Ajali
22 Septemba 2025, 7:14 um
Wananchi wafurika kupata huduma za Madaktari Bingwa Hospitali ya Maswa
Ujio wa kambi ya madaktari bingwa katika Hospitali ya Wilaya ya Maswa utasaidia kusogeza huduma kwa wananchi ambazo walitakiwa wazipate katika Hospitali kubwa za rufaa na kanda lakini kwa sasa zinatolewa na Hospitali yetu ya Wilaya ” Dc Maswa Dkt…
9 Septemba 2025, 11:06 mu
So They Can Tanzania yawezesha wananchi kupata matibabu Babati
Na Marino Kawishe Zaidi ya Wananchi elfu Tatu kutoka kata nne za Galapo, Mamire, Endakiso na Qash zilizopo Wilayani Babati Mkoani Manyara wamejitokeza kupata huduma za afya katika kambi ya siku tano iliyomalizika jumamosi sept 6 iliyoandaliwa na Shirika la…
23 Agosti 2025, 8:40 um
Miradi ya 1.8b yafikiwa na mwenge Bunda DC
Mwenge wa uhuru kitaifa 2025 uliingia mkoa wa Mara kupitia wilaya ya Bunda kwa halmashauri ya mji wa Bunda tarehe 15 Aug 2025 na kuzunguka katika halmashauri zote tisa za mkoa wa Mara na leo Aug 23,2025. Na Adelinus Banenwa…
13 Agosti 2025, 7:28 um
Miradi ya zaidi ya bilion 3.5 kuzinduliwa na mwenge Bunda TC
Mapokezi ya mwenge huo ni shule ya msingi Balili Augost 15 2025 Asubuhi. Na Adelinus Banenwa Jumla ya miradi yenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 3.5 inatarajiwa kutembelewa na mwenge wa uhuru kitaifa mwaka 2025 kwa halmashauri ya mji…
13 Agosti 2025, 7:20 um
Mwenge wa uhuru kukimbizwa KM 152 Musoma
Kwa wilaya ya Musoma mapokezi ni tarehe 16 katika kijiji cha Kabulabula halmashauri ya wilaya ya Musoma. Na Adelinus Banenwa Mkuu wa wilaya ya Musoma Mhe Juma Chikoka ameomba wakazi wote wa wilaya ya Musoma kujitokeza kwa wingi katika mapokezi…
13 Agosti 2025, 7:12 um
Mradi wa TACTIC Musoma kugharimu 19.97 bilion
Miradi itakayotekelezwa ni pamoja na ujenzi wa barabara za Mkendo, Shaabani na Musoma–Saanane, Ujenzi wa Soko Kuu la Nyasho na Kituo cha Mabasi cha Bweri. Na Adelinus Banenwa Mkuu wa wilaya ya Musoma Mhe Juma Chikoka amemshukuru Rais wa Jamhuri…
Agosti 9, 2025, 8:32 um
Wananchi watakiwa kuacha tabia ya kukopa mikopo umiza
Tanzania Commercial Banki (TCB) kwa mwaka jana imetoa mikopo zaidi ya shilingi bilioni 360 kwa wabiashara wadogo na wakati kwa vigezo rafiki. Na Sebastian Mnakaya Wananchi wilayani Kahama mkoani Shinyanga wametakiwa kuachana na mikopo kwenye taasisi za kifedha zisizo rasmi…
Agosti 6, 2025, 8:31 um
Mwenge wa uhuru wazindua miradi ya zaidi ya bilion 1 Msalala
Mwenge wa uhuru umekagua na kuweka jiwe la msingi katika miradi sita katika halmashauri ya Msalala yenye thamani ya Bilion moja na Milioni tisini na tatu Na Senastian Mnakaya Jumla ya miradi sita ya maendeleo yenye thamani ya shilingi Bilion…
Agosti 6, 2025, 8:11 um
Mgodi wa Barrick Bulyanhulu wajenga soko la kisasa
Fedha za uwajibikaji kwa jamii (CSR) imefanikisha ujenzi wa soko la kisasa Na Sebastian Mnakaya Kampuni ya Barrick inazidi kutekeleza dhamira ya kuboresha maisha ya wananchi wanaoishi maeneo yanayozunguka migodi yake ya Bulyanhulu kupitia fedha za uwajibikaji kwa jamii (CSR)…
22 Julai 2025, 12:52
Mwanamke afariki kwa kuungua moto Mbeya
Katika hali ya kushangaza mwanamke mmoja amekutwa amefariki ndani katika tukio linalodhaniwa chanzo ni mgogoro wa ardhi. Na Deus Mella Mwanamke mmoja ajulikanaye kwa jina la Luth Mtawa mkazi wa mtaa wa Majengo B kata ya Kalobe mkoani Mbeya amekutwa…