Ajira
25 November 2025, 2:56 pm
Mchakato ulipaji fidia eneo la GGML waanza
Ni zaidi ya miezi miwili sasa tangu agizo la serikali kupitia wizara ya madini kuelekeza malipo ya fidia kwa wananchi wanaozunguka mgodi wa GGML. Na: Edga Rwenduru Hekari 2790 kati ya Hekari 3900 za ardhi tayari zimefanyiwa uthamini kwa ajili ya…
9 September 2025, 09:44
Mwenge wa uhuru kumulika miradi ya maendeleo Kasulu
Mkuu wa Wilaya ya Kasulu Kanali Isaac Mwakisu amesema mwenge wa uhuru utetembelea na kuweka jiwe la msingi katika miradi ya maendeleo utakapowasili Wilayani humo Na Hagai Ruyagila Wananchi wilayani ya Kasulu mkoani Kigoma wametakiwa kujitokeza kwa wingi kushiriki katika…
28 July 2025, 22:31 pm
Mzee mlemavu wa macho aomba msaada wa makazi Mtwara
Mzee Salumu Somba mkazi wa Mnyengedi, Mtwara, mlemavu wa macho, anaomba msaada wa makazi, mavazi, na mahitaji ya msingi kwa ajili ya familia yake kutokana na hali ngumu ya maisha. Na Musa Mtepa Mzee Salumu Somba, mkazi wa Kijiji cha…
25 July 2025, 4:50 pm
RC Katavi atoa siku 90 kwa DED Mpanda
Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko akitoa maelekezo. Picha na Samwel Mbugi “Tengeneza vibanda vijana wafanye biashara katika hadhi” Na Samwel Mbugi Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mwanamvua Hoza Mrindoko ametoa agizo la miezi mitatu kwa Mkurugezi wa Manispaa…
21 March 2025, 5:45 pm
Mtoto wa miaka mitano adaiwa kachomwa moto na mama yake mzazi
Inadaiwa mama huyo aliyetambulika kwa jina la Neema Musimu John alichukua hatua ya kumuunguza mtoto huyo baada ya kujisaidia kwenye nguo bila kutoa taarifa. Na Adelinus Banenwa Mtoto anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka mitano ambaye jina lake limehifadhiwa amekutwa…
February 18, 2025, 6:26 pm
watano wafariki dunia katika bwawa lililochimbwa na mkandarasi
Tukio limetokea Febuari 15 katika kijiji hicho na kuhusisha watoto wanne wa kike wa familia mbili tofauti ambao walikuwa wakiogelea katika bwawa hilo Na Salvatory Ntandu Wakazi watano wa Kijiji cha Bulige Wilayani Kahama mkoani Shinyanga wamefariki dunia kwa kuzama…
10 February 2025, 1:07 pm
RUWASA kusambaza mita za maji za malipo kabla
Na Mzidalfa Zaid Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Vijijini RUWASA inatarajia kusambaza mita za maji za malipo kabla ya matumizi baada mafanikio ya kufunga mita za majaribio Kwa wananchi ambazo zimeanza kuonesha mafanikio makubwa. Akiongea wakati wa…
February 6, 2025, 11:23 am
Miili ya wachimbaji wadogo waliofariki mgodi wa Nkandi yaagwa Kahama
Mpaka sasa miili miwili kati ya mitatu ya wachimbaji wanaodhaniwa kufukiwa na kifusi ndani ya mgodi wa Nkandi uliopo eneo la mwime Wilayani Kahama imepatikana, huku mmoja ukiendelea kutafutwa na leo miili miwili imekabidhiwa kwa ndugu kwa ajili ya kusafirishwa…
19 January 2025, 2:30 pm
Baraza la Madiwani Sengerema lapitisha bajeti ya 66b
Halmashauri ya Sengerema kwa bajeti ya Mwaka 2023/24 iliweza kufanya vizuri na kuvuka lengo kwa Asilimia 115 na bajeti ya sasa ya 2024/25 mpaka kufikia january hii imefikia asilimia 55,pia imepitisha mpango wa bajeti wa 2025/26. Na;Elisha Magege Halmashauri ya…
12 November 2024, 3:28 pm
Wananchi 226 walipwa fidia wilayani Nyang’hwale
Jumla ya wananchi 226 katika kata ya Mwingiro wilaya ya Nyang’hwale mkoani Geita wamelipwa fidia ya zaidi ya shilingi bilioni 7.2 kutokana na maeneo yao kuchukuliwa na Mgodi wa Barrick Bulyanhulu kwa zaidi ya miaka 20 . Na: Kale Chongela – Geita…