Elimu
21 Septemba 2023, 4:08 um
Viongozi wa vijiji kuhamasisha wananchi kutatua changamoto za elimu
Mradi huo unatekelezwa wilaya ya chamwino katika Kata nne. Na Seleman Kodima. Viongozi wa Serikali za vijiji wametakiwa kutumia njia mbadala ya kuhamasisha wananchi ili waweze kutatua changamoto zilizopo katika sekta ya elimu ikiwemo miundombinu ya elimu. Wito huo umetolewa…
20 Septemba 2023, 5:19 um
Shilingi bilion 4 kujenga shule 26 za wasichana kila mkoa
Hadi sasa Serikali imefanikiwa kujenga shule 449 kati ya shule 1000 ambazo zilipaswa kujengwa nchini na shule hizo zina uwezo wa kuchukua wanafunzi 400 kwa kila shule . Na Mindi Joseph. Shule 26 za wasichana wa masomo ya sayansi na…
20 Septemba 2023, 16:40
Mafunzo ya TADIO baraka fm yawapa shangwe wafanyakazi
Kwenye maisha ya binadamu kujifunza ni jambo jema na ukipata nafasi inakupa fursa ya kufanikiwa kwenye maisha,TADIO ni moja ya mtandao unaotoa fursa ya kumjenga mtu ili kutumia fursa zilizopo hasa katika ulimwengu huu wa sayansi na teknolojia. Na Hobokela…
20 Septemba 2023, 2:04 um
Wazazi watakiwa kufahamu umuhimu wa maktaba kwa mtoto
Maktaba ni moja ya Taasisi inayosaidia katika kuchochea maendeleo ya mtoto pindi awapo shuleni na nyumbani. Na Khadija Ayoub. Ili kuchochea maendeleo ya mtoto shuleni wazazi wametakiwa kuwa na utaratibu wa kuwajengea watoto wao desturi pamoja na namna bora ya…
20 Septemba 2023, 7:18 mu
Wahitimu ualimu CCK Pemba watakiwa kujiendeleza
Chuo cha kiislam Pemba ni miongoni mwa chuo ambacho kipo kisiwani Pemba ambapo kinatoa fani ya ualimu kwa ngazi ya cheti na diploma Na Mwiaba Kombo WAZIRI wa nchi ofisi ya rais tawala za Mikoa ,Serikali za mitaa na Idara…
18 Septemba 2023, 10:31 um
Shule yenye walimu wawili wa bailojia yaongoza kiwilaya Geita
Shule ya sekondari Lutozo iliyopo katika Mamlaka ya mji mdogo Katoro, ina walimu wawili wa bailojia ambao hulazimika kufundisha wanafunzi 2,049 yenye jumla ya mikondo 26 kuanzia kidato cha kwanza mpaka kidato cha nne. Na Said Sindo- Geita Shule hiyo…
18 Septemba 2023, 19:14
TADIO yapongezwa, yaombwa kuongeza wigo zaidi elimu kwa wanahabari
Kila binadamu anapaswa kuwa na utu na binadamu asiyekuwa na utu hawezi kuona wema anaotendewa, unapofanyiwa jambo lenye utu unapaswa kuwa na shukrani na ndivyo ilivyo pia msisitizo katika vitabu vitakatifu vya dini. Na Hobokela Lwinga Wahariri na wakuu wa…
17 Septemba 2023, 2:20 um
Walioanza mipango ya kuwaozesha watoto wa kike Nyang’hwale waonywa
Wilaya ya Nyang’hwale imeanza kudhibiti changamoto ya watoto wa kike kuozeshwa baada ya kumaliza mtihani wa kuhitimu elimu ya msingi mwaka huu. Na Mrisho Sadick: Mkuu wa wilaya ya Nyang’hwale mkoani Geita Grace Kingalame ametoa onyo kwa wazazi na walezi…
Septemba 16, 2023, 6:17 um
Wahitimu tisa (9) darasa la saba watunukiwa vyeti St.Johakim pri & primal sc…
ikiwa ni muda mfupi baaya kumaliza mitihani ya Taifa Darasa la saba juma la wahitim tisa wametunukiwa vyeti vya kuhitim katika shule ya st,Johakim pri & Primaly school shule inayomilikiwa na kanisa katoliki parokia ya Makete Jimbo la Njombe, na…
15 Septemba 2023, 18:21
Vijana mkoani Mbeya wapewa mbinu za kujikwamua kiuchumi
Mafunzo ya uelimishaji rika kwa vijana yatasaidia kuondoa changamoto katika masuala ya afya na uchumi. Na mwandhisi wetu Samwel Mpogole Vijana wametakiwa kujitokeza kwa wingi kupata mafunzo ya uelimishaji rika kwa lengo la kusaidia vijana wengine waliopo kwenye jamii kuepukana…