Radio Tadio

Ajali

February 5, 2025, 10:36 pm

Ushetu yainidhisha bajeti ya shilingi bilioni 41.2

Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Ushetu, wilayani Kahama mkoani Shinyanga, limepitisha makadirio ya bajeti ya Shilingi bilioni 41.2 kwa mwaka wa fedha 2025/2026 Na Leokadia Andrew Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Ushetu, wilayani Kahama mkoani Shinyanga, limepitisha makadirio…

January 24, 2025, 10:44 am

“Wasio na NIDA kajiandikisheni mpate vitambulisho”

Kitambulisho cha Taifa ni nyaraka muhimu kwa mwananchi kutokana na kuonyesha utambulisho wa mwananchi. Na Sebastian Mnakaya Baadhi ya wananchi wa manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga wasiokuwa na vitambulisho vya Taifa wametakiwa kufika katika ofisi za NIDA kujiandikisha ili kupata…

26 August 2024, 17:44

Moto waunguza bweni, wanafunzi 107 wakosa pa kulala Mbeya

Katika hali ya kusikistisha moto umezuka katika bweni la wanafunzi na kusababisha kukosa pa kulala. Na Hobokela Lwinga Wanafunzi 107 wa Shule ya Sekondari Nsenga, jijijini Mbeya wamenusurika kifo baada ya bweni walilokuwa wakilala kuwaka moto huku vitu vyote vikiteketea.…

6 February 2024, 4:48 pm

Mwanafunzi afariki wakati akiogelea bwawani Geita

Mvua zinazoendelea kunyesha zimesababisha mashimo makubwa kujaa maji nakuleta madhara kwa watu na wanyama waliyopembezoni mwa mashimo hayo. Na Kale Chongela: Mwanafunzi wa darasa la saba katika shule ya msingi Mbabani Kata ya Mtakuja Halmashauri ya mji wa Geita  wilayani Geita amefariki…

6 February 2024, 8:26 am

Soko la Mbuyuni lateketea kwa moto

Soko la Mbuyuni limeteketea kwa moto na kuwasababisha hasara kwa wafanyabiashara wa soko hilo huku chanzo cha moto huo kikiwa hakijulikani. Na Elizabeth Mafie Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Nurdin Babu amefika soko la Mbuyuni lililoteketea kwa moto usiku huu…