Elimu
22/02/2023, 19:40
Nimefurahishwa na miradi ya kimaendeleo – Majaliwa
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema anafurahishwa na mafanikio makubwa ya utekelezwaji wa ujenzi miradi mbalimbali ya maendeleo yanayoonekana katika maeneo mbalimbali nchini yakiwemo ya wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi. “Wana-Ruangwa lazima tuendelee kumshukuru Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa…
22 Febuari 2023, 17:38
Uhaba wa vyumba vya madarasa watajwa kuwa kikwazo
Uhaba wa vyumba vya madarasa na nyumba za walimu imetajwa kuwa kikwazo kikuu cha maendeleo. Na Victor Chigwada. Uhaba wa vyumba vya madarasa na nyumba za walimu imetajwa kuwa kikwazo kikuu cha maendeleo ya elimu katika kata ya Chilonwa Wilaya…
20 Febuari 2023, 18:00
Marufuku walimu wa kiume kutumika kusindikiza magari ya shule (School bus)
KATIKA kukabilina na vitendo vya ukatili wa kijinsia kwa watoto nchini mkoa wa Dodoma umepiga marufuku walimu wa kiume kutumika kusindikiza magari ya shule (School bus) na kuanzia sasa wanawake pekee ndiyo watakao husika na jukumu hilo. Na Alfred Bulahya.…
17/02/2023, 11:00
Wanafunzi Shule ya Msingi Migongo wapatiwa Elimu ya Usalama Barabarani.
Masasi Kamati ya Usalama Barabarani kitengo cha elimu, mafunzo na uenezi kwa umma kimeendelea kutoa elimu katika makundi mbalimbali ya Wilaya hiyo, ambapo mapema wiki hii imetoa elimu Shule ya Msingi migongo Wilayani Masasi Mkoani Mtwara. Akizungumza katika kutoa elimu…
17 Febuari 2023, 10:53
Idara ya Elimu Msingi Bahi yazidi kung’ara
Na Benard Magawa Ikiwa imetimu takribani zaidi ya miezi miwili tangu kutangazwa kwa matokeo ya darasa la saba hapa nchini Disemba mwaka 2022 ambayo yaliweka historia mpya kwa wilaya ya Bahi baada ya wilaya hiyo kuwa kinara mfululizo kwa miaka…
Febuari 16, 2023, 1:52 um
Kamati ya Fedha Makete yakagua miradi ya Zaidi yha Bilioni 1.5
miradi ya zaidi ya bilioni 1.5
16 Febuari 2023, 6:10 mu
Umaskini Wachangia Elimu Kuwa Chini Katavi
KATAVIUmaskini, uelewa mdogo wa Wazazi na Walezi ni miongoni mwa sababu zinazoelezwa na baadhi ya wakazi wa Manispaa ya Mpanda kupelekea Elimu kuwa Chini katika mkoa wa Katavi. Wakizungumza na Mpanda Radio wakati wakitoa maoni kuhusu ubora wa elimu Wananchi…
15 Febuari 2023, 17:12
Kukosekana kwa elimu juu ya TASAF walengwa kutoingia kwenye mfumo
Imeelezwa kuwa kukosekana kwa elimu ya kutosha juu ya dodoso la walengwa wa TASAF imesababisha baadhi ya walengwa Kata ya Chilonwa kutoingia katika mfumo wa malipo. Na Victor Chigwada. Asheri Mkosi ni mwenyekiti wa kijiji cha Mahama amesema licha ya…
15 Febuari 2023, 10:41
Adaiwa fedha watoto wafutwe shule
Na Benard Magawa. Wakati Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya Raisi Dkt. Samia Suluhu Hasani ikiendelea kuboresha miundombinu ya elimu ili kila mtoto wa kitanzania apate elimu ya Msingi na Sekondari bila malipo ili kutokomeza kabisa uwepo…
14/02/2023, 12:48
Suluhisho la utoro na kufeli kwa mitihani shule za msingi lapatikana Kilosa
Shule ya Msingi Mazinyungu inatarajia kunufaika na mradi wa kilimo waliouanzisha ambao utawasaidia wanafunzi kupata chakula cha mchana shuleni hapo na kuwapunguzia gharama za uchangiaji wa fedha za chakula suala ambalo litawawezesha wanafunzi kutumia muda mwingi wakiwa shule kwa ajili…