Ajali
14 Machi 2025, 08:08
Wawili wanusurika kifo baada ya magari kugongana na kuwaka moto Mbeya
Elimu ya udereva imekuwa ikiwasisitiza madereva kuwa makini natika uendeshaji wao wa vyombo vya moto,licha ya hivyo madereva wengi wamekuwa wakiukwaji wa sheria na taratibu za barabara. Na Ezekiel Kamanga Watu wawili wamenusurika kifo baada ya ajali ya magari mawili…
3 Machi 2025, 7:49 mu
Nyamuswa yetu kwanza yadhamiria kurudisha tabasamu kijijini
Kikundi hicho kilianzishwa tangu mwaka 2021 na kilianza katika dhima ya kusaidia watu misibani na kusaidia batibabu kwa wale wanaougua lakini hawana uwezo wa kwenda hospitali. Na Adelinus Banenwa Kiasi cha pesa taslimu shilingi milioni moja laki sita na elfu…
Febuari 28, 2025, 11:14 mu
Serikali kuendeleza ushirikiano na sekta binafsi katika kukuza uchumi
Serikali imesema itaendelea kushirikiana na sekta binafsi katika kuhakikisha Watanzania wanaendelea kupata huduma bora sambamba na kupunguza umasikini miongoni mwao Na Sebastian Mnakaya Serikali imesema itaendelea kushirikiana na sekta binafsi katika kuhakikisha Wantanzania wanaendelea kupata huduma bora sambamba na kupunguza…
20 Febuari 2025, 7:21 um
Madiwani Bunda DC wakubali kupitisha bajeti ya Tsh, 36,5 bilion
Baraza la Madiwani halmashauri ya wilaya ya Bunda limepitisha makadilio ya bajeti ya shilingi Bilion 36.5 kwa mwaka wa fedha 2025 na 2026 Na Adelinus Banenwa Baraza la Madiwani halmashauri ya wilaya ya Bunda limepitisha makadilio ya bajeti ya shilingi…
17 Febuari 2025, 5:41 um
Jengo la ofisi za hazina lazinduliwa mkoani Geita
Serikali imeendelea kuimarisha na kuboresha huduma za wizara ya fedha ikiwemo kusogeza huduma hizo karibu na wananchi zaidi. Na: Edga Rwenduru – Geita Wizara ya fedha imetoa onyo kwa watu na taasisi mbalimbali za fedha zinazotoa mikopo umiza kwa wananchi…
15 Febuari 2025, 7:45 um
Wavamia mtaa wa Zanzibar kufuatia kugunduliwa kwa dhahabu, serikali yatia mguu
Serikali ya mtaa inachukua hatua muhimu katika kusimamia usalama na ustawi wa jamii katika kipindi hiki cha shughuli za uchimbaji. Na Adelinus Banenwa Makumi kwa mamia ya vijana kutoka maeneo mbalimbali wameshukudiwa katika viunga vya mtaa wa Zanzibar , kata…
Febuari 5, 2025, 10:36 um
Ushetu yainidhisha bajeti ya shilingi bilioni 41.2
Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Ushetu, wilayani Kahama mkoani Shinyanga, limepitisha makadirio ya bajeti ya Shilingi bilioni 41.2 kwa mwaka wa fedha 2025/2026 Na Leokadia Andrew Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Ushetu, wilayani Kahama mkoani Shinyanga, limepitisha makadirio…
Januari 24, 2025, 10:44 mu
“Wasio na NIDA kajiandikisheni mpate vitambulisho”
Kitambulisho cha Taifa ni nyaraka muhimu kwa mwananchi kutokana na kuonyesha utambulisho wa mwananchi. Na Sebastian Mnakaya Baadhi ya wananchi wa manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga wasiokuwa na vitambulisho vya Taifa wametakiwa kufika katika ofisi za NIDA kujiandikisha ili kupata…
19 Disemba 2024, 6:53 um
Mwili wa aliyefariki kwa kushindwa kulipa 150,000 ya matibabu waagwa
kufuatia tukio hilo Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Babati Benedict Ntabagi amewasimamisha kazi watoa huduma wa tatu wa kituo cha afya cha magugu akiwemo Afisa Tabibu,Afisa Muuguzi msaidizi na Mteknolojia wadawa kwa kushindwa kutekelekeleza majukumu yao ipasavyo ili kupisha…
9 Oktoba 2024, 08:24
Wananchi watakiwa kuacha kuchoma moto wakati wa kuandaa mashamba
Wakati msimu wa kilimo ukiwa umekaribia wananchi wanatakiwa kuchukua tahadhali ya kutokuharibu Mazingira. Na Hobokela Lwinga Wito umetolewa kwa baadhi ya wananchi kuacha tabia ya kuchoma moto mashamba wakati wa usafishaji ili kuepuka athari za moto huo kusambaa katika maeneo…