Radio Tadio

Elimu

16 Febuari 2023, 6:10 mu

Umaskini Wachangia Elimu Kuwa Chini Katavi

KATAVIUmaskini, uelewa mdogo wa Wazazi na Walezi ni miongoni mwa sababu zinazoelezwa na baadhi ya wakazi wa Manispaa ya Mpanda kupelekea Elimu kuwa Chini katika mkoa wa Katavi. Wakizungumza na Mpanda Radio wakati wakitoa maoni kuhusu ubora wa elimu Wananchi…

15 Febuari 2023, 10:41 mu

Adaiwa fedha watoto wafutwe shule

Na Benard Magawa. Wakati Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya Raisi Dkt. Samia Suluhu Hasani ikiendelea kuboresha miundombinu ya elimu ili kila mtoto wa kitanzania apate elimu ya Msingi na Sekondari bila malipo ili kutokomeza kabisa uwepo…

10 Febuari 2023, 3:07 um

Wazazi wamekubaliana kuchangia lishe shuleni

Na Katalina Liombechi Wazazi wa watoto wanaosoma katika Shule ya msingi Ifakara katika Kata ya Viwanjasitini Halmashauri ya Mji wa Ifakara wamekubaliana kuchangia lishe kwa watoto pindi wanapokuwa Shuleni ikiwa ni njia ya kukuza Ufaulu Shuleni hapo. Katika Makubaliano hayo…

8 Febuari 2023, 2:42 um

Idara ya afya Watakiwa kutoa huduma bora kwa wananchi Kongwa

Watumishi wa idara ya Afya wilayani Kongwa wametakiwa kutoa huduma bora kwa wananchi zinazoendana na ubora wa miundombinu. Na Bernad Magawa. Donald Mejiti mjumbe wa halmashauri kuu ya chama cha mapinduzi Taifa kutoka mkoa wa Dodoma ameyasema hayo alipotembelea wilayani…