Habari za Jumla
08/11/2023, 15:17
Wazanzibar watakiwa kujiandikisha katika daftari la wapiga kura
Na Mary Julius. Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar Jaji George Joseph Kazi amewataka wananchi walio timiza sifa za kupiga kura kujitokeza katika zoezi la uandikishaji kwenye daftari la kudumu la mpiga kura ili waweze kushiriki katika uchaguzi ujao wa…
4 Novemba 2023, 07:01
RC Songwe aagiza kukamatwa wahusika waliokatisha ndoto za wanafunzi msingi na se…
Mkuu wa Mkoa wa Songwe Dkt. Francis Michael, amemwagiza Afisa Elimu Mkoa wa Songwe kwa kushirikiana na taasisi zingine likiwemo Jeshi la Polisi kuwasaka watu wote waliohusika kuwakatisha masomo wanafunzi wa shule za msingi na sekondari na kueleza hatua zilizochukuliwa…
02/11/2023, 18:17
Jioni Ripoti: Taarifa ya habari ya jioni 02-11-2023 Storm FM Geita
Bonyeza hapa kusikiliza
30/10/2023, 14:08
Benvenuti a Teknogame Casino!
Indice dei Contenuti Siete pronti a scoprire un mondo di emozioni e vincite incredibili? TeknoGame Casino è il posto giusto per voi! In questo articolo, vi guideremo attraverso tutto ciò che c’è da sapere su come giocare al nostro casinò…
24/10/2023, 14:13
Bonus et promotions du Casinozer casino en ligne
Blogs Dans cet article, nous allons explorer en détail les bonus et promotions offerts par le Casinozer Casino, une plate-forme de jeu en ligne renommée pour ses offres généreuses. Préparez-vous à découvrir pourquoi ce casino en ligne attire autant de…
14 Oktoba 2023, 06:16
LATRA yatoa msimamo wa upandaji wa nauli za daladala Mbeya
Madereva mbeya wamekuwa na mgomo ambao umepelekea changamoto ya ukosefu wa usafiri,na baadhi ya wahudumu kuwatoza abria nauli ya shilingi 700 kutoka mbalizi hadi kabwe tofauti na nauli ya awali ya shilingi 500. Mamlaka Ya Udhibiti Usafiri Ardhini LATRA mkoa…
13/10/2023, 17:17
Wanafunzi tisa wakumbwa na kamata kamata utoro sugu katika kijiji cha Kimang’…
“Tumeanza na Wanafunzi wa Shule za Msingi kwasasa tatizo hilo limepungutunajipanga kukabiliana na tatizo la utoro kwa wanafunzi wa sekondari” Diwani kata ya Kimang’a Mheshimiwa SALIMU MWANDARO Na Saa Zumo Wanafunzi tisa wanaosoma elimu ya Sekondari katika Kijiji cha Kimang’a…
11 Oktoba 2023, 16:34
Nyimbo za chadema zakwamisha mkutano wa Mwabukusi, aitwa na jeshi la polisi Mbey…
Kila nchi ina utaratibu wake katika kujiongoza, Tanzania ni moja ya nchi inayoongozwa kwa mujibu sheria kupitia katiba ya nchi na katika hali hiyo hakuna mtu ambaye yupo juu ya sheria hivyo kila mtu anapaswa kutii na kuheshimu uwepo wa…
Oktoba 11, 2023, 4:24 um
Dc Ileje awapiga marufuku vijana kufanya mapenzi na wazee wao
Na Denis Sinkonde, Songwe Mkuu wa wilaya ya Ileje mkoa wa Songwe Farida Mgomi amewapiga marufuku wanawake watu wazima kujihusisha na mapenzi na vijana wa kiume wenye umri mdogo. Mgomi amesema hayo wakati wa mkutano wa kijiji Oktoba 10 mwaka…
8 Oktoba 2023, 07:17
Wasichana 700 shule ya sekondari Kayuki wapewa taulo za kike
Jukumu la malezi ni la kila mtu, katika kuwezesha mabinti ili kupata elimu kwenye mazingira bora huna budi kuhakikisha mabinti hao wanafunzi wanawekwa kwenye mazingira mzuri kila wakati. Na mwandishi wetu Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Mbeya ambaye pia…