema kwenye mnala wa nithamini ulio na majina…
30 July 2025, 9:29 am
Madereva bajaji Katavi walia na tozo stend kuu
Mkuu wa mkoa wa Katavi akizungumza na madereva bajaji. Picha na Samwel Mbugi “Kuna mambo bado hayajakaa sawa niwape muda mkayatafakari upya” Na Samwel Mbugi Baadhi ya madereva bajaji mkoa wa Katavi wamelalamika kwa mkuu wa mkoa kuhusu kuamriwa kushusha…
29 July 2025, 7:27 pm
Ole Shangai ashukuru kwa miaka minne ya heshima Ngorongoro
Chama cha mapinduzi (CCM) kinaendelea na mchakato was kuwapata wagombea wa nafasi mbalimbali kuelekea uchaguzi mkuu utakofanyika oktoba mwaka huu 2025 ambapo kwasasa chama hicho kipo katika mchakato wa kuwapata wagombea nafasi ya ubunge. Na Edward Shao Leo, tarehe 28…
21 July 2025, 5:29 pm
ADC yatoa ahadi ya elimu bure hadi vyuo vikuu
Na Is haka Mohammed. Chama cha Allience for Democtatic Change (ADC) kimesema kikipata ridhaa ya kuongoza Zanzibar kitafanya mageuzi katika sekta ya Elimu kwa kutoa elimu bure kwa watoto wa Skuli za Maandalizi hadi ngazi ya vyuo Vikuu.Akizungumza na Wananchi…
20 July 2025, 8:25 pm
Kanisa la Mungu Tanzania lawataka waumini kushiriki uchaguzi mkuu
Waumini wa dhehebu la Kanisa la Mungu Tanzania wametakiwa kushiriki uchaguzi mkuu unaotarajia kufanyika october mwaka huu kwa amani na utulivu na kumchagua kiongozi mwenye sifa ya kuongoza. Na Mzidalfa Zaid Wito huo umetolewa na Profesa Pastory Majembe ambae ni…
18 July 2025, 10:48 am
Kilio cha muda mrefu kwa shule za shumba vyamboni na Tumbe chatatuliwa
Shule za shumba vyamboni masingi Tumbe na Tumbe Sekondari ni miongoni mwa shule ambazo zilikuwa na kilio cha muda mrefu wa kupata huduma ya fotokopi kwa ajili ya kutolea mitihani ya wanafuni pamoja na shughuli nyengine za kiofisi ,kilio hicho…
18 July 2025, 9:09 am
Jela maisha kwa kubaka na kulawiti mtoto (6)
“Mtoto huyo alikuwa akiishi na bibi yake na kusoma darasa la kwanza mara nyingi akirudi nyumbani anakuwa peke yake kwa kuwa bibi yake anakuwa katika shughuli za kujitafutia riziki hivyo mshitakiwa kwa kuwa walikuwa majirani, alitumia nafasi hiyo kutenda unyama…
17 July 2025, 12:58
Madereva wa mabasi wamehimizwa kuzingatia sheria
Madereva wa mabasi yanayofanya safari zake kuanzia Stendi kuu ya mabasi Mbeya wamehimizwa kufuata na kuzingatia sheria za usalama barabarani ili kuepuka ajali. Akizungumza na madereva hao Julai 17, 2025 Mkuu wa Kikosi cha usalama barabarani Mkoa wa Mbeya Mrakibu…
14 July 2025, 12:25
Wafanyabiashara Mashujaa wagusa mioyo Isupilo, Makalala
Kujitoa kwa jamii ni kitendo cha kiugwana kinachoonyesha upevu wa kimaadili na upendo wa kweli. Ni tendo ambalo lina nguvu ya kubadilisha maisha ya watu, kuvunja mnyororo wa mateso na kuleta tumaini mahali palipojaa giza. Na Marko Msafiri Katika kuadhimisha…