Radio Tadio

Elimu

20 Septemba 2023, 7:18 mu

Wahitimu ualimu CCK Pemba watakiwa kujiendeleza

Chuo cha kiislam Pemba ni miongoni mwa chuo ambacho kipo kisiwani Pemba ambapo kinatoa fani ya ualimu kwa ngazi ya cheti na diploma Na Mwiaba Kombo WAZIRI wa nchi ofisi ya rais tawala za Mikoa ,Serikali za mitaa na Idara…

15 Septemba 2023, 18:21

Vijana mkoani Mbeya wapewa mbinu za kujikwamua kiuchumi

Mafunzo ya uelimishaji rika kwa vijana yatasaidia kuondoa changamoto katika masuala ya afya na uchumi. Na mwandhisi wetu Samwel Mpogole Vijana wametakiwa kujitokeza kwa wingi kupata mafunzo ya uelimishaji rika kwa lengo la kusaidia vijana wengine waliopo kwenye jamii kuepukana…

15 Septemba 2023, 7:12 mu

Zaidi ya wananchi 1500 wafikiwa na elimu ya malezi

Program jumuishi ya malezi, makunzi na maendeleo ya awali ya mtoto ilizinduliwa mwaka 2021 na Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum ambapo wadau mbalimbali wanatekeleza program hiyo. Na Mariam Matundu. Zaidi ya wananchi elfu moja na…

14 Septemba 2023, 4:53 um

ZEC kutoa  tarehe ya uchaguzi mdogo Mtambwe

Kufuatia kifo cha aliyekuwa  Mwakilishi wa jimbo la mtambwe Habibu Ali Mohamed, tume ya uchaguzi  Zanzibar imeamua kufanya uchaguzi mdogo kuziba nafasi hiyo iliopo wazi na wadau wote wa uchaguzi wanatakiwa kushiriki kukamilisha uchaguzi huo kama ilivyokusudiwa. TUME ya Uchaguzi…

14 Septemba 2023, 3:58 um

Vipindi  vya elimu Redioni vitaengeza ufaulu Sekondari.

Vipindi vya elimu vya redio zinasaidia kuengeza ufauli kwa wanafunzi hasa wa sekondari ni vyema wazazi na walimu kushirikiana kwa pamoja kuwahimiza watoto wao  kufuatilia vipindi hivyo kwa lengo la kuengeza ufaulu. Na Fatma Rashid. Meneja wa mradi wa  Secondary …