Elimu
12 Disemba 2022, 4:35 um
WAZAZI TOENI USHIRIKIANO MASHULENI – DC KOMBA.
Mkuu wa wilaya ya Nachingwea Mkoani Lindi amewataka wazazi na walezi mkoani lindi kuhakikisha wanatoa ushirikiano kwa walimu wa kuzuia utoro kwa wanafunzi ili waweze kusoma na kuyafikia malengo yao. Komba ameyasema hayo Disemba 12, 2022 katika viwanja vya CWT…
7 Disemba 2022, 11:29 mu
Wananchi washiriki maendeleo ya kata Mparanga
Na ;Victor Chigwada. Kuongezeka kwa elimu ya ushiriki wa maendeleo katika jamii imesaidia kuongeza nguvu kwa Serikali juu ya utatuzi wa changamoto mbalimbali zinazo wazunguka wananchi Hayo yanajiri baada ya wananchi wa Kata ya Mpalanga kushiriki pamoja kukusanya fedha na…
2 Disemba 2022, 6:52 mu
Kata ya majeleko yakamilisha ujenzi wa madarasa
Na ;Victor Chigwada . Ujenzi wa vyumba vya madarasa unaendelea kuwa kipaumbele katika maeneo mengi nchini ili kuendana na sera ya elimu bila malipo ambayo imechangia kuongeza idadi ya udahili wa wanafunzi. Mwenyekiti wa kijiji cha Chinangali one Kata ya…
1 Disemba 2022, 11:16 mu
MNEC Salim Asas ampongeza Rais Samia kwa kutunukiwa shahada ya heshima
Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama cha Mapinduzi (CCM) MNEC Salim Asas amempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutunukiwa shahada ya juu ya udaktari wa heshima kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kutokana na kufanya mabadiliko…
1 Disemba 2022, 9:55 mu
watahiniwa 2194 wafutiwa matokeo ya mtihani wa darasa la saba
Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) leo limetangaza matokeo ya darasa la saba kwa mwaka 2022 ambapo limetangaza kufuta matokeo yote ya Watahiniwa 2,194 sawa na asilimia 0.16 ya Watahiniwa waliofanya mitihani. NECTA imefikia uamuzi huo siku chache baada ya…
1 Disemba 2022, 7:16 mu
Bahi sokoni waiomba serikali kuongeza madara
Na; Benard Filbert. Wananchi wa wilaya ya Bahi Kata ya Bahi Sokoni wameiomba serikali kuongeza madarasa shule ya Msingi Bahi Sokoni ili kukidhi idadi ya wanafunzi waliopo katika shule hiyo. Wakizungumza na taswira yahabari wamesema ni vyema serikali ika ongeza…
1 Disemba 2022, 7:11 mu
DC MOYO akiri Kutoridhishwa na kasi ya ujenzi wa vyumba vya Madarasa Mlolo na Ki…
MKUU wa wilaya ya Iringa Mohamed Hassan Moyo amesema kuwa hajaridhishwa na ujenzi wa madarasa ya shule za sekondari katika Tarafa ya Mlolo na Kiponzero na kutoa Siku saba kuhakikisha vyumba vya madarasa hayo viwe vimekamilika. Akizungumza wakati wa ziara…
29 Novemba 2022, 8:02 um
Wanafunzi wote mwakani mkoa wa Katavi kula chakula shuleni.
KATAVI Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko amewaagiza wakurugenzi wa mkoa, kuhakikisha wanafunzi wote watakaojiunga na msimu mpya wa masomo mwaka 2023 wanapata chakula wakiwa shuleni . Agizo hilo amelitoa wakati wa kikao cha kamati ya ushauri ya mkoa…
28 Novemba 2022, 7:34 um
Ukosefu wa madawati na uchache wa vyumba vya madarasa bado ni changamoto Kwa kat…
MPANDA Kata ya Kawajense na Nsemlwa Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda zinakabiliwa na changamoto ya ukosefu wa madawati na vyumba vya madarasa katika Shule za msingi. Wakizungumza kwa nyakati tofauti na Mpanda Radio fm diwani wa kata ya Kawajense Uwezo…
23 Novemba 2022, 5:47 um
Wafanyabiashara wametakiwa kulipa Ushuru
MPANDA Wafanyabiashara Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi wametakiwa kutoa ushuru kikamilifu,ili fedha hizo ziweze kusaidia kuboresha miundombinu mbalimbali ikiwamo ya elimu na afya. Hayo yamesemwa na Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda Sofia Kumbuli ambapo amesema kuwa swala…