Habari za Jumla
9 Juni 2023, 7:43 mu
Zitto: Bei ya pamba iendane na gharama za uzalishaji
Kufuatia kilio cha wakulima wa zao la pamba nchini hususani katika bei ya pamba, chama cha ACT-Wazalendo kimewaelekeza wachambuzi wake kuangalia iwapo bei hiyo inaweza kusaidia mkulima kurejesha gharama zake alizozitumia katika kilimo. Hayo yamebainishwa na kiongozi wa ACT-Wazalendo, Zitto…
7 Juni 2023, 5:40 um
Sauti ya Katavi (Matukio)
MPANDA. Ikiwa leo ni maadhimisho ya siku ya usalama wa chakula diniani mkoa wa katavi ni miongoni mwa mikoa Tanzania inayozalisha mazao ya chakula kwa wingi licha ya kukabiliwa na changamoto ya utapia mlo na udumavu kwa watoto. Kufuatia siku…
7 Juni 2023, 2:12 um
Zito Kabwe kuunguruma Musoma
Chama cha ACT Wazalendo kesho tarehe 8 Juni 2023 kitafanya mkutano mkubwa wa siasa katika viwanja vya shule ya msingi Mkendo Manispaa ya Musoma mkoani Mara. Hii ikiwa ni mwendelezo wa mikutano yake tangu ilivyozindua mikutano hiyo mwezi Februari 2023…
7 Juni 2023, 12:32 um
Bunda: Wakazi kata Manyamanyama wanufaika mabomba ya maji
Diwani wa kata ya Manyamanyama Mhe Mathayo Machilu amekabidhi mabomba ya maji yenye urefu wa mita 950 eneo la kisiwani Mtaa wa Mbugani kata ya Manyamanyama. Akizungumza katika kikao hicho cha kukabidhi mabomba hayo Mhe Machilu amesema kama alivyoahidi katika…
7 Juni 2023, 10:54 mu
Sauti ya Katavi (Matukio)
KATAVI Watu wawili Mkoani Katavi wamehukumiwa kifungo cha Miaka Mitatu kila mmoja jela kwa tuhuma za kuua bila kukusudia huku wengine Wanne wakienda Jela kwa makosa ya Wizi. Mwandishi wa Mpanda Radio Henry Mwakifuna amefika ofisi za Kamanda wa Polisi…
6 Juni 2023, 6:11 um
Jamii yaomba elimu utambuzi bidhaa zilizothibitishwa na TBS
Na Thadei Tesha. Baadhi ya wananchi pamoja na wafanyabiashara jijini Dodoma wameiomba serikali pamoja na Shirika la Viwango Tanzania (TBS) kuendelea kutoa elimu kwa jamii juu ya umuhimu wa kutambua bidhaa kama imethibitishwa na TBS. Dodoma Tv imefanya mahojiano na…
2 Juni 2023, 10:32 um
Katibu CCM Karagwe: Leeni watoto kimaadili
Katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilaya Karagwe Bw. Anathory Nshange amewataka wazazi na walezi kulea watoto wao katika maadili ya kitanzania na kiimani Bw. Nshange ameyasema hayo wakati akiongea kwenye mahafali ya tano ya chuo cha Karaduce wilayani Karagwe…
2 Juni 2023, 10:17 um
Homa ya marburg Kagera yatokomezwa
Waziri wa Afya Ummy Mwalimu ameutangazia ulimwengu kuwa Kagera na Tanzania ni salama dhidi ya ugonjwa wa marburg na kwamba hakuna tena ugonjwa huo. Pamoja na hayo waziri Ummy pia amewashukuru watumishi wa wizara ya afya pamoja na mashirika ya…
2 Juni 2023, 7:16 um
Miradi mitatu iliyochunguzwa na Takukuru Simiyu yakutwa na dosari
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa mkoa wa Simiyu imebaini kuwa miradi 3 kati ya 14 yenye thamani ya zaidi ya bilioni 1 iliyofuatitiliwa imebainika kuwa na dosari katika utekelezaji wake . Akitoa taarifa katika kipindi cha robo ya …
1 Juni 2023, 2:33 um
Vyama vya ushirika Ifakara vyalia kucheleweshwa kwa mikopo, kutozwa riba kubwa
Na Elias Maganga Viongozi wa vyama vya ushirika na SACCOS katika halmashauri ya mji wa Ifakara wamemweleza mkuu wa wilaya ya Kilombero changamoto zanazowakabili ikiwa ni pamoja na wavuvi walioomba soko la Kivukoni, na kumiliki mabwawa ya asili bila mafanikio…