Elimu
Febuari 16, 2023, 1:52 um
Kamati ya Fedha Makete yakagua miradi ya Zaidi yha Bilioni 1.5
miradi ya zaidi ya bilioni 1.5
16 Febuari 2023, 6:10 mu
Umaskini Wachangia Elimu Kuwa Chini Katavi
KATAVIUmaskini, uelewa mdogo wa Wazazi na Walezi ni miongoni mwa sababu zinazoelezwa na baadhi ya wakazi wa Manispaa ya Mpanda kupelekea Elimu kuwa Chini katika mkoa wa Katavi. Wakizungumza na Mpanda Radio wakati wakitoa maoni kuhusu ubora wa elimu Wananchi…
15 Febuari 2023, 5:12 um
Kukosekana kwa elimu juu ya TASAF walengwa kutoingia kwenye mfumo
Imeelezwa kuwa kukosekana kwa elimu ya kutosha juu ya dodoso la walengwa wa TASAF imesababisha baadhi ya walengwa Kata ya Chilonwa kutoingia katika mfumo wa malipo. Na Victor Chigwada. Asheri Mkosi ni mwenyekiti wa kijiji cha Mahama amesema licha ya…
15 Febuari 2023, 10:41 mu
Adaiwa fedha watoto wafutwe shule
Na Benard Magawa. Wakati Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya Raisi Dkt. Samia Suluhu Hasani ikiendelea kuboresha miundombinu ya elimu ili kila mtoto wa kitanzania apate elimu ya Msingi na Sekondari bila malipo ili kutokomeza kabisa uwepo…
14 Febuari 2023, 12:48 um
Suluhisho la utoro na kufeli kwa mitihani shule za msingi lapatikana Kilosa
Shule ya Msingi Mazinyungu inatarajia kunufaika na mradi wa kilimo waliouanzisha ambao utawasaidia wanafunzi kupata chakula cha mchana shuleni hapo na kuwapunguzia gharama za uchangiaji wa fedha za chakula suala ambalo litawawezesha wanafunzi kutumia muda mwingi wakiwa shule kwa ajili…
14 Febuari 2023, 11:06 mu
Nyasura: tutapita nyumba kwa nyumba wanafunzi wote waende shule.
Uongozi wa Kata ya Nyasura Halmashauri ya Mji wa Bunda Mkoani Mara umeweka mikakati ya kupita nyumba hadi nyumba kuhakikisha watoto wote waliopaswa kuwa shule waweze kufika shule kwa wakati. Hayo yamebainishwa leo na Afisa Mtendaji wa kata Hiyo, Bi…
11 Febuari 2023, 7:11 um
Bunda: Wazazi wafundisheni watoto kuridhika ili muepushe mimba za utotoni
Wazazi na walezi wametakiwa kuwafundisha watoto waridhike na kile walichonacho ili kuwaepusha na vishawishi vinavyopelekea mimba za utotoni na kukatisha ndoto zao.Wito huo umetolewa jana tarehe 8 Feb 2023 na Afisa Ushirikiano kutoka Shirika lisilo la Kiserikali la kuunganisha Uwezo…
11 Febuari 2023, 6:52 um
Bunda: Upungufu wa matundu ya vyoo, madarasa na wazazi kushindwa kufuatilia maen…
Uongozi wa Kata ya Kabarimu Halmashauri ya Mji wa Bunda Mkoani Mara umefanya hafla fupi ya kuwapongeza walimu wa kata hiyo kwa kuonesha bidii kubwa katika ufundishaji unaoleta matokeo chanya kwa wanafunzi wao. Hafla hiyo fupi imefanyika jana tarehe 10…
10 Febuari 2023, 3:07 um
Wazazi wamekubaliana kuchangia lishe shuleni
Na Katalina Liombechi Wazazi wa watoto wanaosoma katika Shule ya msingi Ifakara katika Kata ya Viwanjasitini Halmashauri ya Mji wa Ifakara wamekubaliana kuchangia lishe kwa watoto pindi wanapokuwa Shuleni ikiwa ni njia ya kukuza Ufaulu Shuleni hapo. Katika Makubaliano hayo…
8 Febuari 2023, 2:42 um
Idara ya afya Watakiwa kutoa huduma bora kwa wananchi Kongwa
Watumishi wa idara ya Afya wilayani Kongwa wametakiwa kutoa huduma bora kwa wananchi zinazoendana na ubora wa miundombinu. Na Bernad Magawa. Donald Mejiti mjumbe wa halmashauri kuu ya chama cha mapinduzi Taifa kutoka mkoa wa Dodoma ameyasema hayo alipotembelea wilayani…