Radio Tadio

Biashara

27 Septemba 2024, 11:06 um

Wananchi Maswa walalamikia umeme kufika maeneo ya mijini tu

“Unakuta meme umefika maeneo ya sentani tu halafu sisi tuliopo pembezoni hatupati tunaambiwa tu mradi unaishia hapo kwani sisi wa pembezoni hatustahili kupata huduma ya umeme?“ Wananchi wa kijiji cha Mwakabeya   kata  ya  Ipililo  Wilayani  Maswa  Wamelalamikia Huduma  ya  Umeme  kufika  kwenye  Senta …

21 Septemba 2024, 16:15 um

Waandishi wa habari, wadau wafanya usafi Mtwara

Hii ni Siku ya usafi Duniani ambapo chama cha Waandishi wa Habari Mkoa wa Mtwara (MTPC) kwa kushirikiana na ofisi ya Mkurugenzi Manispaa ya Mtwara Mikindani, Ofisi ya Mbunge Mtwara Mjini ,Mganga mkuu wa mkoa na Wadau wengine wamefanya usafi…

26 Agosti 2024, 7:45 um

Zoezi la uboreshaji wa daftari la kudumu kufanyika Manyara

Tume huru ya taifa ya uchaguzi imewataka wadau mbali kuhamasisha jamii kujiandikisha kwenye daftri la kudumu la mpiga kura. Na Mzidalfa Zaid Wadau wa uchaguzi wa uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura mkoani Manyara wametakiwa kuielimisha jamii kuacha…

22 Julai 2024, 09:10 mu

Upepo wa ajabu waezua paa la nyumba Mtwara

Limeanzia kati kati ya Bahari ,tumeona taswira muonekano kama Samaki wawili wakubwa wenye mvuke wa moshi na upepo mkubwa ambao umeleta taharuki ambao ulikuja kuishia kwenye nyumba ya Bwana Fadhili Ismail Na Musa Mtepa Watu wawili wamenusurika kujeruhiwa na paa…

21 Juni 2024, 10:29 mu

Transfoma yalipuka na kuzua taharuki Mbugani

Wananchi wa mtaa wa Mbugani mjini Geita wamekumbwa na taharuki baada ya transifoma iliyopo katika mtaa huo kupata hitilafu na kushika moto hali iliyopelekea kukatika kwa umeme katika eneo hilo. Na: Evance Mlyakado – Geita Tukio hilo limetokea usiku wa…

15 Juni 2024, 15:45 um

TPDC yatoa mafunzo kwa wanafunzi wa STEMCO Mtwara

Sekta ya mafuta na gesi ni sekta nyeti ambayo wananchi wengi wanapaswa kufahamu nini kinafanyika huko na miradi gani inatekelezwa hivyo kwa mujibu wa sheria ya mwaka 2015 (Petroleum Act 2015) inaipa TPDC hadhi ya kuwa shirika la mafuta katika…

12 Juni 2024, 12:27

TARI nchini yawafikia wakuliwa migomba Busokelo,Mbeya

Zao la migomba ni zao la chakula na biashara ,katika nchi ya Tanzania ipo mikoa ambayo imekuwa na uzalishaji mwingi kupitia kilimo hicho ikiwemo mikoa ya Kagera eneo la Bukoba na Mbeya katika halmashauri ya wilaya ya Rungwe na Busokelo.…