Ajira
6 September 2024, 13:46
Vijana watakiwa kutojihusisha na vurugu ndani ya kanisa
Ili kuwa na kizazi chenye maadili mema kanisa la Moravian limekuwa na Utaratibu wa kuratibu mikutano mbalimbali kwenye idara Zake ikiwemo vijana ili kuwafundisha kumjua Mungu. Na Hobokela Lwinga Kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la kusini magharibi limewataka vijana kuwa…
18 January 2024, 14:33
Waziri Ndalichako atoa wito kuwaandikisha shule watoto wenye ulemavu
Waziri wa Nchi ofisi ya Waziri Mkuu kazi, vijana, ajira na wenye ulemavu Nchini Tanzania Profesa Joyce Ndalichako amewataka wazazi na walezi Wilayani Kasulu mkoani Kigoma kuwaandikisha shule watoto wao wenye ulemavu ili waweze kupatiwa elimu itakayo wasaidia kutimiza ndoto…
10 January 2024, 12:04 am
Ajira katika umri Mdogo zinavyo kwamisha ndoto za mabinti
Kama mwajiri atatoa madai kwamba hakufahamu kwamba mtu aliyemuajiri ni mtoto wakati wa kumpa ajira au kudai kupewa taarifa zisizo sahihi watakua na wajibu wa kuthibitisha kua ilikua sahihi kwa wao au mtu mwingine yeyote mwenye akili timamu kuamini kwamba…
12 December 2023, 9:17 pm
Leo tunaangazia Wafanyakazi wa Nyumbani
Baadhi ya wafanyakazi wa Nyumbani wamekuwa hawana uhuru na vipato vyao. Na Mwandishi wetu. Kufuatia kuwepo kwa wimbo la baadhi ya waajiri na wazazi wa wafanyakazi wa nyumbani kutokuwapa uhuru wa kipato wafanyakazi wao baadhi ya wananchi wametoa maoni yao…
29 November 2023, 3:43 pm
Uhuru wa matumizi ya kipato kwa wafanyakazi wa majumbani
Na Mariam Matundu Leo tunazungumzia wafanyakazi wa majumbani, wanawezaje kuwa huru na matumizi ya kipato chao Mariam amefanya mazunguzo na katibu wa chama cha wafanyakazi za nyumbani Chodau mkoa wa Dodoma na Ameanza kumuuliza kwanini baadhi ya wafanyakazi hao wanakosa…
22 November 2023, 8:06 am
Ridhiwani aagiza watendaji waliojitolea Iringa kuajiriwa
Na Hafidh Ally Naibu Waziri Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete amemwagiza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa kuwaajiri watendaji waliokuwa wakijitolea Katika nafasi zilizotangazwa hivi karibuni. Mh. Kikwete ameyasema hayo…
14 November 2023, 20:35
Dkt.Tulia azindua ofisi na kugawa bodaboda Kawetele jijini Mbeya
Na Hobokela Lwinga Spika wa Mabunge Duniani ambaye pia ni Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mbunge wa Mbeya Mjini Dkt Tulia Ackson amezindua tawi la Bodaboda Kawetele Jijini Mbeya pia kukabidhi mkopo wa pikipiki wenye thamani…
8 October 2023, 2:24 pm
Halmashauri zilizopo ndani ya mkoa wa Tanga zaagizwa kusajili vikundi vya bodabo…
“Serikali haiwezi kuwanunulia pikipiki kama hamjajisajili kwenye vikundi” Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Tanga Ndugu Rajabu Abrahaman amezitaka Halmashauri zilizopo ndani ya mkoa wa Tanga kusajili vikundi vya bodaboda ili kuviwezesha kunufaikia na fursa mbalimbali. Ndugu Rajabu ameyasema…
8 October 2023, 9:24 am
CCWT, benki kuingia makubaliano ya kukopesha wakulima, wafugaji
Vijana wasomi nchini wametakiwa kubadili fikra za kuendelea kusubiri kuajiriwa serikalini na badala yake wachangamkie fursa za ajira zaidi ya 500,000 zilizopo kwenye sekta ya kilimo na ufugaji. Na Alex Sayi Chama Cha Wafugaji Tanzania CCWT kimebainisha kuwa kinaendelea na…
21 September 2023, 16:17
Walimu 20 Mbeya kunufaika na mafunzo, kupatiwa ajira
Kutokana na vijana wengi kuwa na taaluma za fani mbalimbali bado suala la ajira limekuwa changamoto kwa makundi mbalimbali ya vijana hivyo wadau wanapaswa kuangalia hilo hasa walio kwenye sekta binafsi kutoa fursa ya ya ajira kwa vijana hao Na…