Ajali
20 Febuari 2025, 7:21 um
Madiwani Bunda DC wakubali kupitisha bajeti ya Tsh, 36,5 bilion
Baraza la Madiwani halmashauri ya wilaya ya Bunda limepitisha makadilio ya bajeti ya shilingi Bilion 36.5 kwa mwaka wa fedha 2025 na 2026 Na Adelinus Banenwa Baraza la Madiwani halmashauri ya wilaya ya Bunda limepitisha makadilio ya bajeti ya shilingi…
17 Febuari 2025, 5:41 um
Jengo la ofisi za hazina lazinduliwa mkoani Geita
Serikali imeendelea kuimarisha na kuboresha huduma za wizara ya fedha ikiwemo kusogeza huduma hizo karibu na wananchi zaidi. Na: Edga Rwenduru – Geita Wizara ya fedha imetoa onyo kwa watu na taasisi mbalimbali za fedha zinazotoa mikopo umiza kwa wananchi…
15 Febuari 2025, 7:45 um
Wavamia mtaa wa Zanzibar kufuatia kugunduliwa kwa dhahabu, serikali yatia mguu
Serikali ya mtaa inachukua hatua muhimu katika kusimamia usalama na ustawi wa jamii katika kipindi hiki cha shughuli za uchimbaji. Na Adelinus Banenwa Makumi kwa mamia ya vijana kutoka maeneo mbalimbali wameshukudiwa katika viunga vya mtaa wa Zanzibar , kata…
Febuari 5, 2025, 10:36 um
Ushetu yainidhisha bajeti ya shilingi bilioni 41.2
Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Ushetu, wilayani Kahama mkoani Shinyanga, limepitisha makadirio ya bajeti ya Shilingi bilioni 41.2 kwa mwaka wa fedha 2025/2026 Na Leokadia Andrew Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Ushetu, wilayani Kahama mkoani Shinyanga, limepitisha makadirio…
Januari 24, 2025, 10:44 mu
“Wasio na NIDA kajiandikisheni mpate vitambulisho”
Kitambulisho cha Taifa ni nyaraka muhimu kwa mwananchi kutokana na kuonyesha utambulisho wa mwananchi. Na Sebastian Mnakaya Baadhi ya wananchi wa manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga wasiokuwa na vitambulisho vya Taifa wametakiwa kufika katika ofisi za NIDA kujiandikisha ili kupata…
19 Disemba 2024, 6:53 um
Mwili wa aliyefariki kwa kushindwa kulipa 150,000 ya matibabu waagwa
kufuatia tukio hilo Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Babati Benedict Ntabagi amewasimamisha kazi watoa huduma wa tatu wa kituo cha afya cha magugu akiwemo Afisa Tabibu,Afisa Muuguzi msaidizi na Mteknolojia wadawa kwa kushindwa kutekelekeleza majukumu yao ipasavyo ili kupisha…
9 Oktoba 2024, 08:24
Wananchi watakiwa kuacha kuchoma moto wakati wa kuandaa mashamba
Wakati msimu wa kilimo ukiwa umekaribia wananchi wanatakiwa kuchukua tahadhali ya kutokuharibu Mazingira. Na Hobokela Lwinga Wito umetolewa kwa baadhi ya wananchi kuacha tabia ya kuchoma moto mashamba wakati wa usafishaji ili kuepuka athari za moto huo kusambaa katika maeneo…
7 Oktoba 2024, 10:10 mu
GGML yakabidhi nyumba 6 na pikipiki 50 kwa jeshi la polisi Geita
Mgodi wa Geita Gold Minning Limited umekabidhi nyumba 6 na pikipiki 50 kwa Jeshi la polisi mkoani Geita ikiwa ni sehemu ya urejeshaji wa Jamii (CSR). Na: Evance Mlyakado – Geita Naibu waziri mkuu na waziri wa nishati Dkt. Doto…
26 Agosti 2024, 17:44
Moto waunguza bweni, wanafunzi 107 wakosa pa kulala Mbeya
Katika hali ya kusikistisha moto umezuka katika bweni la wanafunzi na kusababisha kukosa pa kulala. Na Hobokela Lwinga Wanafunzi 107 wa Shule ya Sekondari Nsenga, jijijini Mbeya wamenusurika kifo baada ya bweni walilokuwa wakilala kuwaka moto huku vitu vyote vikiteketea.…
Julai 4, 2024, 4:39 um
Naibu Waziri Kapinga awahakikishia umeme wananchi wa vijiji vya Manzwagi, Kidun…
Naibu Waziri wa Nishati. Mhe. Judith Kapinga amesema Serikali inaendelea kuwasimamia kwa umakini wakandarasi ili waweze kukamilisha kazi zao kwa wakati na kwa ufanisi, pia amewaelekeza Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kuhakikisha wanaongeza nguzo 40 ambazo ni Sawa na kilometa…